Miaka 60+ ya CCM, hakuna uhakika wa kula, Maji wala umeme

Miaka 60+ ya CCM, hakuna uhakika wa kula, Maji wala umeme

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Toka tupate uhuru ni miaka zaidi ya 60 chini ya utawala wa CCM lakini watanzania hatuna uhakika wa kula, kuoga wala kuona usiku. Nikimaanisha kwamba hakuna chakula cha kutosha, hakuna uhakika wa maji wala umeme.

Leo unga wa sembe kilo ni zaidi ya shilingi elfu 2, maharage yako shilingi elfu 4, dagaa hazishikiki. Hii ndio lishe kamili ya 80+ ya watanzania ambao wao kipato chao ni chini ya shilingi elfu 2 kwa siku.

Ukiachia hilo, hata kama ataweza kumudu kununua unga na maharage ama dagaa, uhakika wa kupata maji ya kupikia ni shida, hivyo anaweza kua na unga na dagaa bado akafa kw akukosa maji ya kupikia, achilia mbali ya kuoga.

Juzi naona viongozi wanasema 2025 Tanzania itakua developed country kwa sababu ya ujio wa gesi, sasa kama sasa hata kuoga ni ishu, hiyo miujiza gani itafanyika kwa miaka 2 tuwe developed country?

Hapo sijazungumzia umeme.

CCM hata wakipewa miaka 200 hii nchi haitaenda popote.
 
Nilipozaliwa 80 % ya miradi imefanyika kwa nguvu za wananchi ... Serikali ilikuja tuu kama geresha .. ufike Wakati tujitambue .. tutambue kuwa maendeleo yetu yanakeletwa na sis na siyo mwanasiasa

Shule.. zahanati .. Miundombinu ya maji nilishuhudia ikijengwa KWA nguvu za wananchi...
 
You are your own worst enemy ... Mchawi ni wewe mwenyewe .

Watz Tuamke
 
Toka tupate uhuru ni miaka zaidi ya 60 chini ya utawala wa CCM lakini watanzania hatuna uhakika wa kula, kuoga wala kuona usiku. Nikimaanisha kwamba hakuna chakula cha kutosha, hakuna uhakika wa maji wala umeme.

Leo unga wa sembe kilo ni zaidi ya shilingi elfu 2, maharage yako shilingi elfu 4, dagaa hazishikiki. Hii ndio lishe kamili ya 80+ ya watanzania ambao wao kipato chao ni chini ya shilingi elfu 2 kwa siku.

Ukiachia hilo, hata kama ataweza kumudu kununua unga na maharage ama dagaa, uhakika wa kupata maji ya kupikia ni shida, hivyo anaweza kua na unga na dagaa bado akafa kw akukosa maji ya kupikia, achilia mbali ya kuoga.

Juzi naona viongozi wanasema 2025 Tanzania itakua developed country kwa sababu ya ujio wa gesi, sasa kama sasa hata kuoga ni ishu, hiyo miujiza gani itafanyika kwa miaka 2 tuwe developed country?

Hapo sijazungumzia umeme.

CCM hata wakipewa miaka 200 hii nchi haitaenda popote.
NCHI imepoteza Mwelekeo inaenda wala haijui inakoenda
 
Toka tupate uhuru ni miaka zaidi ya 60 chini ya utawala wa CCM lakini watanzania hatuna uhakika wa kula, kuoga wala kuona usiku. Nikimaanisha kwamba hakuna chakula cha kutosha, hakuna uhakika wa maji wala umeme.

Leo unga wa sembe kilo ni zaidi ya shilingi elfu 2, maharage yako shilingi elfu 4, dagaa hazishikiki. Hii ndio lishe kamili ya 80+ ya watanzania ambao wao kipato chao ni chini ya shilingi elfu 2 kwa siku.

Ukiachia hilo, hata kama ataweza kumudu kununua unga na maharage ama dagaa, uhakika wa kupata maji ya kupikia ni shida, hivyo anaweza kua na unga na dagaa bado akafa kw akukosa maji ya kupikia, achilia mbali ya kuoga.

Juzi naona viongozi wanasema 2025 Tanzania itakua developed country kwa sababu ya ujio wa gesi, sasa kama sasa hata kuoga ni ishu, hiyo miujiza gani itafanyika kwa miaka 2 tuwe developed country?

Hapo sijazungumzia umeme.

CCM hata wakipewa miaka 200 hii nchi haitaenda popote.
Mkiweza Kula vizuri, hamtakuwa wajinga...matatizo ninfursa Kwa watawala
 
Toka tupate uhuru ni miaka zaidi ya 60 chini ya utawala wa CCM lakini watanzania hatuna uhakika wa kula, kuoga wala kuona usiku. Nikimaanisha kwamba hakuna chakula cha kutosha, hakuna uhakika wa maji wala umeme.

Leo unga wa sembe kilo ni zaidi ya shilingi elfu 2, maharage yako shilingi elfu 4, dagaa hazishikiki. Hii ndio lishe kamili ya 80+ ya watanzania ambao wao kipato chao ni chini ya shilingi elfu 2 kwa siku.

Ukiachia hilo, hata kama ataweza kumudu kununua unga na maharage ama dagaa, uhakika wa kupata maji ya kupikia ni shida, hivyo anaweza kua na unga na dagaa bado akafa kw akukosa maji ya kupikia, achilia mbali ya kuoga.

Juzi naona viongozi wanasema 2025 Tanzania itakua developed country kwa sababu ya ujio wa gesi, sasa kama sasa hata kuoga ni ishu, hiyo miujiza gani itafanyika kwa miaka 2 tuwe developed country?

Hapo sijazungumzia umeme.

CCM hata wakipewa miaka 200 hii nchi haitaenda popote.
Mkuu,kama hakuna chakula au bei yake ni kubwa ni vema ukala hata majani ya miti kwa chumvi.Burkina Faso wameweza hili.Kama hakuna maji ya kunywa utumie soda au juisi kukata kiu mkuu.Hilo nimeliweza.Na kama maji ya kuoga hauna,tumia maziwa ya ngamia kuoga.Mtawala wa kale, Cleopatra aliliweza hilo.Mungu akutie nguvu sana uendelee kutawaliwa na watu wasio na maono ya mbali.😂😂😂😂
 
Nilipozaliwa 80 % ya miradi imefanyika kwa nguvu za wananchi ... Serikali ilikuja tuu kama geresha .. ufike Wakati tujitambue .. tutambue kuwa maendeleo yetu yanakeletwa na sis na siyo mwanasiasa

Shule.. zahanati .. Miundombinu ya maji nilishuhudia ikijengwa KWA nguvu za wananchi...
Acha hizo!...huyo mwanasiasa wako unaye muongelea anakusanya kodi kutoka kwako na wenzio na hiyo ndio nguvu ya wananchi, ila sasa usipomkalia Kooni anaenda kununua Land Cruiser LC 300....na kujilipa mahela ya kufa mtu kama hawa wapigaji wetu hivyo kwa namna yoyote haiwezekani kuachana na mtu kama huyo...
 
Toka tupate uhuru ni miaka zaidi ya 60 chini ya utawala wa CCM lakini watanzania hatuna uhakika wa kula, kuoga wala kuona usiku. Nikimaanisha kwamba hakuna chakula cha kutosha, hakuna uhakika wa maji wala umeme.

Leo unga wa sembe kilo ni zaidi ya shilingi elfu 2, maharage yako shilingi elfu 4, dagaa hazishikiki. Hii ndio lishe kamili ya 80+ ya watanzania ambao wao kipato chao ni chini ya shilingi elfu 2 kwa siku.

Ukiachia hilo, hata kama ataweza kumudu kununua unga na maharage ama dagaa, uhakika wa kupata maji ya kupikia ni shida, hivyo anaweza kua na unga na dagaa bado akafa kw akukosa maji ya kupikia, achilia mbali ya kuoga.

Juzi naona viongozi wanasema 2025 Tanzania itakua developed country kwa sababu ya ujio wa gesi, sasa kama sasa hata kuoga ni ishu, hiyo miujiza gani itafanyika kwa miaka 2 tuwe developed country?

Hapo sijazungumzia umeme.

CCM hata wakipewa miaka 200 hii nchi haitaenda popote.
 

Attachments

  • C3786B71-9025-4F07-BEA1-4192D4A790F0.jpeg
    C3786B71-9025-4F07-BEA1-4192D4A790F0.jpeg
    10.6 KB · Views: 2
Je,tuna haja ya kuwa na viongozi.Au ni bora kuishiishi kama savages?
Mwananchi ajitambue kuwa yeye ndo final say ... What if hapo dar kila mwanadaresalama akitia 10k kila mwezi KWA mwaka mzima ? Kukawa na usimamizi thabiti wa KWA wao Maji hayajafika? Kero hazijatatuliwa?
 
Dar itabaki kuwa Dar tu.
Watu wa Dar, Hawataki kufikiria kutatua matatizo ya Dar.
Wanangoja wananchi wa Oman waje wawasaidie kutatua matatizo ya Dar
 
Je,tuna haja ya kuwa na viongozi.Au ni bora kuishiishi kama savages?
Ishu siyo kuishi kama savages .. UONGOZI uwepo ila wenye nguvu ni wananchi .. UONGOZI ni KWA ajili ya hamasa na maono ...

UONGOZI KWA ajili ya kusimamia kutekeleza matakwa ya wananchi ...

Nilipokulia KULIKUWA na mikutano ya Kijiji watu wakieleza changamoto na namna ya kuzitatua .. 80% of the work was done by my forefathers alafu serikali ikaja kumalizia pale walipochelewa wale elites walitafuta misaada nje pia kutoa mali zao ..

Shule nyingi tulizosoma /wanazosoma wadogo zangu zilikuwa renovated na kujenga KWA nguvu ya wananchi..

Miundombinu ya maji ..

Madaraja ...

Stairs za cement kwenye miteremko mikali KWA nguvu za wananchi ...
 
Unategemea chama kikuletee chakula kweli???
Chama chenyewe kinaendeshwa na wananchi wenye uchu na mali
 
Muarobaini wa hii yote ni katiba mpya inayowazuia viongozi wakuu kufanya ufisadi. Tume huru ya uchaguzi, mahakama, bunge huru zenye meno, na sio muhimili ulio jichimbia chini zaidi (sheria ifuatwe kwa ukaribu)
 
Back
Top Bottom