Miaka 60 ya JWTZ Tanzania iwekeze kwenye kinu cha nyuklia

Miaka 60 ya JWTZ Tanzania iwekeze kwenye kinu cha nyuklia

JWTZ iwekeze kwenye Nuclear Reactor na TANESCO wafanye kazi gani?!🤣🤣🤣🤣🤣

Jinga lao ni Jinga lao tu😂
Hii mada ni nzito kwa ubongo wako waache wenye kuimudu
 
Wawekeze kwenye kufundisha vijana technologia, mambo ya coding na ubingwa kwenye masuala ya computer, mawsiliano na waunganishe hizo nguvu kwa kuwafundisha Enterpreneurship skills - vijana wawe conc...then wapige kazi kwa mikataba - miaka 5 - 10 wakitoka hapo wakajiajiri ulimwenguni.
HIvi JKT vijana wanajifunza nini kule??
 
Back
Top Bottom