Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo unajikuta mara ya mwisho kumwambia mpenzi wako 'i love you' hukumbuki [emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha ha ha hKwenye game of love money is everything!!
Wazee wengi wanaenjoy papuchi mbichi kabisaaa!
Check na Trump!!!
Kama huna hela utaishia kujiona mjanja kuwasumbua hawa wauza mboga mtaani!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna uwezekana,kwa sababu ukiisoma meseji aliyoijibu mzee kuna kitu unagundua.Mimi sio masikini. Sema lingine. Halafu sina wivu ila nimeandika ukweli. Tu. Again Jack ndo kaandika hizo texte.
kaandika alichosema mzee au sio ?Mimi sio masikini. Sema lingine. Halafu sina wivu ila nimeandika ukweli. Tu. Again Jack ndo kaandika hizo texte.
hii tabia ni ya kishetani kabisa ....ni wivu na ushamba wa majitu ambayo hayajastaarabika.Wapo watu huwa hawana tofauti na shetani, wakiona wenzao wanafurahia chochote ktk maisha wanakasirika mpaka wanajikojolea. Ugonjwa wa mtu au udhaifu wowote unaoujua una uhusiano gani na furaha yake. Katika haya maisha kila mmoja ana siri yake .Hongera mzee Mengi, hongera sana, kula matunda ya jasho lako na umalize siku zako kwa furaha na amani. Waafrika tutafute pesa, tupunguze umbeya usio na faida kwako.
Tena unaulizwa una nini mwenzetuHahaha, ukimtumia SMS ya I love you anakuuliza, na leo utanikoma, utaniambia umeharibu wapi.
Hah hah hah MwifaI love you crazy
[emoji102][emoji173]U.[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Hahaha, ukimtumia SMS ya I love you anakuuliza, na leo utanikoma, utaniambia umeharibu wapi.
[emoji102][emoji173]U.[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Tafuta hela, unataka uzeeke kama Mengi bila kuwa na mkwanja? Hapo inaongea hela sasa wewe zeeka ukute mpk hela ya kununua mkongojo wa kutembelea hunaNikizeeka nataka kuwa kama Mengi, mzee anarudi kuwa kijana hata mapigo yake ya mavazi si mchezo