Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

Mkuu Maalim Mohamed Said, kwanza asante kutuwekea picha kuupendezesha huu mnakasha wa mengineyo, kiukweli upendezea na hilo vazi, sikujua kumbe na wewe pia?, huyo wa pili pia kapendezea na hiyo kanzu yake kama ya kule Arabuni, Omani!.
  1. Kwanza simjui huyu ni nani wala sihitaji kumjua, ila ukiona anapaswa kujulikana, utamtaja kama nilivyosema siwajui makomred na ukawataja!.
  2. Unawasiwasi gani kuhusu hoja zangu za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,hadi kunitaka nikuhakikishie kitu ili huo wasiwasi ukitoke?.
  3. Sijui ni kwanini umeniwekea hii picha, ila lengo la picha yoyote huwa nalifahamu!.
  4. Sishughulishi bongo yangu hata chembe kumjua ni nani na umemuweka ili iweje unless wewe ndio umtaje mwenyewe!, na usipomtaja, mada yangu bado itapata na huwa sipandishi mada na picha zozote!, zikiwemo ni bora zaidi ila mada zangu zote zahusu bongo sio macho, hivyo nimjue, nisimjue mada itapanda, umtaje usimtaje mada itashuka!.
  5. Nimeisha shindwa, ila simuombi yoyote kunisaidia kukitengua kitendawili hiki, kwa sababu mada yangu, haitegemei kitendawili hiki!, kiwepo kisiwepo, mada itashuka!.
  6. Namalizia kukuhakikishia kuwa sikuhakikishii kitu chochote ili nipandishe mada humu, nikimaanisha kupandisha kwangu mada humu, hakukutegemei wewe Mkuu Maalim Mohamed Said, hivyo nikuhakikishie as if nakubembeleza uje uchangie, nikianzisha uko free uje, kama ili uje ndio umenitaka nikuhakikishie kitu, sikuhakikishii chochote!, nikianzisha unaweza kuja, ukiona vipi unaweza usije!.
  7. Hata hivyo ukweli unabaki kuwa mimi Pasco wa jf, nakukubali sana wewe Maalim Maalim Said kuwa una "powers from within", hivyo ukichangia mada zozote, una mvuto mkubwa na kuipaisha na kuifanya ionekana ya maana hata kama haina maana!, japo saa nyingine, mvuto huo, huwavuta wengi na kupitiliza hadi kuinekana kama ni bucha ya utumbo, licha ya wanunuzi kitoweo cha utumbo kuisongea bucha, pia huzongwa na mainzi kibao!.
  8. Nkianzisha muendelezo wa mada hizi, nitafurahi ukiwepo, ila sio kwa kukubembeleza ili uwepo as if nakutegemea wewe, ukiwepo ni bora zaidi ila hata usipokuwepo mada itapanda tuu kwa sababu wewe sio tegemeo la kupanda kwa mada humu, usipokuja nitaikosa michango muhimu, ila pia yale mazonge ya ile mi inzi yatapungua!.
Karibu!.
Pasco.

Umetokota, oops, umechemsha!
 
quote_icon.png
By Yombayomba

Usikimbie, kamwite huyo aje ajibu hapa mmechangia kiasi gani? hizi hadithi ohh koti likikubana so what, mbona chupi ikimbana hasemi?

Mimi tena nikimbie? unataka kuanza kuleta utani ambao sinao. Unasema nikamwite wakati nimeshamleta na umemsoma? mbona unataka kufanya maajabu saa hizi? Au ullichokisoma hujakielewa? soma tena, kwa "utuvu" japo "kiduchu":

Zanzibar imetoa asilimia 11.02 ya hisa iloanzisha Benki Kuu (BOT) lakini haikupata gawio lolote la faida (dividend) kwa miaka 28 tokea 1966 – 1994. Na baada ya hapo imekuwa ikipewa gawio la asilimia 4.5 badala ya asilimia 11.02 ya kima cha hisa katika mtaji uloanzisha BOT. - Ismail Jussa

Naona Yombayomba ushauri wangu umekuingia na umemsoma tena Jussa kwa "utuvu" na umeamua kutokuendelea nami.

Kama una lingine, tafadhal.

Ritz, kwa heshima na taadhima, mkaribishe gahwa kwa halwa ya Gidemi ile ya Loz huyu kijana, naona mate yamemkauka.
Yombayomba, Ahlan Wasahlan Wamarhaba. Tafadhal, Tafadhal, Tafadhal.
 
Mtaalam Al Khabaru Maalim Ulamaa Ibn Maarifa Al Zomba!

Nijaalia fursa kuzungumza nawe japo kiduchu ewe Maulana Ibn Maarifa!?

Nachukua dhima na faghari hii ilotukuka kukupa pongezi na hongera zilo nyingi mno toka kwetu sisi Wana Chadema Tawi la Tengeru kwa Nabii...kwa kumvuruga,kumgarafaza na kumchana kitaaluma huyo kauzu Pasikali aka Pasco!

Unajua ameishi humu-JF miaka mingi mno kwa kujikweza status ya ati "usomi"/"Mwanahabari Nguli" na utoto wa mjini asokua nao! Yaani ametutesa mno sisi misukule ya Chadema! Dah! Teeh! Teeh! Teeh!

Hivi sasa baada ya wewe Mkuu Zomba kumvuruga na kumchana kitaaluma huyo kauzu Pasikali...imetusaidia nasi pia kumfahamu yakuwa ni ndondosa/kanjanja tu kama sisi misukule ya Chadema!? Dah! Teeh! Teeh! Teeh!

Kwanini Mkuu Zomba usjiunge na hiki kikundi chetu cha Chadema...ili utusaidie pia kutokomeza ma-CCM mangine yajifanzayo ati ndo "wasomi"/"wanataaluma" humu-JF ili sisi Chadema tupumue kwa raha zetu!? Teeh! Teeh!Teeh!

Najua Pasikali atakuja kukanusha yakuwa ati hana Chama cha Siasa!? Teeh! Teeh!...kama ni hivyo kwanini unaishi mjini kwa kutapeli senti/pesa za Viongozi wa CCM,kwa kujifanza ati "Mwanahabari nguli"!? Duh!

Shukran saana kwa yoote Mkuu Zomba!...na twaendelea kukusoma Al Habiby!

Ahsanta sana.

Ahlan Wasahlan Akh l'Karim gombesugu.

Amma kwa hakika umenipa maneno matamu na mema na nimefarijika sana. Hususan na mualiko wako wa kunikaribisha chadema, laiti ingalikuwa si majukumu niliyonayo ya hapa na pale ningelijikita zaidi kwenye siasa, ila kwa sasa, siasa kwangu ni ushabik wa kutetea pale kwenye haki. Iwe kwa chadema au CCM au CUF au NCCR au kwingineko.

Ingawa hapa nilipo mimi ni mwanachama hai wa CCM tokea ilipoanzishwa 5-2-1977, kuna mengi hayakidhi matakwa niyatakayo ndani ya CCM, lakini busara zinaniambia ni bora ning'ang'ane kuyabadili nikiwa ndani ya CCM kuliko nikiwa nje ya CCM. Kwani huko nje ya CCM nahisi kuna mengi zaidi ambayo hayakidhi matakwa yangu.

Msemo wa "Zimwi likujualo halikuli likakwisha" umeniathiri zaidi katika hili.

Ahsantum wa Baraka Llahu Fik wa Fi Jammia L'muslimin.
 
Usikimbie, kamwite huyo aje ajibu hapa mmechangia kiasi gani? hizi hadithi ohh koti likikubana so what, mbona chupi ikimbana hasemi?

Kweli jf kuna vituko zomba wakukukimbia wewe au unatania?mjomba wangu pasiko siku 4 hapumui hapa iwe wewe?
 
Last edited by a moderator:
Naona Yombayomba ushauri wangu umekuingia na umemsoma tena Jussa kwa "utuvu" na umeamua kutokuendelea nami.

Kama una lingine, tafadhal.

Ritz, kwa heshima na taadhima, mkaribishe gahwa kwa halwa ya Gidemi ile ya Loz huyu kijana, naona mate yamemkauka.
Yombayomba, Ahlan Wasahlan Wamarhaba. Tafadhal, Tafadhal, Tafadhal.

Huyu hafai hata kukaribushwa hiyo haluwa first class ya Gidemy.
 
Babu zetu ndio waliwauzia Waarabu watumwa, kwa shanga na vioo. Au hilo hulijui?

Aisee logic yako embuiangalie vizuri. Pasco anasema waarabu waliwauza babuzetu utumwani. Alafu wewe unwawatetea waarabu kwa kusema ni babuzetu ndio waliwauza babuzetu kwa waarabu kwakupewa vioo na shanga. Kwaiyo waarabu hawana makosa ila makosa ni ya hao babuzetu waliotumiwa na waarabu.

Utakuwa unawaabudu waarabu wewe
 
Naona Yombayomba ushauri wangu umekuingia na umemsoma tena Jussa kwa "utuvu" na umeamua kutokuendelea nami.

Kama una lingine, tafadhal.

Ritz, kwa heshima na taadhima, mkaribishe gahwa kwa halwa ya Gidemi ile ya Loz huyu kijana, naona mate yamemkauka.
Yombayomba, Ahlan Wasahlan Wamarhaba. Tafadhal, Tafadhal, Tafadhal.
Huyo yombayomba alidhani hata Chit-Chat ati anakupiga mkwala haujui mziki wako.

zomba, huyu tutampa zile tende za kula gamia watoe maziwa.

Nilimpa ovyo utakuja kukimbia wewe humu watu wamejipanga kuna mipini ya haja.
 
Last edited by a moderator:
Haya Pasco. Mie mpaka unipe mji.

Majanga.
Hakuna mji wowote!, ukiamua kutaja taja, ukiamua kutotaja kwa sababu hujapewa mji usitaje,
simjui huyo kwenye picha wala anahusu nini!, "One can never miss what you never know!"
Ila pia kitendo cha kuomba nikupe mji, ni ishara njema ya good faith, nimekupa mji wa kwetu kule Mashokololokubangashee!.
Pasco.
 
Mkuu Pasco

Unanivunja mbavu zangu kwa kucheka Mashekh hao uliowataja Nyerere mwenyewe alikuwa anawaopa hata kuwasogelea sembuse wewe kauzu, hawa Masheikh watakaa na wewe kwa lipi.

Pasco unawapa aibu kubwa Wasukuma ndugu zetu tumekaa nao kwa wema mpaka leo, nenda Misungwi, Nyangunge, Kamanga, Uzinza, Maswa, Bariadi, Nzega, Igunga, Itigi, Sarawe, Lunzewe, Tinde, Kayenze, Msalala Karumo, Katunguru, Mascat Fisi, kaone wazee wetu wa Kiislam walivyokuwa na mapenzi na Wasukuma, sijui wewe wa wapi.

Pasco nipo jamvini nasubiri kwa hamu ufungulie haya matusi kama bomba kama ulivyotoa ahadi.
Duh!mnawaogopa kiasi hicho?Ndo maana wakitoa amri wafuasi hamfikirii mara 2,kama Pasco ni mwandishi sioni ajabu kukutana nao.
 
Last edited by a moderator:
Pasco sina shaka umemsikia Warioba akitoa mapendekezo yake leo kuhusu Muungano, pia sina shaka katika kuhitimisha kupokea rasimu umemsikia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Muadham Daktur Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete.

Warioba amesema kinaga ubaga kuwa katika jambo lililochukua muda zaidi katika kutayarisha rasimu ni Muungano na matatizo yake.

Kikwete amesema kinaga ubaga moja katika mambo yaliyopelekea yeye kuamua iandikwe katiba mpya ni kero za Muungano zisizokwisha.

Warioba kapendekeza katika rasimu ya kwanza Serikali Tatu na katika hii rasimu ya Pili ni hivyo hivyo, Serikali Tatu na akatoa sababu zake, japo "kiduchu" tu lakini zimeeleweka.

Wazanzibari walio wengi wengi wametaka Muungano wa mkataba na wamekiri uliopo sasa una kero.

Watanganyika walio wengi wametaka Muungano wa Serikali tatu na wamekiri uliopo sasa una kero.

Ukichukulia hayo yote, ya Warioba, ya Kikwete, ya Wazanzibari, ya Watanganyika utaona ya kuwa hatuna Muungano "mtukufu". Kila mmoja kwa namna moja au nyingine amekiri Muungano una matatizo.

Nashangaa wewe pekee leo hii ung'ang'anie kuwa huu tulionao ni Muungano "mtukufu".

Kero zote zilizotajwa na Watanganyika na Wazanzibari na Warioba na japo "kiduchu" na Kikwete na sisi hapa kwenye nyuzi hii, bado tu huamini kuwa hatuna Muungano "mtukufu"?

Huo "utukufu" wa huu Muungano ni upi?

Ukishangaa ya Mussa utayaona ya Pasco. Yako ni kuliko ya Firaun.
Mkuu Zomba, kiukweli hii rasimu ya pili ya Warioba imetenda haki bin haki na haswa kwa Wazanzibari hana budi kufanya maandamano kumpongeza, maana mimi ni miongoni mwa mwa wale watetezi wa muungano kamili wa nchi moja, serikali moja, rais mmoja!. Nilitamani sana Zanzibar iwe mkoa tuu wenye wilaya mbili kama Tandahimba tuu!.

Hili la muungano Mtukufu, saa hizi posti yako hii ni number #526 ikifanikiwa kunionyesha hata posti moja tuu, niliyosema au kuutaja Muungano Mtukufu, ndipo nitakujibu hapa, vinginevyo fuatilia mtiririko wa mada zangu, inayuhusu muungano ni ya 5 na ya mwisho. Mwezi Aprili wakati wa maandalizi ya Muungano, pia nitaleta mada 5 za Maswali kuhusu Muungano yaliyokosa majibu, japo naona kama Jaji Warioba, mengi ameisha yapatia ufumbuzi!.
Mtiririko wangu ni huu.


  • Part I-Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar: Maswali Bila Majibu Part I
  • Part II-Jee nini Chanzo Halisi cha Mapinduzi ya Zanzibar na Nani Haswa Waipanga/Waliotekeleza
  • Part III -Nani ni Shujaa Halisi wa Mapinduzi ya Zanzibar!.
  • Part IV -Kwanini Abedi Amani Karume, Aliyakimbia Mapinduzi ya Zanzibar na hakushiriki?
  • Part V- Baadhi Matunda ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ni Muungano Adhimu!-"Mapinduzi Daima!"
Nasubiri tumalize hili tusonge mbele!.

Pasco.
 
Kama bunge ni tukufu na ndilo lilipitisha muungano,tuache double standard,muungano ni mtukufu hadi hapo itapokajulikana vingine.Nakubali pia kwamba mapinduzi ni matukufu.
 
Umetokota, oops, umechemsha!
Mkuu Zomba, hili la kutokota, huwa natokota mara kibao!, sambamba na kuchemsha, huwa nachemsha mara chungu nzima, ila pia katika kutokota huko, kuna wakati, nawatokotisha!, na katika kuchemka, kuna wakati nawachemsha!.
Miongoni mwa lugha zangu za kuchemsha ambalo imembidi Maalim Mohamed Said akae pembeni, ni hapa nilipomjulisha, akichangia yeye, kuna wafuasi wake hujitokeza kama mainzi wanavyozingea bucha ya utumbo!, wewe mwenyewe si ulishuhudia jana yale mainzi yalivyonisonga utafikiri yanagombea utumbo!. Ulifikia wakati nikajikalia pembeni, kuyaacha yakipishana mpaka yalipopungua, ndipo nikarejea, na kwa uzoefu wangu wa pilika pilika za mainzi, huwa ni mchana tuu, usiku yanatulia!, si unaona mida kama hii, mnakasha ni burdani kabisa!.
Pasco.
 
Ahlan Wasahlan Akh l'Karim gombesugu.

Amma kwa hakika umenipa maneno matamu na mema na nimefarijika sana. Hususan na mualiko wako wa kunikaribisha chadema, laiti ingalikuwa si majukumu niliyonayo ya hapa na pale ningelijikita zaidi kwenye siasa, ila kwa sasa, siasa kwangu ni ushabik wa kutetea pale kwenye haki. Iwe kwa chadema au CCM au CUF au NCCR au kwingineko.

Ingawa hapa nilipo mimi ni mwanachama hai wa CCM tokea ilipoanzishwa 5-2-1977, kuna mengi hayakidhi matakwa niyatakayo ndani ya CCM, lakini busara zinaniambia ni bora ning'ang'ane kuyabadili nikiwa ndani ya CCM kuliko nikiwa nje ya CCM. Kwani huko nje ya CCM nahisi kuna mengi zaidi ambayo hayakidhi matakwa yangu.

Msemo wa "Zimwi likujualo halikuli likakwisha" umeniathiri zaidi katika hili.

Ahsantum wa Baraka Llahu Fik wa Fi Jammia L'muslimin.
Mkuu Zomba kwa hili la msimamo wako kuhusu chama chako, nakuheshimu kwa hilo, kama ninavyomheshimu Mkuu Mchambuzi. Bhati mbaya sana mimi sina chama, kuhusu CCM, nilisema humu na huwa ninasema kila siku kuwa CCM kimechokwa, kimeoza kwa rushwa na ufisadi, kinanuka, kimevunda!, tegemeo na tumaini lote la ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania limeelekezwa Chadema, tatizo Chadema hawajipanga, hivyo mimi ni miongoni mwa wachache humu tunaohubiri siasa za ukweli, "real politics" natukifikiria kiukweli "real thinking" kuishi kwenye ukweli "real life" kuwa 2015, bado ni CCM tena na huu ni ukweli mchungu, ila ukiwa realist, lazima uukubali mkweli huu mchungu tofauti na wenzetu wengi humu wanao amini "utopian politics" wakifikiria kwa "wishful thinking" na kuishi kwenye "dream life" kuwa 2015, Chadema itachukua nchi!.

CCM kweli ni li zimwi, in fact ni shetani, ila kwa 2015, hili ndilo zimwi tulijualo, na kwa vile ni shetani, in between the two devils, choose the lesser!, zimwi, shetani CCM, litachaguliwa tena kwa huku bara! na huko Zanzibar, wale ndugu zangu vibaraka wa Waarabu, kama kawa, watapokwa tena tonge mdomoni, yule mwenye ndoto za kukanyaga ikulu, itakuwa ndio basi tena!, maana 2015-2020 atakuwa kesha!.
Pasco.
Pasco.
 
Mkuu Pasco

Unanivunja mbavu zangu kwa kucheka Mashekh hao uliowataja Nyerere mwenyewe alikuwa anawaopa hata kuwasogelea sembuse wewe kauzu, hawa Masheikh watakaa na wewe kwa lipi.

Pasco unawapa aibu kubwa Wasukuma ndugu zetu tumekaa nao kwa wema mpaka leo, nenda Misungwi, Nyangunge, Kamanga, Uzinza, Maswa, Bariadi, Nzega, Igunga, Itigi, Sarawe, Lunzewe, Tinde, Kayenze, Msalala Karumo, Katunguru, Mascat Fisi, kaone wazee wetu wa Kiislam walivyokuwa na mapenzi na Wasukuma, sijui wewe wa wapi.

Pasco nipo jamvini nasubiri kwa hamu ufungulie haya matusi kama bomba kama ulivyotoa ahadi.
Mkuu Ritz, fani yangu ni media, hivyo Mashekh wako hawa nimekaa nao kuzungumza nao ana kwa ana bahati mbaya enzi hizo, nilikuwa bado siko haya mambo ya mtandaoni, ila picha ninazo nimepiga nao ila pia bahati mbaya sana sina kawaida ya kutundika mapicha, kwa sababu sijapiga zile za kuonyeshea, hizo sio zangu. Hata huyu Sheikh Mkuu wa sasa pia nimefanya nae mazungumzo ya Anna kwa anna kwa vile tayari nilikuwa jf, niliyaleta humu, nisome hapa!.
Waislamu Chagueni Mgombea wa Dini Yoyote! - Mufti - JamiiForums au nisome hapa Sheikh Mkuu, Mufti Atoa Uhuru kwa Waislamu ..... - JamiiForums

Hivyo hao Masheik nimezungumza nao mwenyewe!. Ila hili la lafudhi ya Kiarabu, pia niao uwezo wa kuwabaini wale wanaozungumza lafudhi hii naturally kutokana na kubobea sana kwenye dini, na wale wanaizungumza lafudhi hii, au kuandika humu jukwaani kwa kuilazimisha kutoka na kuutukuza tuu Uarabu, na haswa wale Wamatumbi wenzetu wenye lafudhi ya kimatumbi kabisa ila, ili wajinasihibishe na Uarabu, basi ndio wanajikomba komba kuizungumza kwa kuandika lafudhi Kiarabu kwa kulazimisha kwa saana kupita hata hao Waarabu wenyewe!. Baadhi ya hizi lafudhi zinazoshuka humu,, mabata ushungu wallahi, ni burudani tupu!.
Pasco.
 
Aisee logic yako embuiangalie vizuri. Pasco anasema waarabu waliwauza babuzetu utumwani. Alafu wewe unwawatetea waarabu kwa kusema ni babuzetu ndio waliwauza babuzetu kwa waarabu kwakupewa vioo na shanga. Kwaiyo waarabu hawana makosa ila makosa ni ya hao babuzetu waliotumiwa na waarabu.

Utakuwa unawaabudu waarabu wewe

Kijana, mimi si katika Waabudu watu. Mimi ninaemuabudu ni mmoja tu, Allah. Tatizo linakuja pale kuna wanaoabudu mtu, tena si mtu wa ukweli, ni picha ya mtu, tena picha ya mzungu. Hao ndio wenye kusikitisha.

Mbona kuna babu zetu wengi nao walinunua Watumwa na kuwatumikisha? pitia hii nyuzi kuna mpaka picha zimewekwa humu. Usisikie kijana na usifikiri utumwa umekwisha, upo mpaka leo tena utashangaa hapa kwetu umeshamiri.
 
Mkuu Zomba kwa hili la msimamo wako kuhusu chama chako, nakuheshimu kwa hilo, kama ninavyomheshimu Mkuu Mchambuzi. Bhati mbaya sana mimi sina chama, kuhusu CCM, nilisema humu na huwa ninasema kila siku kuwa CCM kimechokwa, kimeoza kwa rushwa na ufisadi, kinanuka, kimevunda!, tegemeo na tumaini lote la ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania limeelekezwa Chadema, tatizo Chadema hawajipanga, hivyo mimi ni miongoni mwa wachache humu tunaohubiri siasa za ukweli, "real politics" natukifikiria kiukweli "real thinking" kuishi kwenye ukweli "real life" kuwa 2015, bado ni CCM tena na huu ni ukweli mchungu, ila ukiwa realist, lazima uukubali mkweli huu mchungu tofauti na wenzetu wengi humu wanao amini "utopian politics" wakifikiria kwa "wishful thinking" na kuishi kwenye "dream life" kuwa 2015, Chadema itachukua nchi!.

CCM kweli ni li zimwi, in fact ni shetani, ila kwa 2015, hili ndilo zimwi tulijualo, na kwa vile ni shetani, in between the two devils, choose the lesser!, zimwi, shetani CCM, litachaguliwa tena kwa huku bara! na huko Zanzibar, wale ndugu zangu vibaraka wa Waarabu, kama kawa, watapokwa tena tonge mdomoni, yule mwenye ndoto za kukanyaga ikulu, itakuwa ndio basi tena!, maana 2015-2020 atakuwa kesha!.
Pasco.
Pasco.

Umemaliza? hunipeleki huko. Swali langu hujajibu. Jee, mara yako ya kwanza kwenda Zanzibar ilikuwa lini na kwa sababu zipi?
 
Wala sihitaji pole yako na ya mwengine popote. Wape pole hao 'mliowakomboa' kwa mapinduzi na uhuru wa karatasi 1961 kwani mpaka leo miaka 50 majority wanaishi katika slums and living below poverty line.
Ahadi zote walizopewa hakuna hata moja iliyowafaidisha na kama si shule zenu za makanisa na misaada kutoka nje nadhani mngalikuwa bado mnasoma chini ya miembe na ujambazi na machangu doa kuzidi na pengine takwimu za ukimwi zingali sky rocket.

Mna kila kitu cha kujivunia kuweka watu korokorni hovyo kupiga na kuwauwa watu wasio na hatia sababu wanadai waliyoahidiwa na Uhuru na Mauwaji mnayoyaita Matukufu ya 1964.

Wazee wetu wako vindicated pale waliposema lets wait and see.

Katika uchaguzi wa 2010 wagombea wote 11 wa CCM walielekea Arabuni kuomba hela za kampeni kwa wenzao waliosoma nao madarasa pamoja Zanzibar. Ushahidi upo na hilo nakupa challenge kalifanyie utafiti.

Hiyo ndiyo Zanzibar usiyoijua!

Read the marks of time Pasco!

Khawarizm,
Umetoa ya kumalizia mwaka. Yaani umetoa argument yako badala ya kui- backup na data au reference unampa pasco kibarua afanyie utafiti point za kui-backup argument yako.
 
Back
Top Bottom