DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Mwarabu ndo alidai uhuru na walipoupata wakaweka utawala ea kisultani..Ilikuaje wazanzibar walidai uhuru kwa Mwingereza wakaupata then wakatawaliwa na mwarabu? Au ni mwarabu alipambana kudai uhuru baada ya kupata wazanzibar wakampindua?
Mkuu nimeweka magazeti ya kipindi hicho yanamuita Field Marshal au Marshal Okello...Okelo hakuwahi kuwa mwanajeshi,bwana yule alienda kule kisiwani "kubangaiza" tu maisha.
Baadhi ya maandiko yalidai kwamba Okelo alitumika tu sababu alikua na lafudhi ya kutisha sana na sura yenye matisho hivyo kuogofya wapinzani lakini hakuna .
Kumbukumbu rasmi inayoonyesha hakuwahi kupata training yoyote ya kijeshi.
Okelo hakuwahi kuwa mwanajeshi,bwana yule alienda kule kisiwani "kubangaiza" tu maisha.
Baadhi ya maandiko yalidai kwamba Okelo alitumika tu sababu alikua na lafudhi ya kutisha sana na sura yenye matisho hivyo kuogofya wapinzani lakini hakuna .
Kumbukumbu rasmi inayoonyesha hakuwahi kupata training yoyote ya kijeshi.
Anhaaaa bas kama ni hvo mapinduzi yalikua sahihi kbsMwarabu ndo alidai uhuru na walipoupata wakaweka utawala ea kisultani..
The sultanate Government kama sikosei ndo iliyokuwepo na ilikuwa ina nguvu kweli kweli mpaka mwaka 1964 ilipopinduliwa
Ni serkali ambayo wazanzibar waliipenda kweli kweli kuliko waliyo nayp sasa hivi ukiwauliza watakuwambia hivyoAnhaaaa bas kama ni hvo mapinduzi yalikua sahihi kbs
Sisi watanganyika tuliwasaidia wajitawale wao sio kuleta utawala wa mwarabu....kote lengo ni kuondoa mkoloniNi serkali ambayo wazanzibar waliipenda kweli kweli kuliko waliyo nayp sasa hivi ukiwauliza watakuwambia hivyo
Mpaji ....Ni kwamba Watanganyika ndo walishiriki mapinduzi ya Zanzibar kumuondoa mwarabu bila wazanzibar kupenda? Au sijaelewa
Una uhakika wamejitawala?Sisi watanganyika tuliwasaidia wajitawale wao sio kuleta utawala wa mwarabu....kote lengo ni kuondoa mkoloni
Mpo huru kuweni na amani, Zanzibar lazima tuwasimamie kidogo tukiwaacha waarabu hapo usalama utakua mdogoUna uhakika wamejitawala?
Au mmetutawala?
Uhusika wa serikali ya Tanganyika kwenye mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964 upo ila hauwekwi wazi.MIAKA 20 BAADA YA KUFIKA PWANI YA KIPUMBWI: HISTORIA YA KAMBI YA KIPUMBWI KATIKA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
Miaka 20 iliyopita tarehe kama ya leo 9 December, 2003 ndiyo siku Mohamed Omari Mkwawa alipotufikisha mimi na Dr. Harith Ghassany Kipumbwi.
Siku hii iliangukia kuwa siku Tanganyika ilipopata uhuru wake.
Kipumbwi ni kijiji kidogo cha wavuvi kilomita chache kutoka Tanga.
Hapa Kipumbwi ndipo ilipowekwa kambi ya askari mamluki wengi wao Wamakonde waliokuwa wanapewa mafunzo ili washiriki katika mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964.
Historia hii si ngeni kwa sasa kwani Dr. Ghassany kaieleza kwa kirefu katika kitabu chake, "Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru," (2010).
Lakini kabla ya yeye kufika Kipumbwi na kushuhudia kwa macho yake yale aliyoelezwa na Mzee Mkwawa Tanga mjini kuwa alihusika katika kuwavusha Wamakonde kwa siri kuingia Zanzibar kushiriki katika mapinduzi hii ilikuwa siri kubwa sana.
Sikupata siku kumuona Dr. Ghassany kafurahi kama siku ile.
Kwa hakika kabisa alikuwa na haki ya kufurahi kwani alikuwa amekitegua kitendawili kikubwa; kwanza kuwa kuwa kulikuwa na kambi ya mamluki katika ardhi ya Tanganyika waliovushwa na kuingia Zanzibar kusaidia mapinduzi.
Kafika Kipumbwi na Mzee Mkwawa akatupitisha sehemu zote kuanzia pango la chini walikukuwa wanaficha majahazi yao hadi kutuonyesha mgahawa mdogo walipokuwa wakila usiku kabla ya kuingia katika vyombo na kuanza safari.
Pili Kipumbwi ilisaidia kueleza mauaji yaliyotokea mashamba ambako Waarabu wengi waliuliwa.
Leo naikumbuka siku hii miaka 20 iliyopita na naweka picha tulizopiga Kipumbwi.
PICHA: Picha ya mwisho ni Mzee Mohamed Omari Mkwawa na mkewe.
View attachment 2838139
Ndio, soma habari za Abdallah Kassim Hanga aliyekuja kuwa makamu wa Rais baada ya mapinduzi.Kuna wazanzibar walishiriki?
Bas kama ni hvo wanzazibar hawakutaka kutawaliwa na mwarabuNdio, soma habari za Abdallah Kassim Hanga aliyekuja kuwa makamu wa Rais baada ya mapinduzi.
Asante sana kwa kumbukumbu ya Maskani Kipumbwi.MIAKA 20 BAADA YA KUFIKA PWANI YA KIPUMBWI: HISTORIA YA KAMBI YA KIPUMBWI KATIKA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
Miaka 20 iliyopita tarehe kama ya leo 9 December, 2003 ndiyo siku Mohamed Omari Mkwawa alipotufikisha mimi na Dr. Harith Ghassany Kipumbwi.
Kwa hakika kabisa alikuwa na haki ya kufurahi kwani alikuwa amekitegua kitendawili kikubwa; kwanza kuwa kuwa kulikuwa na kambi ya mamluki katika ardhi ya Tanganyika waliovushwa na kuingia Zanzibar kusaidia mapinduzi.
Sasa tofauti na Ukoloni iko wapi?Mpo huru kuweni na amani, Zanzibar lazima tuwasimamie kidogo tukiwaacha waarabu hapo usalama utakua mdogo
Hakuna.Kipumbwi hakuna wabondei mkuu wako asilimia 2 tu
Mkuu Asilimia 2.ni negligible in science where the sample size is large than the Required value...Hakuna.
Halafu wapo asilimia mbili tu. Interesting.
No sio serikali, ni Wamatumbi wa Bara kwenda kuwasaidia Wamatumbi wa Zanzibar!, serikali yetu had no hands!.Uhusika wa serikali ya Tanganyika kwenye mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964 upo ila hauwekwi wazi.
Pascal Mayalla