Miaka 40 tu lakini ulaji wa tunda ushakuwa shida

Miaka 40 tu lakini ulaji wa tunda ushakuwa shida

Nina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.

Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Ukijifanyia auditing mwenyewe utabaini kuna habits kadhaa umeziendekeza kiasi Cha kuathiri sexual health yako.
 
Acha masihara jamaa
FB_IMG_1716811437372.jpg
 
Nina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.

Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
kuna jambo kubwa unataka kuaaccmplish kwa wanaume ni jambo la kawaida ila kwa wavulana hawatakuelewa.
 
Nina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.

Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Mkuu nitumie namba ya shemeji inbox... Kuna mambo nimshauri utashangaa tu hamu inakuijia Kila siku.

Asante!!
 
Ndio uone umuhimu wa wanaume wanaotembea na wake za watu. Huo usumbufu unaopata inatakiwa ukubali atokee mwamba awe anamkunja mkeo vizuri sana hadi anaridhika shida upumbavu wa wanawake atabeba na mimba kabisa ya jamaa na taanza dharau kwako hawajui kabisa kula na kipofu hawa mapimbi.
 
Ndio uone umuhimu wa wanaume wanaotembea na wake za watu. Huo usumbufu unaopata inatakiwa ukubali atokee mwamba awe anamkunja mkeo vizuri sana hadi anaridhika shida upumbavu wa wanawake atabeba na mimba kabisa ya jamaa na taanza dharau kwako hawajui kabisa kula na kipofu hawa mapimbi.
Ushauri mwingine Mmmmmmh 👐👐👐
 
Nina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.

Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Atagawa kwa wengine shauri yako
 
Back
Top Bottom