Miaka 20 Baada ya Kufika Pwani ya Kipumbwi: Historia ya Kipumbwi Katika Mapinduzi ya Zanzibar

Sawa nimekuelewa msingi wa hoja.
 
Ni kwamba Watanganyika ndo walishiriki mapinduzi ya Zanzibar kumuondoa mwarabu bila wazanzibar kupenda? Au sijaelewa
Chief mapinduzi hasa nyakati hizo za 1960 yalikuwa na mikono ya Mmarekani au Msoviet.

Zanzibar kwa sababu nyingi, ilikuwa inawindwa na Wakomunisti mf kina M.Babu na wamarekani. Kwa hesabu za CIA, sehemu pekee ya mapinduzi ni kutokea Tanganyika. So, ni makundi mengi yalikuwa yanaimendea zenji, Ila lilofanikiwa ni la Nyerere[CIA influenced]
 
Hili la siasa za vita baridi kuchangia hilo limetajwa sana na wanazuoni/wasomi.

Kuna hadi nyaraka za CIA ambazo tayari ni 'declassified' zinaongelea hizo, hata humu JF kuna vipande viliwahi kuwekwa na wadau.

Hayo ya mapinduzi kuanzia kambi za Sakura huku Tanganyika na kuhamia kipumbwi Zanzibar nimezisoma kwenye maandiko ya Mohamed Said.
 
Sio rahisi kwa wamatumbi kutoka Pwani ya nchi A kwenda kuangusha serikali ya nchi B jirani kwa Siri, bila mkono wa serikali A.
objectivity ya mtu kama Mayala hunishangaza sometimes. Yaani watu watoke tu from nowhere waingie nchi nyingine? Bila kuwa mobilized? Bila kuwa organized? Bila kuwa na planning? Bila kuwa na Prior knowledge? Na serikali yao iwaache tu? Hiyo serikali haihofii mgogoro na nchi jirani? Ticha alihusika na Mapinduzi zanzibar.
 
Kipumbwi hapo watoto wa shule zaidi ya asilimia 80 wanavalishwa hirizi. Tulikuja kuhubiri hapo injili tukashangaa shuleni watoto wanalipuka mapepo ukitaja jina la Yesu Kristo.
Kwa jamii zetu nyingi hilo la hirizi kuvishwa watoto hata watu wazima sio la kushangaza.

Wengi huvaa ili kujilinda dhidi ya kudhuriwa na wachawi wenye nia mbaya.

Ushirikina umedumaza jamii hizi.
 
Je?! WaZanzibar nini maoni yao kuhusu utawala wa Sultan na baad ya Sultan mpaka sasa?
 
No sio serikali, ni Wamatumbi wa Bara kwenda kuwasaidia Wamatumbi wa Zanzibar!, serikali yetu had no hands!.
P
Tarehe kama ya leo 11/01/1964 miaka 60 iliyopita, ndio Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalifanyika!. Alfajiri ya Tarehe 12 Januari, 1964 ilikuwa ni kutangazwa tuu!.

Nawatakia maadhimisho mema ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Paskali
 
Mwana JF, Paskali, anakutakia wewe na familia yako HERI YA SIKUKUU YA MAPINDUZI MATUKUFU
YA ZANZIBAR!
Paskali
 
Kipumbwi na Sakura nimevisoma kwenye kitabu cha kwaheri ukoloni kwaheri uhuru.....hiki kitabu kina mengi mazuri ya kujifunza.
 
Huo ndo ukweli mchungu mkuu...
Wazanzibar walikuwa wameridhia na Utawala wao kwani waliishi kwa Raha..
Story kama hizi ukitaka kuzipata nenda zanzibar na Tanga...
Hawa Asp na Umma party walioshiriki mapinduzi si wazanzibari?....mbona mnasema wazanzibari wote waliridhia serikali ya Shamte?
 
Hawa Asp na Umma party walioshiriki mapinduzi si wazanzibari?....mbona mnasema wazanzibari wote waliridhia serikali ya Shamte?
Mapinduzi hayakufanywa na ASP wala Umma Party..
Mapinduzi yana Historia Ngumu sana Kuiweka kwenye Mitandao..
Hakuna Kiongozi wa Hivyo Vyama Ulivyotaja Alishiriki Mapinduzi..
WAlioshiriki Wengi walitesa Babu zetu..

Akiwemo Babu yangu aliuawa Vikali sana..
Mapinduzi yalifanywa na John Okelo et al na sio Wazanzibar..
Pitia Hapa..


View: https://youtu.be/Ss-lfLLzV-k?si=iK-ydwX4uzyaroe1

View: https://youtu.be/6rX5MHdXW7E?si=T0-LYPsJxvecdPu5
Mwisho kwa Masikitiko Makubwa Malizia Na hii..


View: https://youtu.be/NoRgEqtwAks?si=uT1EaXWufbjW26Mg
 
Kipumbwi na Sakura nimevisoma kwenye kitabu cha kwaheri ukoloni kwaheri uhuru.....hiki kitabu kina mengi mazuri ya kujifunza.
Kipumbwi na Sakura Ndo tulipofikia Baada kutoka Zanzibar Tulivyopanda Vidau kuja Bara..
Baadaye kuhamia Tanga Mjini mwaka 1980s
 
Oooooh!...pole mkuu...wewe pia ni Mzanzibari?

Kwa maelezo yako ni kuwa mapinduzi yalipangwa na kufanywa na walio nje ya Zanzibar (Tanganyika), ila mkuu lazima tukubaliane kwamba hao waliofanya mapinduzi (Tanganyika) wasingeweza bila kupata ridhaa/ruhusa/ushirikiano kutoka baadhi ya wazanzibari (ASP).....
 
Yes, Kiasili Mimi Ni mzanzibar ila Kwa sasa Ni miaka 38 Tangu Tutoke Zanzibar na kuamia Bara mwaka 1987 Baada ya Rais wetu wa Zanzibar Kuhamia Bara Kuwa Rais wa Muungano..(Rais Mwinyi)

Wengi walihama Kuja Tanga Ikiwemo Familia Yetu..
Japo Haifuti asili yangu Ya Uzanzibari..

Pili Umeangalia Hiyo Video ya Massacre (Revolution Massacre) niliyokutumia Hapo Juu?
Inaonyesha Kuwa Kulikuwa na Mashambulizi makali..Je Sehemu yenye Mashambulizi Huwa Kuna ruhusa Au ridhaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…