LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Tarehe 21 mwezi May mwaka 1996 ilitokea ajali mbaya ya meli kwenye Ziwa Victoria kilomita chache kabla ya kufika kwenye bandari ya jiji la Mwanza.
Meli ya MV Bukoba ilipinduka na kuchukua maisha ya watu takribani elfu moja.
Leo imetimia miaka 28 tangu kutokea tukio hilo ambalo ni miongoni mwa matukio mabaya kabisa kutokea tangu nchi yetu kupata uhuru.
Tunawaomba leo TFF kwenye mechi ya Simba kuwe na moment of silence kwa ajili ya kuwakumbuka marehemu wote walio poteza maisha yao kwenye ajali hiyo.
Mwenyezi Mungu aendelee kuzilaza mahala peponi roho za marehemu wote walio fariki kwenye ajali hiyo.
Ameen!
Meli ya MV Bukoba ilipinduka na kuchukua maisha ya watu takribani elfu moja.
Leo imetimia miaka 28 tangu kutokea tukio hilo ambalo ni miongoni mwa matukio mabaya kabisa kutokea tangu nchi yetu kupata uhuru.
Tunawaomba leo TFF kwenye mechi ya Simba kuwe na moment of silence kwa ajili ya kuwakumbuka marehemu wote walio poteza maisha yao kwenye ajali hiyo.
Mwenyezi Mungu aendelee kuzilaza mahala peponi roho za marehemu wote walio fariki kwenye ajali hiyo.
Ameen!