Wewe ilikusaidia?Mkuu najua utasema ni utani ila hii mbinu utanishukuru badae kwa mda wako..
Na hata kama utakua na chochote kitu utanitumia tuu sina baya..
Nunua cologate ile dawa ya meno.
Kila asbhi paka na unapolala paka
Ndani ya week case itakua closed....
Pyeeeπππππ Acha mawazo ya ajabu ajabu wewe khaa
πππ Unanitukana live sasaWewe ilikusaidia?
Nani leo kachafua hali ya hewaPyeeeππ
Mdomo komaπ€ππππ Unanitukana live sasa
Sina ApuuπNani leo kachafua hali ya hewa
Bora umejiwahi mapema maana nilianza kuweka dawa yako kwa jiko hPa πππMdomo komaπ€π
Lazima unayo wewe..Sina Apuuπ
Kula matunda mbali imbali usiku kula kiasi na mazoeziNina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.
Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Apuus ilifutwa na wasaga nafaka jamaniπLazima unayo wewe..
Naku zoom tu.., πππ
Au huko IG anasemaje
Hapo pump itakuwa fit?Kula matunda mbali imbali usiku kula kiasi na mazoezi
IG nimemfollow kaka Mila na tbc onlineπLazima unayo wewe..
Naku zoom tu.., πππ
Au huko IG anasemaje
Sasa sahvi unaishi vipi ndugu yangu πππApuus ilifutwa na wasaga nafaka jamaniπ
Ukila sana usiku nguvu nyingi inatumika kusaga chakula matokeo yk ni kulala usingizi badala ya kuchimba mgodi wewe ChaliHapo pump itakuwa fit?
TBC tena...IG nimemfollow kaka Mila na tbc onlineπ
Sina hali maisha yangu yamekuwa ya mashaka sana, mara miguu ikose nguvu , mara baridi na kutetemeka yani ni tafraniππSasa sahvi unaishi vipi ndugu yangu πππ
πππππ Ila mna magroup yenyu yale ya hovyo hovyo....Sina hali maisha yangu yamekuwa ya mashaka sana, mara miguu ikose nguvu , mara baridi na kutetemeka yani ni tafraniππ