instagramer
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 215
- 492
Sasa Mkuu nataka nikusaidie Tena unahisi nakuona mtoto.... Khaaah haya bana... We ungenipa namba ya Shem nakuhakikishia ungepona mazima.Mi sio Mtoto jamaangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Mkuu nataka nikusaidie Tena unahisi nakuona mtoto.... Khaaah haya bana... We ungenipa namba ya Shem nakuhakikishia ungepona mazima.Mi sio Mtoto jamaangu
Hapo ndio tatizo lilipoanzia, inaonekana kiungo chako hukifanyishi mazoezi mara kwa maraInawezekana, yani hata tukiwa ndani nimkute na mkao gani hata mapigo ya Moyo hayabadiliki kabisa 😁😁😁ila Sasa hapo kwenye kuniambia nichepuke ndio shughuli Sasa, mazoea Sina.
Huwezi kuwa strong all the time, 40yrs sio haba ni lazima mengine yaanze kupunguaKatika vitu vinafanya uwe mwanaume ni nguvu za kiume na uwezo wa kiuchumi kikipungua kimojawapo hasa nguvu za kiume we ni kama mdoli ile ya dukani
Fanya hivi mkuu kujitia busta;We acha tu, saivi hata asubuhi mnara hausomi kabisa jamaangu.
Hahaha, ukiolewa baada ya muda type mrejesho. Kwa nia njema tu.Pole,me nikiolewa siku nitakazokua napumzika ni zile zile za wekundu wa msimbazi, ila siku hizi nyingine zote lazima nipewe kilichonileta kwenye ndoa,
Labda ungekuwa 60, au unadhani we ndo mwanaume wa kwanza kufikisha hiyo 40 ndg mkuu, una tatizo tafuta tiba usilete visingizio,Huwezi kuwa strong all the time, 40yrs sio haba ni lazima mengine yaanze kupungua
40 ni kijana atafute tibaLabda ungekuwa 60, au unadhani we ndo mwanaume wa kwanza kufikisha hiyo 40 ndg mkuu, una tatizo tafuta tiba usilete visingizio,
Tena kijana barobaro mwenye six pack zake nzuri tu na misuli ya kushiba halafu chini dorooo, atafute tiba aache kumpunja ndg yetu40 ni kijana atafute tiba
Huyu jamaa atakayekuoa atakufa mapema sanaPole,me nikiolewa siku nitakazokua napumzika ni zile zile za wekundu wa msimbazi, ila siku hizi nyingine zote lazima nipewe kilichonileta kwenye ndoa,
Hayo ni maneno tu.....akishaingia kwenye ndoa......hatakuwa yeye.....Huyu jamaa atakayekuoa atakufa mapema sana
Akikutana na wapiga mkuyenge atatembezewa dozi wiki mbili tu mfululizo atalala na suruali mwenye tuHayo ni maneno tu.....akishaingia kwenye ndoa......hatakuwa yeye.....
Unaweza kwenda kwa Mwanamke mwingine mnara ukasimama usiku kucha...hapo mmeshazoeana sanaNina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.
Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Unaweza kumsugua usiku mzima na bado akagongwa nje, hawa Wanawake wa sasa ni tabia yaoMwamba, siwatanigongea😁😁😁
Ndio maana nikasema hayo ni maneno yake.....akiingia ndio ataujua utamu wa ngoma kama acheze au akatikeAkikutana na wapiga mkuyenge atatembezewa dozi wiki mbili tu mfululizo atalala na suruali mwenye tu
Kuwa mlev maana umepambana hadi kufka 40 syo mchezo hapo kusavaifu umebaksha kama 10 kwaiyo jiburudshe moyo wako mwenywNina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.
Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Wahuni siyo wazuriNdio maana nikasema hayo ni maneno yake.....akiingia ndio ataujua utamu wa ngoma kama acheze au akatike