Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
36yrs si ndio unatakiwa uisimamie hadi ipate umotomoto mkuu..Mi nikipiga kimoja leo tukutane mwezi ujao tena .36yrs.
Vita vya kiuchumi mkuu nyege zimepeperuka.36yrs si ndio unatakiwa uisimamie hadi ipate umotomoto mkuu..
Ukijifanyia auditing mwenyewe utabaini kuna habits kadhaa umeziendekeza kiasi Cha kuathiri sexual health yako.Nina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.
Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Sikupingi mkuu!Vita vya kiuchumi mkuu nyege zimepeperuka.
Acha masihara jamaa
kuna jambo kubwa unataka kuaaccmplish kwa wanaume ni jambo la kawaida ila kwa wavulana hawatakuelewa.Nina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.
Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Mkuu nitumie namba ya shemeji inbox... Kuna mambo nimshauri utashangaa tu hamu inakuijia Kila siku.Nina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.
Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Kwenye mashineApake kwenye nini sasa mkuu mbona umeongea kiuoga uoga
Acha hizo, umeona ni fursa sio?Mkuu nitumie namba ya shemeji inbox... Kuna mambo nimshauri utashangaa tu hamu inakuijia Kila siku.
Asante!!
Ushauri mwingine Mmmmmmh 👐👐👐Ndio uone umuhimu wa wanaume wanaotembea na wake za watu. Huo usumbufu unaopata inatakiwa ukubali atokee mwamba awe anamkunja mkeo vizuri sana hadi anaridhika shida upumbavu wa wanawake atabeba na mimba kabisa ya jamaa na taanza dharau kwako hawajui kabisa kula na kipofu hawa mapimbi.
Nipo nachuja comments wakubwa wenzangu nitawajua tu.kuna jambo kubwa unataka kuaaccmplish kwa wanaume ni jambo la kawaida ila kwa wavulana hawatakuelewa.
We acha tu, kichwa kinawaza hela tu muda wote. 😁😁😁Sikupingi mkuu!
Atagawa kwa wengine shauri yakoNina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.
Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Wahi hospital, Hilo ni tatizo la kiafya tayari, si hali ya kawaida kwa umri huo, Angalia "kiasi cha sukari mwilini" , Badili/rekebisha mfumo wako wa maisha maisha.naweza kaa hata miezi sitamani kabisa
At 40, I'm not a young person anymore. May be age has played a big role.Ukijifanyia auditing mwenyewe utabaini kuna habits kadhaa umeziendekeza kiasi Cha kuathiri sexual health yako.
Sukari, BP vyote vipo poa, nimefanya check up kadhaa KABLA ya kuandika hapa.Wahi hospital, Hilo ni tatizo la kiafya tayari, si hali ya kawaida kwa umri huo, Angalia "kiasi cha sukari mwilini" , Badili/rekebisha mfumo wako wa maisha maisha.
At 40 you are very young, labda Kama utapatwa na ugonjwa tu otherwise umri huo bado kijana sana.At 40, I'm not a young person anymore. May be age has played a big role.