Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Kazi zote zinalipa,ngoja nikomae na uvuvi kumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuongea hii kauli tu ni uboya, sasa kama wewe ni Mchagga, amini maboya wapo.Hakunaga Mchaga boya
Ndio kupambana huko anakosema mtoa madaHayuko SGR,
Bado yuko Tilisho Bus.
Gari si kuna wawezeshaji mkuu. Madam akishakua maarufu hapa bongo hakosi sponsor(s)
Maisha ni popote , kazi zote zinalipa , mwisho kabisa kufa maskini ni kujitakia .
View: https://youtu.be/RyC8yaAWQu0?si=85Yn9cLJGG-ck8t7
Muwe na Siku njema
SawaHayuko SGR,
Bado yuko Tilisho Bus.
Gari si kuna wawezeshaji mkuu. Madam akishakua maarufu hapa bongo hakosi sponsor(s)
Pambana tu mkuuKazi zote zinalipa,ngoja nikomae na uvuvi kumbe
Punde Air hostess Air Tanzania, baadae EmiratesMpambanaji hongera Sana
We mbona tycoon?Anabiashara nyingine ya gizani mazee.....
Hapo utakuta kuna one of the Tycoons anafadhili kilakitu....
Sasa jaribu kushindana nae kwa kuamini yanayo onekana kwa macho uone....🤣
Mimi...🙊We mbona tycoon?
Safi kabisaPunde Air hostess Air Tanzania, baadae Emirates
Wabongo mwanamke akifa ikiwa wanaamini kauza .... Wabongo kweli hatupendi mtu afanikiwe,ukifanikiwa wewe ni free masonHuyo dada. Mitandao ndio imempa hela.
Kumbuka ana followers zaidi ya milioni moja instagram na ana followers zaidi ya milioni tik tok.. sio kazi rahisi kupata hao followers.
Ni kama kina mwijaku, na influencer wengine.
Anapata sana dili za ubalozi wa kampuni na za matangazo kwenye page zake instagram na tik tok.
Hizo ndizo zinazompa hela .. ila sio mshahara wa ukonda.
Hapo alipo ni balozi wa simu za ITEL, Balozi wa Hisense, Balozi wa Latra na vikampuni vingine kibao.
Ukichanganya na matangazo ya wafanyabiashara wadogo anayopost mara kwa mara.. IST lazima inunuliwe tu.
Zama hizi hela ipo mtandaoni
Wana wivu wa kijingaWabongo mwanamke akifa ikiwa wanaamini kauza .... Wabongo kweli hatupendi mtu afanikiwe,ukifanikiwa wewe ni free mason
i smell some shit hereMaisha ni popote, kazi zote zinalipa, mwisho kabisa kufa maskini ni kujitakia.
Muwe na Siku njema