Miaka 40 tu lakini ulaji wa tunda ushakuwa shida

Miaka 40 tu lakini ulaji wa tunda ushakuwa shida

Nina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.

Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Jua limezama mapema sana mbona
 
Nina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.

Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.

Kwanza: Acha chakula cha hovyo au huli chakula bora kwa afya bora…!! Chunga sana afya yako..!!

Pili: usafi, make sure usafi ndio kitu kikubwa sana mapenzini, acha sigara, harufu ya pombe, kunuka jasho, mdomo, kwapa, kuwa mchafu mchafu mbaya sana, be very clean

Tatu: Lugha, jaribu kuwa na lugha tamu katika nyumba, soft and sweet words itakuinua

Four: Uwe na fedha, ukiwa huna fedha, sometimes mawazo yanazidi na kuona maisha magumu sana na hisia za kiume zinafifia au kufa na kushindwa kumhitaji mkeo au mpenzi wako mara kwa mara..!!

Five: Mazoezi kidogo kwa afya muhimu, don’t over do it..!!
 
Nina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.

Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Maisha Magumu kwako........?
 
Back
Top Bottom