Miaka 40 tu lakini ulaji wa tunda ushakuwa shida

Miaka 40 tu lakini ulaji wa tunda ushakuwa shida

Una Matatizo Makubwa....!
Itaharibu Ndoa yako... Wanawake wasikie tu kwa jirani.
Sisi ni ngono ni kipaumbele sana, hata makazini tunalipua lipua mambo ila ngono tusipoifanya haswa haswa tunakuwa kwenye matatizo makubwa.
 
Kuna wale ambao wajaoa hudhani walio oa wanakulana tunda kila siku,hawajui kwenye ndoa watu hukaa hata wiki 2
 
maradhi..
ulaji mbovu...
mazoezi haba....
msongo wa mawazo....
matumizi ya dawa kwa muda mrefu...
 
Kuna wanaume humu wana comment as if wanamuona jamaa ana shida,ukweli ni kuwa mihamu huendana na umri pamoja na mazoe.
Ni kama mtu akiwa kijana wa miaka 22 akipata mwanamke mpya unaunganisha golf ndani kwa ndani lakini huyo huyo mwanamke ikidumu nae hata miezi 3 utaanza kumzoea na hata hizo golf huwezi unganisha ingawa utakuwa na huo huo umri.

Pia kabdri unri unavyokwenda vichochoe vingi hupungua.
 
Back
Top Bottom