Miaka 27 ya MV Bukoba. Leo wachezaji wakae kimya kwa dakika moja kwa ajili ya kumbukumbu ya marehemu wa MV Bukoba.

Miaka 27 ya MV Bukoba. Leo wachezaji wakae kimya kwa dakika moja kwa ajili ya kumbukumbu ya marehemu wa MV Bukoba.

Mkuu hii sasa kwa wali zaliwa inaishara gani kuhusu nyota je ni ya nuru au ya shari? Mana tarehe kama ya leo ndo siku yangu ya kuzaliwa
Wala Usiogope mkuu tarehe 21 May ni siku yenye nguvu sana kwa sababu ndio siku ya kwanza ya nyota ya Gemini ambayo ndio nyota kuu kuliko zote.
 
Tarehe 21 mwezi May mwaka 1996 ilitokea ajali mbaya ya meli kwenye Ziwa Victoria kilomita chache kabla ya kufika kwenye bandari ya jiji la Mwanza.

Meli ya MV Bukoba ilipinduka na kuchukua maisha ya watu takribani elfu moja.

Leo imetimia miaka 27 tangu kutokea tukio hilo ambalo ni miongoni mwa matukio mabaya kabisa kutokea tangu nchi yetu kupata uhuru.

Tunawaomba leo TFF kwenye mechi ya Simba kuwe na moment of silence kwa ajili ya kuwakumbuka marehemu wote walio poteza maisha yao kwenye ajali hiyo.

Mwenyezi Mungu aendelee kuzilaza mahala peponi roho za marehemu wote walio fariki kwenye ajali hiyo.

Ameen!
Nilikuaga mwanza enzi izo duu ambulance za maiti zilipita kwenda miti ya nyerere igoma MWANZA..

Miti ya nyerere igoma MWANZA ipo pale jirani na LAKE OIL & GAS Maaskar ambao huwa wanalinda Yale MAKABURI wanasema huwa ikifika usiku wa manane utasikia ukiitwa jina lako mule MAKABURINI

Watu wengi Sanaaaa wameshuhudia nimeshuhudia ajar nyingi Sana pale malamala igoma kuelekea hapo kwenye MAKABURI
 
Nataka nisome sifa za hii nyota ya gemini mkuu kuna kitu hapa hutak kufunguka nakujua Likud
Wala Usiogope mkuu tarehe 21 May ni siku yenye nguvu sana kwa sababu ndio siku ya kwanza ya nyota ya Gemini ambayo ndio nyota kuu kuliko zote.
 
Screenshot_20240521-221449.png
 
Nilikuaga mwanza enzi izo duu ambulance za maiti zilipita kwenda miti ya nyerere igoma MWANZA..

Miti ya nyerere igoma MWANZA ipo pale jirani na LAKE OIL & GAS Maaskar ambao huwa wanalinda Yale MAKABURI wanasema huwa ikifika usiku wa manane utasikia ukiitwa jina lako mule MAKABURINI

Watu wengi Sanaaaa wameshuhudia nimeshuhudia ajar nyingi Sana pale malamala igoma kuelekea hapo kwenye MAKABURI
Duh inatisha . Nadhani itakuwa ni roho za watu walio fariki kwenye ajali hiyo.
 
Back
Top Bottom