Unajua operating cost za kinu cha nuclear, safety standards, technical know-how, gharama za ujenzi hata wa kinu kidogo?
Unajua si kila kinu kinaweza zalisha weapons grade Uranium? Chenye uwezo kina gharama kubwa zaidi na teknolojia ya ziada ya kurutubisha?
Na unajua kwamba nchi inayounda silaha za nuclear inapigwa vikwazo? Maana Tanzania ni signatory wa Non-Proliferation Treaty (NPT).
Na unajua kuwa si kazi ya JWTZ kufua umeme? Ni kazi ya Wizara ya Nishati.
Nyinyi ndio mlimshauri yule jamaa akope trilioni 11+ kujenga SGR ya kubebea wasafiri badala ya kuimarisha reli ya kubeba mizigo.