Miaka 30 ijayo zaidi ya nusu ya Wana-JamiiForums tutakuwa tumeshakufa. Je, tunajiandaaje kuagana na kuacha legacy?

Miaka 30 ijayo zaidi ya nusu ya Wana-JamiiForums tutakuwa tumeshakufa. Je, tunajiandaaje kuagana na kuacha legacy?

Asilimia 70 ya tulio humu leo tutakuwa tumeshakufa ifikapo mwaka 2052 yaani hatutamuona rais wa tatu tokea samia au au rais wa tisa wa taifa letu kama wajao watatawala kwa miaka 10 @1 je tunajiandaaje kuagana sisi kwa sisi? Binafsi namuaga jamaa mmoja anaitwa Mbususu Enthusiast jina lake nalikubali sana na mzee @kidukulilo nasema tena buriani maana u neva noo what tomorrow brings.
Kama una miaka 20 now utakua na 52 so tutakufaje
 
Mi nimemuelewa muanzisha uzi kwa namna nyingine kabisa, wakati tunawaza kuhusu lini itakuwaje humu ndani kuna watu wana idea nzuri sana, wana mafundisho na maonyo mbalimbali ambayo wamepata kuyafahamu katika harakati za kila siku za maisha yao, na wana uzoefu, uelewa, ufahamu wa masuala mbaoimbali yenye tija na kutoa mwangaza kuhusiana na masuala kadha wa kadha ambayo kama tukiamua kuyaweka bayana basi huweza kuwa urithi kwa vizazi vijavyo

tukumbuke tu teknolojia haisahau, hivyo kama kuna kitu unahisi kitakuwa na manufaa kwa kizazi hiki hata kijacho anzisha uzi elimisha na toa maarifa kwa jamii, itasaidia sana.
Asante sana mkuu umenisaidia kutumia busara kutafsiri kwa usahihi dhamira yangu 👊
 
Asilimia 70 ya tulio humu leo tutakuwa tumeshakufa ifikapo mwaka 2052 yaani hatutamuona rais wa tatu tokea samia au au rais wa tisa wa taifa letu kama wajao watatawala kwa miaka 10 @1 je tunajiandaaje kuagana sisi kwa sisi? Binafsi namuaga jamaa mmoja anaitwa Mbususu Enthusiast jina lake nalikubali sana na mzee @kidukulilo nasema tena buriani maana u neva noo what tomorrow brings.
Kuna "regasi" imeshaachwa pambanieni hiyo
 
Kufa kupo ila swali la muhimu zaidi ni :-

''Je Ukifa utaenda wapi?
 
Asilimia 70 ya tulio humu leo tutakuwa tumeshakufa ifikapo mwaka 2052 yaani hatutamuona rais wa tatu tokea samia au au rais wa tisa wa taifa letu kama wajao watatawala kwa miaka 10 @1 je tunajiandaaje kuagana sisi kwa sisi? Binafsi namuaga jamaa mmoja anaitwa Mbususu Enthusiast jina lake nalikubali sana na mzee @kidukulilo nasema tena buriani maana u neva noo what tomorrow brings.
Kawaida tu,hakuna kuishi milele
 
Asilimia 70 ya tulio humu leo tutakuwa tumeshakufa ifikapo mwaka 2052 yaani hatutamuona rais wa tatu tokea samia au au rais wa tisa wa taifa letu kama wajao watatawala kwa miaka 10 @1 je tunajiandaaje kuagana sisi kwa sisi? Binafsi namuaga jamaa mmoja anaitwa Mbususu Enthusiast jina lake nalikubali sana na mzee @kidukulilo nasema tena buriani maana u neva noo what tomorrow brings.
Mkuu ndie mimi Maghayo na Nguseroh uliyeahidi utaniua kwa kuwaibia TV chogo 1988
 
Asilimia 70 ya tulio humu leo tutakuwa tumeshakufa ifikapo mwaka 2052 yaani hatutamuona rais wa tatu tokea samia au au rais wa tisa wa taifa letu kama wajao watatawala kwa miaka 10 @1 je tunajiandaaje kuagana sisi kwa sisi? Binafsi namuaga jamaa mmoja anaitwa Mbususu Enthusiast jina lake nalikubali sana na mzee @kidukulilo nasema tena buriani maana u neva noo what tomorrow brings.
Parapanda ikilia sijui tuta juana Kwa majina yetu Og sijui na miposti yetu tutaikuta huko sijui kutakua na Jf huko aaah all in all tujiandae tu.aaah au basi tu....
 
Mmh Mimi nnavozikata double kick Kila siku lazima kichupa kimoja nitumie.. achaneni na Mimi na stress. Sa ntafanyaje !..
 
Cha ajabu nini anazaliwa mtoto leo anakufa leoleo na hana dhambi sasa Mungu akuache we mcheza kamari kazi kubet , unakesha Bar umemaliza mabox ya condom kwa uzinzi usife una faida gan
 
Namsubiri mshana Jr atoe maelekezo yake kwanza ndio ni comment mawazo yangu
 
Back
Top Bottom