Kujenga miferji ya maji taka imetushinda tutaweza nyukliaNaangazia mada yangu kwa muktadha wa kutoa maoni kwa tume maalumu ya mipango ya nchi.
Ni wakati muafaka wa kufikiri na kufanyia kazi kwa haraka.
Tanzania kupitia JWTZ ifanye uwekezaji huu muhimu na kwa haraka ili tujitosheleze kwa nishati lakini pia tujiwekeze kiulinzi.
Zama za kutegemea URUSI NA MAREKANI zinaelekea ukingoni.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Yanaweza kuwa ya kiraia ila ni custome made mzeeTena sio mabasi ya kijeshi. Ni ya kiraia yamepakwa rangi
Mbona liko wazi duniani kote? Goverments ndio zina fund jeshi kuwanunulia vifaa, since jeshi practicaly halifanyi biasharaMiaka 60 ya jeshi ndo kwanza wananunuliwa mabasi.
Unadhani kinu cha nukilia ni sawa na Tanesco ambayo kila sehemu umeme unavuja! Nishati hiyo haihitaji machawa, inahitaji watu makini ambao muda wote wapo mtamboni hakuna nimefiwa naenda kuzika, mshikaji sijui kanipigia simu! Utaua watu wote mikoa inayokuzunguruka, sisi bado saaana.Naangazia mada yangu kwa muktadha wa kutoa maoni kwa tume maalumu ya mipango ya nchi.
Ni wakati muafaka wa kufikiri na kufanyia kazi kwa haraka.
Tanzania kupitia JWTZ ifanye uwekezaji huu muhimu na kwa haraka ili tujitosheleze kwa nishati lakini pia tujiwekeze kiulinzi.
Zama za kutegemea URUSI NA MAREKANI zinaelekea ukingoni.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Acheni michezo, sisi bado kwa hilo , leo hata basi bado tunaagiza sembuse kuanzisha na kutunza icho kinu, tutafika ila sio leo na wala kesho na sio jambo la kukimbilia kabla ya kujipangaNaangazia mada yangu kwa muktadha wa kutoa maoni kwa tume maalumu ya mipango ya nchi.
Ni wakati muafaka wa kufikiri na kufanyia kazi kwa haraka.
Tanzania kupitia JWTZ ifanye uwekezaji huu muhimu na kwa haraka ili tujitosheleze kwa nishati lakini pia tujiwekeze kiulinzi.
Zama za kutegemea URUSI NA MAREKANI zinaelekea ukingoni.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Unajua operating cost za kinu cha nuclear, safety standards, technical know-how, gharama za ujenzi hata wa kinu kidogo?
Unajua si kila kinu kinaweza zalisha weapons grade Uranium? Chenye uwezo kina gharama kubwa zaidi na teknolojia ya ziada ya kurutubisha?
Na unajua kwamba nchi inayounda silaha za nuclear inapigwa vikwazo? Maana Tanzania ni signatory wa Non-Proliferation Treaty (NPT).
Na unajua kuwa si kazi ya JWTZ kufua umeme? Ni kazi ya Wizara ya Nishati.
Nyinyi ndio mlimshauri yule jamaa akope trilioni 11+ kujenga SGR ya kubebea wasafiri badala ya kuimarisha reli ya kubeba mizigo.
Kinu cha nuclear unakijua weweeee?kama mnataka kinu nenda mwenge pale Kwa wachonga vinyago
Nchi imejaa vilaza kila sekta waliopitishwa madarasa kwa imani na madesa, huo uwezo wa kuendesha mtambo wa nyuklia wataweza vipi wakati hata simple power station za diesel au maji zinawashinda
Watu Hawajui Masuala Ya Kimataifa Na Ulimwengu UnavyokwendaMiaka 60 ya jeshi ndo kwanza wananunuliwa mabasi.
Huu uzi ngoja nimtag mwanangu genius,ngoma ngumu mzanaki mzee wa kutokupindisha mambo,mzee wa kuninyooshea
Aje auone
Ova
GENTAMYCINE
Inawekekana sema jeshi lenyewe limekaa kama tawi la CCM, Rwanda wameanza kidogo kidogo wao bado wanavunja matofali kwa meno siku ya muunganoWaulize TAEC Tanzania Atomic Emmission Commission wakwambie kama ni rahisi kwa nchi yetu.
Kubeba tofali siku ya muungano ndiyo jeshi limeishia hapoJeshi gani unaliongelea? Hili hii linalowekeza kwenye NGUVU badala ya teknolojia?
Pale Japan kuna maroboti yalipelekwa kwenye kinu yakaharibika kwa mionzi. Wajapani watu poa sana, watu wazima ambao wameishazaa tiyari ndio wakajitolea kwenda kufanya marekebisho kwenye kinu. Wakakataa vijana wasiende maana mionzi inasambaa na inaathiri hata mbegu za mwanaume na za mwanamke unakuta anazaliwa mtoto hana mikono.Watu Hawajui Masuala Ya Kimataifa Na Ulimwengu Unavyokwenda
Kama Wangetaza Sunami Ilipopiga Kinu Cha Nuclear Japan
Serikali Ilipopana Kukipooza Kisilipuke Kilitikisa Uchumi Wa Nchi Yao Kwa Gharama
Sasa Huku Kwetu Mwafaa, Na Vikwazo Vyote
Wana bunduki SMG zenye magazine ya risasi 30, Wakati Rwanda Uganda wana SMG ya magazine ya risasi 90.Naangazia mada yangu kwa muktadha wa kutoa maoni kwa tume maalumu ya mipango ya nchi.
Ni wakati muafaka wa kufikiri na kufanyia kazi kwa haraka.
Tanzania kupitia JWTZ ifanye uwekezaji huu muhimu na kwa haraka ili tujitosheleze kwa nishati lakini pia tujiwekeze kiulinzi.
Zama za kutegemea URUSI NA MAREKANI zinaelekea ukingoni.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!