Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena siku hizi ni mambo nadogo tu hayo, huna haja ya kinu kama yale yakizamani, siku hizi ni (SMRs) tu, inaweza kuwa kila mtaa kama. Matumizi yenu makubwa, unaongezea nyingine pembeni yake (modular).Naangazia mada yangu kwa muktadha wa kutoa maoni kwa tume maalumu ya mipango ya nchi.
Ni wakati muafaka wa kufikiri na kufanyia kazi kwa haraka.
Tanzania kupitia JWTZ ifanye uwekezaji huu muhimu na kwa haraka ili tujitosheleze kwa nishati lakini pia tujiwekeze kiulinzi.
Zama za kutegemea URUSI NA MAREKANI zinaelekea ukingoni.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Mtu unakaa Dar, maji yanatoka mara moja kwa wiki, nyumbani umejaza madumu ya njano ya kutunzia maji. Na hapo ni Dar es salaam, jiji kubwa. Vijijini ndio usiseme, sehemu nyingine hawajawahi kuona maji ya bomba. Halafu leo upo kwenye daladala ya mbagala rangi tatu, unawaza tuwe na kinu cha nyukilia?Naangazia mada yangu kwa muktadha wa kutoa maoni kwa tume maalumu ya mipango ya nchi.
Ni wakati muafaka wa kufikiri na kufanyia kazi kwa haraka.
Tanzania kupitia JWTZ ifanye uwekezaji huu muhimu na kwa haraka ili tujitosheleze kwa nishati lakini pia tujiwekeze kiulinzi.
Zama za kutegemea URUSI NA MAREKANI zinaelekea ukingoni.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Labda mzinga wa nyukiNaangazia mada yangu kwa muktadha wa kutoa maoni kwa tume maalumu ya mipango ya nchi.
Ni wakati muafaka wa kufikiri na kufanyia kazi kwa haraka.
Tanzania kupitia JWTZ ifanye uwekezaji huu muhimu na kwa haraka ili tujitosheleze kwa nishati lakini pia tujiwekeze kiulinzi.
Zama za kutegemea URUSI NA MAREKANI zinaelekea ukingoni.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Hiyo ndio minyororo ya kuikata miaka 60+ ya uhuru wa kweliUnajua operating cost za kinu cha nuclear, safety standards, technical know-how, gharama za ujenzi hata wa kinu kidogo?
Unajua si kila kinu kinaweza zalisha weapons grade Uranium? Chenye uwezo kina gharama kubwa zaidi na teknolojia ya ziada ya kurutubisha?
Na unajua kwamba nchi inayounda silaha za nuclear inapigwa vikwazo? Maana Tanzania ni signatory wa Non-Proliferation Treaty (NPT).
Na unajua kuwa si kazi ya JWTZ kufua umeme? Ni kazi ya Wizara ya Nishati.
Nyinyi ndio mlimshauri yule jamaa akope trilioni 11+ kujenga SGR ya kubebea wasafiri badala ya kuimarisha reli ya kubeba mizigo.
Yaani ufanye mradi wa nyuklia alafu uwe chini ya jeshi??? Unatafuta vikwazo vikali na kama
Usiogopeshe KakaUnadhani kinu cha nukilia ni sawa na Tanesco ambayo kila sehemu umeme unavuja! Nishati hiyo haihitaji machawa, inahitaji watu makini ambao muda wote wapo mtamboni hakuna nimefiwa naenda kuzika, mshikaji sijui kanipigia simu! Utaua watu wote mikoa inayokuzunguruka, sisi bado saaana.
kwa mawazo haya tusingekuwa na SGR au Ndege zetuMtu unakaa Dar, maji yanatoka mara moja kwa wiki, nyumbani umejaza madumu ya njano ya kutunzia maji. Na hapo ni Dar es salaam, jiji kubwa. Vijijini ndio usiseme, sehemu nyingine hawajawahi kuona maji ya bomba. Halafu leo upo kwenye daladala ya mbagala rangi tatu, unawaza tuwe na kinu cha nyukilia?
Ungejua kilichotokea Urusi enzi za ukomyunisti usingesema hivyo.Usiogopeshe Kaka
🤣🤣🤣Kinu cha nuclear unakijua weweeee?kama mnataka kinu nenda mwenge pale Kwa wachonga vinyago
Ni wajerumani wangapi walioathirika kwa hilo?Mabaki ya uraniam baada ya kuzalisha ni tatizo kubwa liloifanya Ujerumani kuachana na uzalishaji umeme kwa kutumia vinu vya nyuklia. Mabaki hayo yanakuwa na mionzi zaidi na hatari kwa wanadamu kwa zaidi ya miaka 1000 na mahali salama pa kuhifadhi ni sida kubwa. Jana nilimshangaa Waziri Doto akizungumza kama mtu asiyejua tatizo hilo!😳
Uliza swali la maana, vinginevyo unonyesha jina lako "Jingalao" lilivyokukaa! Wenzetu huchukua tahadhari , wewe unafikiria mpaka maafa yatokee na athari mbaya ndio hatua zichukuliwe? Wao wanafunga vinu vilivyopo sasa na hawatajenga vingine!Ni wajerumani wangapi walioathirika kwa hilo?
Jibu swali nduguUli
Uliza swali la maana, vinginevyo unonyesha jina lako "Jingalao" lilivyokukaa! Wenzetu huchukua tahadhari , wewe unafikiria mpaka maafa yatokee na athari mbaya ndio hatua zichukuliwe? Wao wanafunga vinu vilivyopo sasa na hawatajenga vingine!