Chalii Wa Kipare
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 462
- 907
- Thread starter
- #241
Hapo ndio ⛽ itaamka vizuri?😁😁😁Kula mchemsho wa chukuchuku mpaka mashavu yarudi ndani kama janabi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndio ⛽ itaamka vizuri?😁😁😁Kula mchemsho wa chukuchuku mpaka mashavu yarudi ndani kama janabi
Halafu mnigongeee? Acha hizo mkuu😁😁Pumzika mkuu achana na kuchosha mwili.
Si lazima ku do
Kula mchemsho wa chukuchuku mpaka mashavu yarudi ndani kama janabi
Unataka kusema "nifanye kadiri ya uwezo huwezi kumridhisha mwanamke" napokea ushauri, lkn kutoku🖕hata mara moja moja ni issue pia.Ninachotaka kukuambia ni kuwa Mwanamke hachepuki kwasababu tu ya kukosa Dushe au kukosa pesa, unaweza kumpa yote hayo na akachepuka na akazaa na Mwanaume mwingine....huwezi kujua kuwa wanataka nini hasa.
MmmhNina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.
Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Acha masihara mkuuHutamani tunda moja tu au matunda yote? Kuna matunda ukiyaona tu unaweza kula bila hata kumenya maganda, tunda kama limedondoshwa toka juu.
Mbona miguno?Mmmh
Sawa mkuuHiyo ndo afya mkuu 😅
Huwezi kulizuia mkuuJua limezama mapema sana mbona
Acha masihara mkuu
Yote😁😁😁😁Masihara vp? jibu swali hutamani tunda moja tu au yote tujue jinsia ya kukusaidia.
Sawa mkuuKuna vitu 3 vikuu husababisha hii hali:
1:Huli vyakula vya protein or bibie hakupikii hivyo vyakula
2: Stress hua ni shida kubwa kwa waliowengi and hasa mijini
3:Kuzoea mazingira,token hata kwa mwezi mara moja mnaenda sehemu tofauti na home hua inasaidia sn kurejesha mahusiano.
Nyongeza
Fanya maombi sana usijekua umetembelewa na mapepo but ibada nimuhimu sn kwako.
Sawa mkuuUkila sana usiku nguvu nyingi inatumika kusaga chakula matokeo yk ni kulala usingizi badala ya kuchimba mgodi wewe Chali
Mmmmmmh, we sikiaga tu habari za kusaidiwa.Kwani shida iko wapi ukisaidiwa?
Walaa hazina shida yoyote. Majukumu kusaidiana mkuu, hivyo walaa usihofu.Mmmmmmh, we sikiaga tu habari za kusaidiwa.
Sasa hayo ndio masihara😁😁😁 ili iweje Sasa?Unaishi sehem gani?
Utaambukizwa Ngoma au utakuwa analelea wenzako watoto.Walaa hazina shida yoyote. Majukumu kusaidiana mkuu, hivyo walaa usihofu.
Nahisi na ww una tatizo kama lakesio kitu cha lazima
sijafika hukoNahisi na ww una tatizo kama lake