Tuliosoma SUA tulikuwa tunabeba maeneo ya itigiNi kweli, hiki limekua tatizo kubwa sana hall 5 na hall 2 , kule juu maji yalikuwa hayapandi kabisa, watu wanatumia magazeti. Terrible
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuliosoma SUA tulikuwa tunabeba maeneo ya itigiNi kweli, hiki limekua tatizo kubwa sana hall 5 na hall 2 , kule juu maji yalikuwa hayapandi kabisa, watu wanatumia magazeti. Terrible
Yaani kusema kweli mimi sijasoma UDSM ila hiki chuo ukitaka kujua ni kituko kutana na mtu kasoma bachelor of computer mwambie akuoneshe hard disc auq mwambie akufafanulie computer practically au kasoma mechanical engineering muulize chochete practically ndo utashangaa maajabu kuwa pale watu wanaenda kukua ili waje wachukue vyeo na kusaini mikataba na document bila kusoma ndo maana hata TANESCO mpaka leo hakuna la maana pale ujinga tu! Product za vyuo vyetu ikiwemo UDSM.Chuo hiki kikongwe nchini kinatimiza miaka 60 toka kuanzisha Nini changamoto,mafanikio na mafunzo kwa watawala, maprofesa na wanafunzi?
**RIP Prof Luhanga.
Dunia ya leo Vimbweta utamuuzia Nani?Ugunduzi wa "vimbweta" maarufu kama "vimbwete" ulifanyika hapo, sehemu zilizojengwa kwa zege kwa ajili ya wanachuo kujisomea au kupumzika.View attachment 1944474
Chuki MaxYaani kusema kweli mimi sijasoma UDSM ila hiki chuo ukitaka kujua ni kituko kutana na mtu kasoma bachelor of computer mwambie akuoneshe hard disc a mwambie akufafanulie computer practically au kasoma mechanical engineering muulize chochete practically ndo utashangaa maajabu kuwa pale watu wanaenda kukua ili waje wachukue vyeo na kusaini mikataba na document bila kusoma ndo maana hata TANESCO mpaka leo hakuna la maana pale ujinga tu! Product za vyuo vyetu ikiwemo UDSM.
Ninakumbuka shimo kule bondeni kwa wazee wa kurusha tray. Vipi mzee Punch bado yupo miaka 60Chuo kimekua mpaka kikazaa watoto SUA, MUHAS, ARDHI na chuo cha maji.
Changamoto: chuo hakiko vizuri kwenye tafiti.
hayo ni mafanikio?Vyooni hamna maji ya ku-flush. Mizigo inaelea juu
Uchumi wa katiNi kweli, hiki limekua tatizo kubwa sana hall 5 na hall 2 , kule juu maji yalikuwa hayapandi kabisa, watu wanatumia magazeti. Terrible
Mafanikio kimetoa maraisi na viongozi wa juu wa nyingi za Afrika kuliko chuo kikuu chochote duniani
Mafanikio kimetoa maraisi na viongozi wa juu wa nyingi za Afrika kuliko chuo kikuu chochote duniani
Unamaanisha kule bondeni Kona ya kwenda Hall seven na Yombo 5?Ninakumbuka shimo kule bondeni kwa wazee wa kurusha tray. Vipi mzee Punch bado yupo miaka 60
Jana nlikutana na wanafunzi wa udizmVyooni hamna maji ya ku-flush. Mizigo inaelea juu