Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ongeza na asubuhi na ufanye tu kama routineLabda hapo kwenye lishe, mazoezi Nina program ya kila siku jion baada ya kazi.
mcheck huyu jamaa 0743430792 Dr DwigoNdio unipe njia Sasa.
Haya bwanaAchia Namba ukae Sub wewe uwanjani huchezi sasa unakaa uwanjani kufanya Nini inabidi aingie kiungo MSHAMBULIAJI
Sema astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah 😁 😁 😁 😁 😁 😁Ningekua kama wewe ningefurahi sana ,ningeweza kutimiza ndoto zangu nyingi kwa wakati.
🙏🙏🙏🙏🙏 nitazingatia ushauri.Sasa ongeza na asubuhi na ufanye tu kama routine
Halafu hiyo hali huwa inatokea (kuyakinai mapenzi)
Wala haitokani na umri dunia imekuwa na fujo nyingi sana
Usiseme hivyo, mwanamke bila kumshughulikia vilivyo hakuelewi hata umpe nini.Ningekua kama wewe ningefurahi sana ,ningeweza kutimiza ndoto zangu nyingi kwa wakati.
Jaribu juice mkuu..Nina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.
Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Analeta mzaha huyu.Sema astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah 😁 😁 😁 😁 😁 😁
Juice ya tunda gani mkuu?Jaribu juice mkuu..
😁😁😁 mwambie atiririke hapa, hiyo ya kumtafuta hapana.mcheck huyu jamaa 0743430792 Dr Dwigo
Huyo userious wake upo kwa kitengo cha likes tu 😁😁😁🚬Analeta mzaha huyu.
Ukizoea dawa nasikia bila dawa ndio pump haiamki kabisa.Waone wamasai wakupe dawa.
Basi tujuane nisijihisi niko peke yangu, pia mniambie mnakabiliana vipi na hii hali.Ndoutuuzima huo mkuu usiogope wengi wako hivyo
Ni kawaida hiyo hali kutokea kwenye ndoa hasa ndoa za muda mrefu ila hapo ndipo unahitaji kupambana kweli kweli maana ndoa nyingi huwa zinaishia kwenye hali hiyoNina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.
Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
nikajua upo serious😁😁😁 mwambie atiririke hapa, hiyo ya kumtafuta hapana.