Tashacobbs
JF-Expert Member
- Jun 18, 2022
- 572
- 1,559
Kama huu mgao wa maji yani unashangaza,cha ajabu wametoa adi ratiba lini maji yatapatikana wapi ila kumbe ilikua geresha tupu toka wayakate hayajarudi adi leo!
Sijui wanatuchukuliaje hawa viongozi
Mungu anawaona!
Sijui wanatuchukuliaje hawa viongozi
Mungu anawaona!