Utata unakuja hapo walipoanza kumuita Yesu/jesus mbadala wa jina lake halisi.
Huo uhuni wa kubadiri majina ya manabii na wahusika wa matukio upo ktk biblia tu ni maajabu haya, hata Qur'an na vitabu vingine ama dini zingine na hata historia za kawaida hutoona kubadirika kwa majina ya wahusika kwa visingizio kuwa wametafsiri kutoka ktk lugha fulan,
Kwanini wahindu ama waislam wasimbadiri muhamad ama Allah asiitwe kwa majina ya uswahili ama huko uzunguni wasiwabadiri mitume wa uislamu kwa lugha zao wanazoelewa?
Je inawezekana vipi mtu anaeitwa Juma hapa Tanzania akienda china abadiri jina eti aitwe kichina, na akienda uingereza aitwe kwa lugha wanayoitafsiri jina la Juma? Na akienda uturuki wabadiri tena hamuoni kuwa huo ni mchezo mchafu wa kuficha jambo hapo?
Huyo yesu ni aina ya kiumbe chenye majina meengi hapa dunian na ktk dini kulko kiumbe chochote, maana wanadini wanataka kutuaminisha mambo yasiyowezekana.
Ni kweli maisha ya huyo yesu ni mengi hayajulikani, na sio kujulikana tu bali kutafsirika.
Kikawaida ukiisoma biblia kwa macho ya upembuzi utagundua kuwa kuna wakina yesu zaid ya mmoja humo wamechanganywa,
Kwa mission aliyotumwa hapa dunian haikuwa ya kuja kuishi kwa miaka 33 bali zaidi ya 55, maana kikawaida cheo chake ama mission yake ya Utume ilikuwa aanze baada ya kufikisha miaka 25 na kustaafu miaka55, lkn maajabu ya watafsiri wakaweka maneno yao ya uongo.
Pia kuna mengi hayajawekwa wazi kuhusu wale mitume wake kuwa walikuwa 13 kutoka ktk kabila 13 za waisraeli[emoji23][emoji23].
Ni mengi yamefichwa ktk biblia kwa kujua ama kutokujua sababu kuu ya kutokujua ni kuchakachua kitu walichoshindwa kukichakachua.
Biblia ukiisoma nje ya mahaba ya dini na vifungo vya mashetani ya kidini basi utagundua mengi sana.
Hakukuwa na haja ya kubadiri majina ya huyo mwana wa Mungu na kumuita Yesu sjui jesus mala yeshua, wangeacha tumuite majina yake halali.
Jiulizen kama maandiko yalikataza kubadiri ama kuongeza lolote kwanini hawa wafia dini waliongeza upuuzi wao waliouona ni bora? Kutafsiri maana ya sentensi na historia sio mbaya, lkn kubadiri majina ya wahusika huo ni uhuni na ushenzi kama sio ujambazi.
Yesu ama jesus hajawai kuwepo, hajawai kuwepo maana ilo jina halina muhusika kutoka historia yoyote hapa dunian ndiomaana hata uwepo wake unamikanganyiko kuanzia ktk biblia yenyewe, mpaka kwa walioicopy biblia hao wanaomuita issa bin mariam, wote waongo wakubwa.
Historia za watu wa kale, imechezewa mno, imeharibiwa sana, Yesu hatorudi mtamsubiri sana, maana haiwezekani kitu kilichoundwa kwa kufananisha na mtu mwingine mseme kiumbe hiki kiwepo haiwezekani.
Someni sana maandiko nje ya dini zenu mtaelewa hili jambo,
View attachment 2459327