Miaka 20 Baada ya Kufika Pwani ya Kipumbwi: Historia ya Kipumbwi Katika Mapinduzi ya Zanzibar

Sio rahisi kwa nchi A mapinduzi ndani ya nchi B bila kupata uungwaji mkono wa baadhi ya watu ndani ya nchi B.
 
Hawa Asp na Umma party walioshiriki mapinduzi si wazanzibari?....mbona mnasema wazanzibari wote waliridhia serikali ya Shamte?

mkuu unaielewa dhana ya mapinduzi? siku zote dhana ya mapinduzi huwa haina mahusiano na wananchi wa kawaida. hata kama kuna baadhi ya wazanzibari ambao walishiriki kwenye zile harakati za mapinduzi hai translate kuwa ndio wananchi kiujumla.
 
Hii ntaisoma baadae
 
Nyerere na Kambona walimtumia Kassim Hanga kufanikisha mapinduzi yale huku wakimuaminisha kuwa baada ya mapinduzi yeye ndie watakaempa uongozi, ila walimgeuka na kuchomeka watu kama akina Okello na wengine na akaishia kuwa powerless, na Karume akatangazwa kuwa raisi.
 
Hanga alishiriki moja kwa moja mapinduzi ndio maana alikuwa makamu wa Rais wa Baraza la mapinduzi..
 
Sio rahisi kwa nchi A mapinduzi ndani ya nchi B bila kupata uungwaji mkono wa baadhi ya watu ndani ya nchi B.
Na Ndiyo maana Kulilazimishwa Muungano wa Haraka sana..
Na Muungano huo Ukitaka Kuvunjika Utaleta Athari ikiwemo maswali kama Hayo uliyouliza Na Pengine Zanzibar wanaweza Kuishtaki Tz (Haya Ni maoni yangu Nisifungwe kwa Hayo)
 
Na Ndiyo maana Kulilazimishwa Muungano wa Haraka sana..
Na Muungano huo Ukitaka Kuvunjika Utaleta Athari ikiwemo maswali kama Hayo uliyouliza Na Pengine Zanzibar wanaweza Kuishtaki Tz (Haya Ni maoni yangu Nisifungwe kwa Hayo)
Huo muungano uliwekwa haraka Ili kuilinda serikali mpya ya Zanzibar dhidi ya mapinduzi mengine kumbuka baada ya mapinduzi kulipelekwa Polisi 300 wa Tanganyika kulinda amani kule Zanzibar na kupuliza fujo.
 
Huo muungano uliwekwa haraka Ili kuilinda serikali mpya ya Zanzibar dhidi ya mapinduzi mengine kumbuka baada ya mapinduzi kulipelekwa Polisi 300 wa Tanganyika kulinda amani kule Zanzibar na kupuliza fujo.
Sasa Hilo ndo ulipaswa Ujiulize kwa Makini Sana 🤣🤣🤣
KWanini Walipelekwa polisi Na Jeshi haraka?
Kwani Zanzibar Lilikuwa Ni Koloni letu au Mkoa wetu??
Kwanini Hilo jeshi lisingepelekwa Kutoka Uganda au Kenya au Lisingepelekwa KutoKA UNO au OAU (kipindi hicho)..
Toka nje ys Box Halafu jiulize, Kwanini Jeshi Kilikuwa Kinafichwa Nini Kupeleka Jeshi na Kabla Hujaondoa Jeshi Ukataka Muungano wa Haraka?
Ambao mpaka Leo Mkataba Wake haujulikani?
 
kumbe ni nyerere ndio alimkamata okolle na kumfukuza

 
Hanga alishiriki moja kwa moja mapinduzi ndio maana alikuwa makamu wa Rais wa Baraza la mapinduzi..

kule kuwa makamo wa rais ndio kutulizwa kwenyewe mkuu, alidhibitiwa kwa njia hiyo. yeye ndie aletakiwa awe Raisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…