Nywilla
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 379
- 349
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haka kazee kanajua kudeka bhn!!!Siku Kama ya Leo mwaka 2015 mfanyabiasha maarufu mzee Mengi na mrembo Jackline Ntuyabaliwe walifunga ndoa na kubahatika kupata watoto.
Wakitimiza miaka 5 kwenye ndoa wanandoa hao wamefunguka mtandaoni kuonyesha hisia zao kwa Kila mmoja
View attachment 1055885View attachment 1055886View attachment 1055887
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee kumbe bado wapo. ...Kipindi cha nyuma kabisa niliwahi kutaka kubadili mfumo wa maisha, sasa ile namfungulia mlango wa gari naambiwa nipishe huko, umeanza lini!
Ukituma SMS za I love You umeibua kesi, basi nikarudi kama jeshini.
Ila najipanga upya, nitabadilika.
Ilitakiwa uendelee tu angezoea mie nimejipangia kwa wiki nasema I love u kwa msg mara nneKipindi cha nyuma kabisa niliwahi kutaka kubadili mfumo wa maisha, sasa ile namfungulia mlango wa gari naambiwa nipishe huko, umeanza lini!
Ukituma SMS za I love You umeibua kesi, basi nikarudi kama jeshini.
Ila najipanga upya, nitabadilika.
Sipingi ulichoandika, ila kwa teknolojia ya sasa inawezekana kabisa kuandika text bila kutype hasa kwa hizi simu janja.Zote hizo kaandika Jack. Huyu babu na ugonjwa wa Parkinson unaomsumbua hata hawezi andika kutumia keybord.
Sijui kama kuna aliyeuliza nani kaandika hizo text, halafu ugonjwa wa mtu ni privacy yake na tujifunze kuheshimu hilo.Mimi sio masikini. Sema lingine. Halafu sina wivu ila nimeandika ukweli. Tu. Again Jack ndo kaandika hizo texte.
Aisee kumbe bado wapo. ...
Mazingira lakini yanachangia. ...
Kila mwisho wa sms na maongenzi inatoka tu yenyewe. ...
Hiyo ya mlango usisahau na kum buckle up [emoji16][emoji3]
Ilitakiwa uendelee tu angezoea mie nimejipangia kwa wiki nasema I love u kwa msg mara nne
Raha sana kufanyia vitu vidogo vidogo kama hivyo. ....ila ndio umfanyie anayethamini. ....lasivyo utateseka.Hahaha!
Bongo ngumu sana hizi swaga, nina rafiki yangu mmoja, toka nimemfahamu mpaka leo he lives this kind of life.
More than 12 years, zamani tukiwa chuo tulikuwa tunajua atabadilika, mpaka leo yuko hivyo hivyo tu.
Ilitakiwa uendelee tu angezoea mie nimejipangia kwa wiki nasema I love u kwa msg mara nne
Raha sana kufanyia vitu vidogo vidogo kama hivyo. ....ila ndio umfanyie anayethamini. ....lasivyo utateseka.
This statement is Beautiful indeed. "I love you crazy"I love you crazy
Jamaa yangu huyo huwa namwambia nikiiga maisha yako ntakonda haraka sana.
Yaani yeye hata mkikaa bar, cha kwanza ni kumuuliza muhudumu jina lake, na anajitahidi kuweka ukaribu mpaka meza unakuwa inapendelewa.
Love ni kupanga strategies kama kazi nyingine au biashara lazima ufanye investment kwenye love ya muda na hali na mali.Kwakujitahidi Huko ni kama unailazimisha. ....
Fanya ikutoke tu hata kwasiku mara mbili. .....
jitahidi mzee babaHahaha, yaani mimi labda kama nabembeleza show, hasa ukiona mood siyo zenyewe au nimejishtukia tu kwamba kuna mahali nimezingua.