Miaka 40 tu lakini ulaji wa tunda ushakuwa shida

Miaka 40 tu lakini ulaji wa tunda ushakuwa shida

Kuna wanaume humu wana comment as if wanamuona jamaa ana shida,ukweli ni kuwa mihamu huendana na umri pamoja na mazoe.
Ni kama mtu akiwa kijana wa miaka 22 akipata mwanamke mpya unaunganisha golf ndani kwa ndani lakini huyo huyo mwanamke ikidumu nae hata miezi 3 utaanza kumzoea na hata hizo golf huwezi unganisha ingawa utakuwa na huo huo umri.

Pia kabdri unri unavyokwenda vichochoe vingi hupungua.
Sasa unataka kusemaje ndugu, nishushe presha kwa7bu nihali ya kaida?
 
Kwa maisha yetu huu ni umri wa majukumu mengi sana, yaani ile dhana ya life begins at 40 ni huko ulaya na marekani. Huku bongo 40 ndio umri watoto wapo primary na secondary, kama hujajenga ndio kipindi cha kupambana uwe na kibanda chako, kama ni ajira/biashara ndio unatakiwa uwe stable....mambo ni mengi, usipoangalia unapata crisis ya mawazo. Sasa kama upo stage hiyo, mambo ni mengi, hilo tunda utalila vipi hadi ufaidi!
 
Kwa maisha yetu huu ni umri wa majukumu mengi sana, yaani ile dhana ya life begins at 40 ni huko ulaya na marekani. Huku bongo 40 ndio umri watoto wapo primary na secondary, kama hujajenga ndio kipindi cha kupambana uwe na kibanda chako, kama ni ajira/biashara ndio unatakiwa uwe stable....mambo ni mengi, usipoangalia unapata crisis ya mawazo. Sasa kama upo stage hiyo, mambo ni mengi, hilo tunda utalila vipi hadi ufaidi!na

Kwa maisha yetu huu ni umri wa majukumu mengi sana, yaani ile dhana ya life begins at 40 ni huko ulaya na marekani. Huku bongo 40 ndio umri watoto wapo primary na secondary, kama hujajenga ndio kipindi cha kupambana uwe na kibanda chako, kama ni ajira/biashara ndio unatakiwa uwe stable....mambo ni mengi, usipoangalia unapata crisis ya mawazo. Sasa kama upo stage hiyo, mambo ni mengi, hilo tunda utalila vipi hadi ufaidi!
Sasa tunafanyaje ili hawa wake zetu watuelewe? Mana hapo ndipo Mtihani ilipo, mwenzako anaweza fikiri una Mchepuko mana mama zetu mara nyingi huongozwa na hisia badala ya uhalisia.
 
Kwa maisha yetu huu ni umri wa majukumu mengi sana, yaani ile dhana ya life begins at 40 ni huko ulaya na marekani. Huku bongo 40 ndio umri watoto wapo primary na secondary, kama hujajenga ndio kipindi cha kupambana uwe na kibanda chako, kama ni ajira/biashara ndio unatakiwa uwe stable....mambo ni mengi, usipoangalia unapata crisis ya mawazo. Sasa kama upo stage hiyo, mambo ni mengi, hilo tunda utalila vipi hadi ufaidi!na

Kwa maisha yetu huu ni umri wa majukumu mengi sana, yaani ile dhana ya life begins at 40 ni huko ulaya na marekani. Huku bongo 40 ndio umri watoto wapo primary na secondary, kama hujajenga ndio kipindi cha kupambana uwe na kibanda chako, kama ni ajira/biashara ndio unatakiwa uwe stable....mambo ni mengi, usipoangalia unapata crisis ya mawazo. Sasa kama upo stage hiyo, mambo ni mengi, hilo tunda utalila vipi hadi ufaidi!
Sasa tunafanyaje ili hawa wake zetu watuelewe? Mana hapo ndipo Mtihani ulipo, mwenzako anaweza fikiri una Mchepuko mana mama zetu mara nyingi huongozwa na hisia badala ya uhalisia
 
Mkuu najua utasema ni utani ila hii mbinu utanishukuru badae kwa mda wako..
Na hata kama utakua na chochote kitu utanitumia tuu sina baya..

Nunua cologate ile dawa ya meno.
Kila asbhi paka na unapolala paka
Ndani ya week case itakua closed....
Apake kwenye nini sasa mkuu mbona umeongea kiuoga uoga
 
Nina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.

Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Baki hivo hivo sisi tukusaidie kwa bibie. Wewe umri umeenda. Tupe namba za bibie.
 
Nina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.

Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Acha kunywa energy na mandazi.
NB;Kuna uwezekano sonona inakusumbua.Tafuta wataalamu wakupe tiba ya akili.
 
Kulaa vizuri ,
Nina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.

Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
 
Back
Top Bottom