Miaka 30 ni mingi sana lazima kesi zitaishia Polisi

Miaka 30 ni mingi sana lazima kesi zitaishia Polisi

Nimemsikia waziri Mkuu akiongea na ma OCD juu ya kesi 50 za wanafunzi kupata mimba kuishia POLISI.

Mawazo yangu juu hali hiyo,

Miaka 30 ni mingi mno. Hivyo hata polisi nae ni binadamu, familia nao huwa na ubinadamu miaka 30 sio kitu rahisi. Ushauri wangu utaratibu ungekuwa kama ifuatavyo:
  • Kutuhumiwa kwa kujihusisha na kutembea na mwanafunzi (kufanya nae mapenzi)@jera miaka 5
  • Kumpa mwanafunzi ujauzito Jera mpaka atakapojifungua na kupimwa DNA
  • Kama mtuhumiwa ikigundulika alijihusisha mojakwamoja kwa kumpa mimba mwanafunzi baada ya vipimo hivyo vya DNA basi iwe Jera miaka 10-15 itategemea na tukio lenyewe yaani ubakaji wenyewe.
Maana ukweli ni kuwa kesi nyingi zinaishia polisi sio kwa uzembe wa polisi hapana, mara nyingi huwa na makubaliano ya wazazi wa pande zote mbili mvulana aliyetia mimba na wazazi wa msichana aliyetiwa mimba.

Hata mzazi na hasira kiasi gani linapokuja swala la miaka 30 jera moyo wa kibinadamu huja.
Kwanini unasisitiza neno jera, jera!
JERÀ
JELA.
 
Mpaka leo sijaona mtu aliefungwa 30 kisa kumpa mwanafunzi mimba na wanaendelea kuzibeba mpka wanaundiwa mfumo wa kuduri shule kiufupi kama tunataka kumlinda mtoto wa kike basi tuanze kwenye malezi sio kuwaacha alafu wakiharibika hawarekebishiki wakivunja ungo wanaruka kama ndama lazima watulizwe na mkuyenge
 
Miaka 30 ni kukomoana tu na kuitia hasara serikali,miaka miaka adhabu ingeanzia mwaka mmoja mpaka miaka mitatu kulingana na umri wa binti.
Ila hawa wanaolawiti watoto waongezewe adhabu ,kabla ya kuanza kutumikia kifungo cha maisha walawatiwe mwezi mzima.
 
Safi kabisa. Maana sheria yetu ipo kwa kutuhumiwa tu miaka 30 jera. Ndio maana nikasema kwanza iwe ya mda mfupi alafu mtoto akizaliwa wapime DNA alafu ndio kifungo japo cha 15 au 10
Hakuna Sheria ya kutuhumiwa,ni Hadi upatikane n'a hatia kwa maana ya ushahidi ikiwemo na DNA
 
Nimemsikia waziri Mkuu akiongea na ma OCD juu ya kesi 50 za wanafunzi kupata mimba kuishia POLISI.

Mawazo yangu juu hali hiyo,

Miaka 30 ni mingi mno. Hivyo hata polisi nae ni binadamu, familia nao huwa na ubinadamu miaka 30 sio kitu rahisi. Ushauri wangu utaratibu ungekuwa kama ifuatavyo:
  • Kutuhumiwa kwa kujihusisha na kutembea na mwanafunzi (kufanya nae mapenzi)@jera miaka 5
  • Kumpa mwanafunzi ujauzito Jera mpaka atakapojifungua na kupimwa DNA
  • Kama mtuhumiwa ikigundulika alijihusisha mojakwamoja kwa kumpa mimba mwanafunzi baada ya vipimo hivyo vya DNA basi iwe Jera miaka 10-15 itategemea na tukio lenyewe yaani ubakaji wenyewe.
Maana ukweli ni kuwa kesi nyingi zinaishia polisi sio kwa uzembe wa polisi hapana, mara nyingi huwa na makubaliano ya wazazi wa pande zote mbili mvulana aliyetia mimba na wazazi wa msichana aliyetiwa mimba.

Hata mzazi na hasira kiasi gani linapokuja swala la miaka 30 jera moyo wa kibinadamu huja.
Sheria hii ni kandamizi, imeangalia na kupendelea upande mmoja tu wa jinsia ya kike. Kwa upande wa adhabu ulipaswa kuwa wote Mtia Mimba na Mtiwa Mimba wote wanastahili adhabu, kwa mfano, Kama Mtia Mimba anahukumiwa kifungo cha miaka thelathini jela, basi Mtiwa Mimba naye afungwe jela hata kwa kipindi cha robo ya muda wote ambao mtia mimba anatumikia. Hii ingesaidia kutoa kitisho na fundisho kwa watenda kosa wote(mume na mke).
 
Kesi Kama hii kwa mwanaume ukiona umechomoka Basi wamekumalizia mtaji na unaliwa kweli
 
Back
Top Bottom