Chalii Wa Kipare
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 462
- 907
- Thread starter
- #261
Sijaoa Mpare jamaanguUkute umeoa mpare mwenzio, kwa ninavyowajua wamama wa kipare. Aloo achana na chips mayai kabisa. Kula hata makande ya karanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaoa Mpare jamaanguUkute umeoa mpare mwenzio, kwa ninavyowajua wamama wa kipare. Aloo achana na chips mayai kabisa. Kula hata makande ya karanga.
Tafuta mdindadinda Kwa wamasaiMaji tu? Acha masihara😁😁
Hata mimi nadhani hivyo😁😁 jamaa anachukulia simple tu.Nahisi na ww una tatizo kama lake
Hawa waleo mbona kama wa Mchongo tuTafuta mdindadinda Kwa wamasai
Ondoa hofu, mambo ya kawaida tu hayo.Utaambukizwa Ngoma au utakuwa analelea wenzako watoto.
Sasa kushindwa kutafuna Ile kitu wewe unachukulia simple simple tu jamaangusijafika huko
Umefikia wapi MAANA inaanzaga hivyo hivyosijafika huko
Yani kuambukizwa Ngoma nichukulie simple tu? We mzima kweli! 😁😁😁Ondoa hofu, mambo ya kawaida tu hayo.
Kwahiyo nawewe unaumwa😁😁😁 tujuane basi.Mi nikipiga kimoja leo tukutane mwezi ujao tena .36yrs.
Sawa, Sasa nitafanyaje? Halafu vijana wa 2000s utawajua tu kwa comments zao, yani mtu anataka ushauri ninyi mnamkejeli🚮Tunasubiri uziwamkeokuliwatundanabodaboda
Ikitokea nitawaletea wanangu 😁😁😁Kwa Hali hiyo cku chache zijazo utakuja na uzi wa kulalamika unamegewa tunda
Sawa mkuu.Acha kunywa energy na mandazi.
NB;Kuna uwezekano sonona inakusumbua.Tafuta wataalamu wakupe tiba ya akili.
Sasa wanafanyaje kumkabili hii hali?Ndoutuuzima huo mkuu usiogope wengi wako hivyo
KabisaUnfair
Nataka nije kukupa msaada kwa ukaribu ZaidSasa hayo ndio masihara😁😁😁 ili iweje Sasa?
Kweli mkuu apunguze mafuta.Hiyo ndo afya mkuu 😅
Sio lazima ule tunda moja tu kila siku! Badala yake jaribu kula matunda tofauti kama mapapai, matikiti maji, maembe, nk.Nina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.
Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Ongeza na mazoezi panda milima yote ya upareni.Hapo ndio ⛽ itaamka vizuri?😁😁😁
Kawaida tu, kwani walioambukizwa wana macho 7?Yani kuambukizwa Ngoma nichukulie simple tu? We mzima kweli! 😁😁😁
Nina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.
Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.