Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

Kwa heshma ya Karume na Mama Fatma, please lets spare them, please usiwageuze ni subject of discussion ya uzi huu!, mada uko thread ya kwanza, unamajibu jibu, huna kaa kimya!.
Naona nikatembelee threads nyingine, hapa hakuna kitu!.
And next time nakuomba mkuu Zomba, ukikuta thread ina maswali, kama unamajibu, changia!, kama huna, itoshe kupitia tuu na kujisomea!. Sio lazima kuchangia kila thread!. Issue nyingine ni ngumu zinahitaji sio tuu kubwabwaja majibu bali research ndipo jibu lipatikane, mpaka sasa tunakwenda page ya tano bado sijaona jibu lolote la maana!.
Pasco.

Pasco,
Kumbe unavamia mambo wala huijui historia ya Zanzibar.

Umetumwa?

Mkapa akiwa juu ya jukwaa Zanzibar alitoa hotuba kisha akawakejeli Waarabu
wa Oman.

Wengi katika wale waliokuwa katika jukwaa kuu waliinamisha vichwa chini na
mmoja wapo ni Amani Karume na mkewe Bi. Shadya pamoja na waheshimiwa
wengine.

Jioni kwenye chakula cha usiku Mkapa akaelezwa kuwa wale uliokuwa unawakashifu
ni wazee wa wengi wa watu wa Zanzibar na mmojawapo ni babu yake First Lady.

Pasco fanya hii homework.
Tafuta habari za Salim Jinja...

Hii itakusaidia kuelimika.
Na huu nimekupa mfano mmoja tu.

Iko mingi.

Usitukimbize ati tusimtaje Abeid Amani Karume na Mama Fatma.

Wewe ni mbaguzi na ndiyo maana umepelekwa huko ili ujue kuwa hujui kitu.
Wewe unaimbishwa na unaitika unachoimbishwa.

Kama alivyoimbishwa Mkapa na akaimba na katika ile nyimbo yake akajikuta
anawatukana Wazanzibari wengi na wengine mawaziri katika serikali yake.

Jibu la Mkapa baada ya mkasa ule alisema,''Sitokuja kuielewa Zanzibar.''
Lakini Zanzibar si ngumu kuielewa ikiwa kichwa chako kimetulia.

Pasco wa kukaa kimya ni wewe usiejua kitu.
Tupe nafasi sisi tukupe darsa kuhusu historia ya Zanzibar.

Wewe huna moja unalojua.
Ukijifunga kwenye mapinduzi na ukadhani kuwa hiyo ndiyo historia ya Zanzibar...

Huyo Muarabu aliyekuwa anamtafuta Mkapa na ndiyo huyo Muarabu unaemsaka
wewe.

Huyo Muarabu hayupo Zanzibar na hatakuwapo kamwe.

Nakuachia na hili la Salim Jinja.

Ukimaliza hilo nitakupa darsa mimi mweyewe kuhusu makomredi na In Sha
Allah tutaanza na marehemu Badawiy Qullatein.
 
Kwa heshma ya Karume na Mama Fatma, please lets spare them, please usiwageuze ni subject of discussion ya uzi huu!, mada uko thread ya kwanza, unamajibu jibu, huna kaa kimya!.
Naona nikatembelee threads nyingine, hapa hakuna kitu!.
And next time nakuomba mkuu Zomba, ukikuta thread ina maswali, kama unamajibu, changia!, kama huna, itoshe kupitia tuu na kujisomea!. Sio lazima kuchangia kila thread!. Issue nyingine ni ngumu zinahitaji sio tuu kubwabwaja majibu bali research ndipo jibu lipatikane, mpaka sasa tunakwenda page ya tano bado sijaona jibu lolote la maana!.
Pasco.

Wacha upunguani kila unaloulizwa ooh tuwawache, utaongelea ubwana na utumwa usiongelee Karume na Fatma?

Utaongelea mapinduzi usiongelee makomredi na Karume?

Wewe umeleta mada tuongee nini? toa basi hii mada au waambie moderators waifunge. Maana unaongelea Utwana na Ubwana, wewe mwenyewe, halafu unapoulizwa kuhusu hilo, ooh hao usiwaongelee, unaoengelea mapinduzi na kutamba humu kitabu cha Dr. Ghassany umekisoma chote, tunapokuwekea nukuu ya Dr. Ghassany na kukuonesha anapoongelea kuhusu Makomred, tukikuuliza unasema huwajui.

Ukisikia kisa cha kutaka kuiga tembo ndio hiki.

Itakuwa vyema hii mada ukawaachia watu wenye kuyajua haya mambo wayaelezee humu na wewe ubaki kuuliza maswali.
 
Pasco,
Kumbe unavamia mambo wala huijui historia ya Zanzibar.

Umetumwa?

Mkapa akiwa juu ya jukwaa Zanzibar alitoa hotuba kisha akawakejeli Waarabu
wa Oman.

Wengi katika wale waliokuwa katika jukwaa kuu waliinamisha vichwa chini na
mmoja wapo ni Amani Karume na mkewe Bi. Shadya pamoja na waheshimiwa
wengine.

Jioni kwenye chakula cha usiku Mkapa akaelezwa kuwa wale uliokuwa unawakashifu
ni wazee wa wengi wa watu wa Zanzibar na mmojawapo ni babu yake First Lady.

Pasco fanya hii homework.
Tafuta habari za Salim Jinja...

Hii itakusaidia kuelimika.
Na huu nimekupa mfano mmoja tu.

Iko mingi.

Usitukimbize ati tusimtaje Abeid Amani Karume na Mama Fatma.

Wewe ni mbaguzi na ndiyo maana umepelekwa huko ili ujue kuwa hujui kitu.
Wewe unaimbishwa na unaitika unachoimbishwa.

Kama alivyoimbishwa Mkapa na akaimba na katika ile nyimbo yake akajikuta
anawatukana Wazanzibari wengi na wengine mawaziri katika serikali yake.

Jibu la Mkapa baada ya mkasa ule alisema,''Sitokuja kuielewa Zanzibar.''
Lakini Zanzibar si ngumu kuielewa ikiwa kichwa chako kimetulia.

Pasco wa kukaa kimya ni wewe usiejua kitu.
Tupe nafasi sisi tukupe darsa kuhusu historia ya Zanzibar.

Wewe huna moja unalojua.
Ukijifunga kwenye mapinduzi na ukadhani kuwa hiyo ndiyo historia ya Zanzibar...

Huyo Muarabu aliyekuwa anamtafuta Mkapa na ndiyo huyo Muarabu unaemsaka
wewe.

Huyo Muarabu hayupo Zanzibar na hatakuwapo kamwe.

Nakuachia na hili la Salim Jinja.

Ukimaliza hilo nitakupa darsa mimi mweyewe kuhusu makomredi na In Sha
Allah tutaanza na marehemu Badawiy Qullatein.

Yaani hayo unayosema ya kumwambia huyu Pasco akae kimya ndio hayo hayo nimemwandikia dakika mbili tatu nyuma, Wallahi utafikiri niliiona hii post yako.

Huyu kijana nimemwambia akae angoje wenye kuyajuwa wayaelezee, yeye aulize maswali, atapata faida yeye na wengi wengine, badala ya yeye kila swali analoshindwa anataka lianzishiwe nyuzi yake.
 
Last edited by a moderator:
Kuna hawa makomrade marehem Ali Amran Bin Ameir,na Amour Doughaish huyu Commando bado yupo hai.
 
Kuna hawa makomrade Ali Amran Bin Ameir na Amour Doughaish huyu Commando...hawa wote ni marehemu.

Shariff Ritz,
Na hawa wanaweza kukuonyesha makaburi ya babu wa babu wa babu wa
babu hapo Zanzibar hadi ukachoka.

Ajilazimeshe Pasco kwa ubaguzi wake kuwaita hawa ati hawana haki Zanzibar
mwenye haki yeye Msukuma kutoka Ilemela.

Hii sumu yao ya rangi imekwisha kazi.
Na In Sha Allah tutawashinda na njama zao.
 
Yaani hayo unayosema ya kumwambia huyu Pasco akae kimya ndio hayo hayo nimemwandikia dakika mbili tatu nyuma, Wallahi utafikiri niliiona hii post yako.

Huyu kijana nimemwambia akae angoje wenye kuyajuwa wayaelezee, yeye aulize maswali, atapata faida yeye na wengi wengine, badala ya yeye kila swali analoshindwa anataka lianzishiwe nyuzi yake.

Unajua Zomba,
Hawa watu akina Pasco and Co. si watu wa kuwachekea.

Wamesababisha vifo vingi sana Zanzibar.
 
Pasco,
Huwajui makomredi kisha unataka kuzungumza kuhusu mapinduzi...
Wewe umesema umemsoma Dk Ghassany kisha unasema huwajua makomredi.

Sitaki kukuita muongo kuwa hujasoma hicho kitabu.

Mfano wa karibu wa makomredi ni huu.
Humjui Julius Nyerere kisha unataka kueleza vijiji vya ujamaa vya Chamwino.

Huwezi kuiandika historia ya mapinduzi ya Zanzibar bila kuwataja makomredi.

Nadhani umeipata picha.

Ikiwa unajiweza chukua mfano wa ''kulaks'' katika historia ya mapinduzi ya
Urusi.

Hawa makomredi bado wapo ingawa wengi ni watu wazima sasa.
Mkuu Maalim Mohamed Said, asante kunielimisha kuhusu Makomredi, nilikuwa siwajui ila sasa ndio nimewajua!.
Unaweza kuniita muongo na sijakisoma hicho kitabu kwa sababu siwajui makomredi!.
Angalizo muhimu kwako!. Mimi ndie niliyekiweka humu jf kitabu chote, ukurasa wa kwanza mpaka wa mwisho!. Uongo wa kwenye hicho kitabu ni kama ule uongo wako kule na unahitaji thread yake. Maadamu hizi zilikuwa ni series, nilipanga series number 2 iwe Kiongozi wa kweli wa Mapinduzi ya Zanzibar na Kwanini Karume Hakushiriki bali aliyakimbia!. Uongo wa Dr. Ghassany ilikuwa series number 3, sasa itakuwa ni number 2 baada ya hii, tutakutana kule tutamalizana.
Pasco.
 
Mkuu Pasco kumbe ulikuwa unaandika tamthilia.
 
Last edited by a moderator:
quote_icon.png
By Pasco

. Nikakisome wapi tena wakati kimeletwa humu jf, kitabu kizima kipo!. Ninayo nakala nimepewa na rafiki yangu binti wa Kizanzibari, yule mwanahabari Salma Said. Nimekisoma na kukisoma na kukisoma na humu jf pia ni mimi ndio nimekiweka na tumekiponda humu kama tulivyoyapobda maandishi ya Maalim Mohamed Saidi na kisa cha wazee wake wa Gerezani!.

Wacha hizo, hivi uongo unakusaidia nini? wewe umekibandika hicho kitabu leo hii (Today 08:02) kwenye link ya mwaka 2012 ambayo ndio hiyo ulituwekea link yake hii: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ukoloni-kwaheri-uhuru-dk-harith-ghassany.html,

lakini kitabu kilikuwemo JF kabla ya hapo, links hizi hapa:

11th December 2011
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...iri-nzito-kwa-heri-ukoloni-kwaheri-uhuru.html

30th November 2010
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/92238-kwaheri-ukoloni-kwaheri-uhuru.html

7th October 2010
https://www.jamiiforums.com/matanga...a-karibuni-kwaheri-ukoloni-kwaheri-uhuru.html

11th June 2010
https://www.jamiiforums.com/habari-...ili-wa-historia-ya-mapinduzi-ya-zanzibar.html

29th May 2010
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/62950-kwaheri-ukoloni-kwaheri-uhuru.html

24th May 2010
https://www.jamiiforums.com/habari-...ya-kwaheri-ukoloni-kwaheri-uhuru-chatoka.html
 
Mkuu Maalim Mohamed Said, asante kunielimisha kuhusu Makomredi, nilikuwa siwajui ila sasa ndio nimewajua!.
Unaweza kuniita muongo na sijakisoma hicho kitabu kwa sababu siwajui makomredi!.
Angalizo muhimu kwako!. Mimi ndie niliyekiweka humu jf kitabu chote, ukurasa wa kwanza mpaka wa mwisho!. Uongo wa kwenye hicho kitabu ni kama ule uongo wako kule na unahitaji thread yake. Maadamu hizi zilikuwa ni series, nilipanga series number 2 iwe Kiongozi wa kweli wa Mapinduzi ya Zanzibar na Kwanini Karume Hakushiriki bali aliyakimbia!. Uongo wa Dr. Ghassany ilikuwa series number 3, sasa itakuwa ni number 2 baada ya hii, tutakutana kule tutamalizana.
Pasco.

Kwanza muongo, juu huko nimeweka nyuzi ambazo zina hicho kitabu toka 2010. wewe umekibandika leo kwenye nyuzi ya mwaka 2012. Nimeainisha kwenye post yangu juu hapo.

Pili, kuweka kitabu si maana yake umekisoma. Ukisome kitabu halafu Makomred usiwajue, wala usijue Dr. Harith Ghassany hapa kamaanisha nini:

Bado nakumbuka wakati nilipokuwa mtoto mdogo nimesimama mbele ya sinema ya Majestic iliyopo Zanzibar na kufadhaishwa na mgongano wa kiakili baina ya Wazanzibari wenye asili ya Kiarabu waliyokuwa wamevaa nguo za kuvutiya za kijeshi, bastola kiunoni na bunduki mikononi, na mimi kuikamata kalamu na kujibu masuali kuhusu somo la utumwa wa Waarabu darasani skuli ya Tumekuja. Suala langu lilikuwa, kama Waarabu wanachukiwa na wanachukiza mbona Makomred walikuwa mstari wa mbele Zanzibar? - Dr. Harith Ghassany
 
Mkuu Bilali Bini Rabaha, thread ya msingi ni ile ya kwanza, umeelewa unajibu, hujaelewa unakaa kimya!. Unapokuwa humuelewi mtu wala hata usijisumbue kujangia, kuna threads kibao humu unaziweza kuzielewa, au hata uamuzi wa ku log off ni wa busara zaidi kuliko kujaza savers kwa usichokielewa!. Main topic ipo, hizo hoja nyingine si zifunguliwe topic zake tutachangia!. Lengo ni to keep focus!.
EMerry X-mass.
Pasco

Unajuwa nini Pasco? Wewe unataka kujuwa ya Ubwana na Utwana kawaluize watoto wa hao inowaita wanamapinduzi halisi. Mistake kubwa waliyofanya ni pale baba zao walipowaowa mama zao kwa nguvu eti kutaka kuwakejeli waarabu.

Now the Chicken have come to roost home. Sababu wale wamezaa nao. Kama wewe unavyompenda mama yako mzazi na wajomba zako basi na wale watoto wao wanawapenda sana mama zao na wajomba zao.

So watu kama Mansour Yusuf Himid utamtukania mama zao na wajomba zao hawawezi kukubali sababu ya makosa ya mizigo ya baba zao.

Utamtukanaje Mwaarabu wa Zanzibar bila kuwa umewatukana wake wa Mzee Karume, Mke mkubwa wa Mzee Rukhsa, au wake zake wote watatu Mzee Aboud Jumbe mke wa Khamis Darweish au Mke wa Dr. Amani Karume na mama mkwe wake na mke wa Kaka yake Ali Karume au mke waVP2 wa SMZ na Mhe. Zakia Megji na dada zake.

Hawa wote ni waarabu na almost wote wameolewa na the so called real revolutioneries unaowataja wewe.

Eti Mapinduzi matukufu!
 
Siwajua, naomba unijuze hao makomredi ni kina nani na wanahusika vipi na mada ya msingi?!.
Pasco

Pasco,
Huyo hapo chini ni Victor Mkello.
Mzee huyu sasa ni marehemu.

Picha hii imepigwa nyumbani kwake Nguvumali, Tanga.

Victor Mkello alifanya kazi kubwa sana katika kuivamia Zanzibar na
mamluki kutoka mashamba ya mkonge Sakura na Kipumbwi Zanzibar.

Hapa Victor Mkello alikuwa katika ''death bed.''
Mgonjwa sana.

Ilimchukua miaka mitatu ya nenda rudi panda shuka Dk Ghasssany akija Tanga
kufanya mahojiano na Mkello.

Ilichukua miaka mitatu ndipo alipokubali kueleza nafasi yake na ya wengine katika
kuivamia Zanzibar.

Ati unasema Dk Ghassany hakuzungumza na waliofanya mapinduzi...

Kazungumza Dk Ghassany mpaka na wale Wamakonde waliovushwa na Mkello kutokea
Kipumbwi wakiwa chini ya Mohamed Omari Mkwawa.


CPouovOhcYaMLt-XH13tABXsjyYGOv0Kccjn8IstvFs=w291-h207-p-no


Pasco,
Nilikuonya toka awali kuwa angalau jifunze adabu.

Bado hujafikia makamu ya kuingia kwenye mnakasha kama huu wa Zanzibar.
 
Mkuu Maalim Mohamed Said, asante kunielimisha kuhusu Makomredi, nilikuwa siwajui ila sasa ndio nimewajua!.
Unaweza kuniita muongo na sijakisoma hicho kitabu kwa sababu siwajui makomredi!.
Angalizo muhimu kwako!. Mimi ndie niliyekiweka humu jf kitabu chote, ukurasa wa kwanza mpaka wa mwisho!. Uongo wa kwenye hicho kitabu ni kama ule uongo wako kule na unahitaji thread yake. Maadamu hizi zilikuwa ni series, nilipanga series number 2 iwe Kiongozi wa kweli wa Mapinduzi ya Zanzibar na Kwanini Karume Hakushiriki bali aliyakimbia!. Uongo wa Dr. Ghassany ilikuwa series number 3, sasa itakuwa ni number 2 baada ya hii, tutakutana kule tutamalizana.
Pasco.
Pasco kwani ujishikilie umekiweka wewe kitabu cha Dr. Ghassany hapa JF as if kama vile umefanya favour au umeombwa hali kitabu kiko free online kwenye tovuti yake na FB page.

Wewe huwajui Makomredi hujui chochote kuhusu Zanzibar na.watu wake umejaa chuki na dharau na stereo typing.

Wewe kama wewe Mapinduzi yanakuhusu nini.
Unamwita Maalim Muhammed Said mrongo hali wewe ukweli huujui.
Unamwita Dr. Ghassany Mwongo mbona hujatoa kitabu chako chenye rebutal ya huo uwongo wao?

Toa angalau one page bullet point utujulishe line by line hili ni urongo na ukweli ni huu. Ni kwa sababu huna materia you are just empty in your head.

Acha kuita watu warongo hali huna material kichwani.

Bora uwache hiyo tabia tafadhali jibu kwa hoja sio kuita watu warongo while you are ignorant of many things.

Na sijui.ilikuwaje ukapata shauku ya kuandika huu uzi, hukujuwa consequences zake?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Maalim Mohamed Said, asante kunielimisha kuhusu Makomredi, nilikuwa siwajui ila sasa ndio nimewajua!.
Unaweza kuniita muongo na sijakisoma hicho kitabu kwa sababu siwajui makomredi!.
Angalizo muhimu kwako!. Mimi ndie niliyekiweka humu jf kitabu chote, ukurasa wa kwanza mpaka wa mwisho!. Uongo wa kwenye hicho kitabu ni kama ule uongo wako kule na unahitaji thread yake. Maadamu hizi zilikuwa ni series, nilipanga series number 2 iwe Kiongozi wa kweli wa Mapinduzi ya Zanzibar na Kwanini Karume Hakushiriki bali aliyakimbia!. Uongo wa Dr. Ghassany ilikuwa series number 3, sasa itakuwa ni number 2 baada ya hii, tutakutana kule tutamalizana.
Pasco.

Pasco,
Wewe huna lako jambo katika historia ya Zanzibar.

Unataka kucheza mpira bila kuwa na uwezo hata wa kupiga danadana.

Umeyavamia mambo na ikiwa umefanya hivyo kwa kutumwa basi

nakuhurumia.
Bora ungebaki na yale ulozoea.

Haya ni mazito sana na kwa hakika si makamo yako.

Hapo chini ni mimi nafanya mahojiano ya TV na Salim Rashid
kuhusu mapinduzi ya Zanzibar.

Alosema hayana tofauti na haya ninayokuambia wewe.
Naamini unamjua Salim Rashid na nafasi alizoshika Zanzibar.

20121124_174037.jpg
 
Asante kwa links hizo, kumhusu Dr. Ghassany, naomba fungua hii link hapa, soma tarehe ya hii thread, angalia nilisema nini kumhusu Dr. Ghassany, by the time nachangia hapa nilikuwa nimeishasoma kitabu siku nyingi na nilipewa na dada yenu, Mtoto wa Kiarabu hapo Zanzibar!, tena mnabahati sisi haturuhusiwi kuoa zaidi ya mara moja!, ningembadili dini na leo hii ningekuwa shemeji yenu!. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar; Una Faida gani na kwa ...
Leo nimekiweka ili wengi zaidi wakisome, ili nitakapoanza kukibomoa, tuweze kwenda sambamba.
Pasco
 
Unajuwa nini Pasco? Wewe unataka kujuwa ya Ubwana na Utwana kawaluize watoto wa hao inowaita wanamapinduzi halisi. Mistake kubwa waliyofanya ni pale baba zao walipowaowa mama zao kwa nguvu eti kutaka kuwakejeli waarabu.

Now the Chicken have come to roost home. Sababu wale wamezaa nao. Kama wewe unavyompenda mama yako mzazi na wajomba zako basi na wale watoto wao wanawapenda sana mama zao na wajomba zao.

So watu kama Mansour Yusuf Himid utamtukania mama zao na wajomba zao hawawezi kukubali sababu ya makosa ya mizigo ya baba zao.

Utamtukanaje Mwaarabu wa Zanzibar bila kuwa umewatukana wake wa Mzee Karume, Mke mkubwa wa Mzee Rukhsa, au wake zake wote watatu Mzee Aboud Jumbe mke wa Khamis Darweish au Mke wa Dr. Amani Karume na mama mkwe wake na mke wa Kaka yake Ali Karume au mke waVP2 wa SMZ na Mhe. Zakia Megji na dada zake.

Hawa wote ni waarabu na almost wote wameolewa na the so called real revolutioneries unaowataja wewe.

Eti Mapinduzi matukufu!

Kwa kuongezea tu, hata mke wa pili wa Mzee Ruksa, Bi Khadija, ni mmanga pyuwa na pua imenyooka.

Leo uwatukane Waarabu halafu Salim Ahmed Salim yuko kikaoni, ingawa ana Umanyema, hivi atakuelewa kweli?

Huyu Msukuma anaisikia tu Zanzibar haelewi Zanzibar ni nini na nani, ni hawa wa aina hii ya Pasco ambao humu-humu JF niliwahi kuwafungulia nyuzi, ipo mpaka leo, kuwa ni wabaguzi wa ujinga, si wakijinga, la hasha, ni wa ujinga.

Kwa kuwa wamejazwa ujinga sisi tutaendelea kuwaelimisha ilmu ya kuwafungua waliyoikosa, ilmu yao ilikuwa ni ya kufungwa akili zao na kupachikwa mawazo na fikra za mtu mwingine, waone analotaka yeye, waseme analo taka yeye na wafikiri analotaka yeye.

Ni ubaguzi wa ujinga.
 
Last edited by a moderator:
Asante kwa links hizo, kumhusu Dr. Ghassany, naomba fungua hii link hapa, soma tarehe ya hii thread, angalia nilisema nini kumhusu Dr. Ghassany, by the time nachangia hapa nilikuwa nimeishasoma kitabu siku nyingi na nilipewa na dada yenu, Mtoto wa Kiarabu hapo Zanzibar!, tena mnabahati sisi haturuhusiwi kuoa zaidi ya mara moja!, ningembadili dini na leo hii ningekuwa shemeji yenu!. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar; Una Faida gani na kwa ...
Leo nimekiweka ili wengi zaidi wakisome, ili nitakapoanza kukibomoa, tuweze kwenda sambamba.
Pasco

Kisa cha sungura na zabibu au ilikuwa ni nyani?
 
Back
Top Bottom