Miaka 40 tu lakini ulaji wa tunda ushakuwa shida

Miaka 40 tu lakini ulaji wa tunda ushakuwa shida

Nina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.

Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Upepo ushakata Ambiere apo subiri kusaidiwa na Bodaboda
 
Mkuu najua utasema ni utani ila hii mbinu utanishukuru badae kwa mda wako..
Na hata kama utakua na chochote kitu utanitumia tuu sina baya..

Nunua cologate ile dawa ya meno.
Kila asbhi paka na unapolala paka
Ndani ya week case itakua closed....
Apake wapi kwenye kiwiliwili au Kichwa?
 
Huyu jamaa atakayekuoa atakufa mapema sana
Mkuu, huyu hajui mambo ya ndoa, mwaka, 2017 kuna binti huku niliko alipata m humba mtoto wa mchungaji, wakina mama wa kanisani mke wangu akiwemo si unajua tena wanavyokuwaga na viherehere, mambo yakaenda vizuri tu, ndoa ikafungwa kanisani watu pilau wakala na wamama wa viherehere vigeregere wakapiga, bibi harusi huyoo akaenda kwa mumewe, hakuolewa mbali sana na kwao hata mwendo wa mguu anaweza tembea akafika. My point sasa, ndoa ilidumu hardly miezi 2, siku moja naelekea job namuona huyo binti kwao, nikawaza huyu miezi 2 tu amekumbuka kwao! Nikaenda zangu job, usiku wakati tunapeana umbea na wife si nikamuuliza, vipi binti mliyeoza mbona nimemuona kwao? Akajibu hivi sijakupa ubuyu! Yule binti kijana aliyemuoa inasemekana ananguvu za ziada kwenye kunyanduana, nikasema hilo linatatizo gani kama kijana anajiweza? Akasema siyo hivyo, yaani muda wote anataka vyombe, binti akiwa anafua, anapika, anakula au hata anaongea na watu, jamaa anaita, binti akichelewa anakuta jamaa hadi anavibrate hadi mate yanatoka! Nikauliza ikawaje sasa, akajibu binti mwanzoni alivumilia kwa kuhisi labda baadae jamaa atazoea mbususu aache kumsumbua lakini wapi, kukicha Bora ya jana. Binti akamueleza mama mkwe wake, mama mkwe akamshirikisha mumewe, kikao chao kikajadili kuwa binti ameenda kuolewa, na anachofanya kijana wao ni tafsiri halisi ya ndoa hivyo binti atimize wajibu wake kwa mumewe. Binti akaona cha kufia nini akaamsha popo kurudi kwao. Hadi muda huu naandika binti yupo kwao, hajaolewa anajishughulisha na ufundi cherehani. Mnisamehe kwa maelezi marefu na kiswahili kibaya ambacho baadhi yenu humu mmechangia kuni- influence.
 
We bwana mdogo sana.....tafuta tiba haraka kabla mambo hayazidi kuwa mabaya........

Mwanaume hazeeki nyama ya utamu......

Wapo watu wanakimbilia 80 na bado mnara unasoma wewe dogo janja unasingizia umri........

Wewe sema kama una tatizo watu walitatue usisingizie umri.....nyege hazina umri bhana.......

Kijana wa miaka 40 mpaka 60 sio wa kulalamikia masuala ya nguvu za kiume unless una matumizi mabovu ya mwili wako...........

Labda nikuibie Siri..... mwanamume vinavyomrudisha nyuma kwenye hilo ni maradhi tu lakini si vinginevyo..........ndio maana wanasema mwanaume hazeeki.......

Wewe bwana mdogo tafuta tiba haraka tusije kusikia kesi za kukatana mapanga.....
😁😁😁. Nitajitahidi mkuu
 
Back
Top Bottom