jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Naangazia mada yangu kwa muktadha wa kutoa maoni kwa tume maalumu ya mipango ya nchi.
Ni wakati muafaka wa kufikiri na kufanyia kazi kwa haraka.
Tanzania kupitia JWTZ ifanye uwekezaji huu muhimu na kwa haraka ili tujitosheleze kwa nishati lakini pia tujiwekeze kiulinzi.
Zama za kutegemea URUSI NA MAREKANI zinaelekea ukingoni.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Ni wakati muafaka wa kufikiri na kufanyia kazi kwa haraka.
Tanzania kupitia JWTZ ifanye uwekezaji huu muhimu na kwa haraka ili tujitosheleze kwa nishati lakini pia tujiwekeze kiulinzi.
Zama za kutegemea URUSI NA MAREKANI zinaelekea ukingoni.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!