Miaka 40 tu lakini ulaji wa tunda ushakuwa shida

mtindo wako wa maisha tuu....40yrs unatakiwa usugue haswaa broo😎
 
Alikutana na vichapo haswa hata huyu akikutana na vichapo mfululizo wiki tatu lazima alale na suruali za jeans tatu
 
We si ulikuwa unasimamia kama baiskel 😎
 
Huna time? Huyo mwenye tunda aliondoka Kwao kuja kufanya nini Kwako
 
Weka utaratibu wa kupeleka moto at least mara moja kwa wiki na iwe shughuli kweli kweli.
 
Ni tatizo la kisaikolojia tu. Kuna wenye umri zaidi yako wanatikisa rungu kikamilifu.
 
Ni tatizo la kisaikolojia tu. Kuna wenye umri zaidi yako wanatikisa rungu kikamilifu.
Ale matunda kwa wingi, na kunywa glass Moja ya maji baada ya kuloweka vitunguu swaumu vilivyo pondwa pondwa kila siku angalau Kwa muda wa wiki mbili atapata majibu mazuri, (positive results)
 
Kipind Cha kuchapiwa na vijana hiki sasa apo ndo mamaa yupo hot balaa πŸ˜…πŸ˜…
 
Kama upo Dar ni kawaida tu mkuu. Wanaume wa Dar ndivyo walivyo. Miaka 40 Watoto 2 !
Huku mkoani miaka28 Watoto 4.

Sawa nimekuelewa
s
 
Kuna kitu wengi hawaki zumgumzii. Jamaa kasema Kuna wakati yeye ndo alikua msumbufu. Huwa inafika wakati unachoka kuomba kila siku. Nguvu anazo ila alikubaliana na Ile Hali kwamba kila nikitaka mwenzangu amechoka. Subconsciously anabaki owky nielekeze nguvu kwingine. Kaeni nguvu hayo matatizo ya kunyimana halafu uone kama hamu haijarudi tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…