Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Hakuna mahala tulipofanikiwa kwenye elimu. Toka uongozi wa mkapa kulikuwa na mkakati kabisa wa chini chini wa kushusha kiwango cha Elimu ama kwa kuelewa au bila kuelewa.
Elimu ya ukweli iliishia enzi za Makweta. Kipindi hicho watoto wote wanasoma shule Aina moja,kuanzia watoto wa viongozi,machief wa masikini wote ilikuwa shule moja. Na elimu iliyokuwa inatolewa ilikuwa Bora sana na ndio maana hata viongozi watoto wao tulichanganyikana nao kwenye hizo shule.
Enzi hizo mwanafunzi wa darasa la Saba alikuwa ana uwezo wa kuongea kiingereza vizuri tu hata masomo mengine walikuwa na uwezo pia. Muhimu enzi hizo walikuwa wanaandaliwa pia kujitegemea. Ilikuwa ukishindwa kuendelea na masomo lazima utatoboa kwenye stad zingine kama biashara,ufundi n.k.
Lakini elimu ya sasa mtoto wa form four hamna kitu. Hata mwandiko wake tu kama wa darasa la 5 wa zamani. Pia hawa wa sasa akishindwa tu darasani au hata akimaliza chuo,hana uwezo wa kujitegemea na kujiajiri ndio hawa panya rod na wengine. Na hiyo yote ndio maana nimesema elimu inashushwa makusudi ili familia kubwa zenye uwezo waendelee kuwatawala watoto wa masikini ambao hawajasoma shule nzuri. Viongozi wanajenga madarasa mengi lakini watoto wao wanawapeleka kusoma nje. Huko wanapata elimu Bora kuliko hawa walioshushiwa elimu.
Na ndio maana ni vigumu kwa sasa kwa waliohitimu vyuo bongo kupata ajira nje ya nchi. Tofauti na zamani akina Mseven,Kabila na wengine wamepitia vyuo vyetu walikuwa bora. Pia ndio maana ni vigumu kupambana na nchi jirani kama Kenya kwenye ajira.
Pia hizi shule binafsi kwetu zimechangia sana zimeharibu sana elimu yetu. Ksbb wao wanamfundisha mwanafunzi kukariri sio kuelewa. Pia mwanafunzi wetu ndani anafundishwa namna ya nyingi ya kupata mafanikio tu katika maisha ,ndio maana wengi utasikia somea hii ksbb ina ajira baadae.
HATUJAFANIKIWA KWENYE ELIMU KABISA. KUFANIKIWA KWA ELIMU KIGEZO CHAKE NI WAHITIMU WA VYUO VYETU KUJITAFUTIA AU KUPATA AJILA NJE YA NCHI BILA SHIDA. YAANI MHITIMU AJIUZE KIAJILA NJE YA MIPAKA YA TZ KAMA ILIVYO KWA WAKENYA,NIGERIA,GHANA N.K
NB; UKIKUTANA NA MBONGO NJE YA NCHI KAMA DUBAI NI MUOGA HATARI. YAANI KILA WAKATI ANAOGOPA ANAONA KAMA ATAVUNJA SHERIA YA HUKO. WAKATI HUO HUO KUTANA NA M-NIGERIA,YUKO HURU SANA KSBB NYINGI KWANZA ELIMU,PILI WANAFUNDISHWA SANA NCHINI MWAO NAMNA YA KUJITEGEMEA PIA KIKUBWA WANAFUNDISHWA SANA SHERIA ZA KIMATAIFA. UKIWA NCHI NYINGINE UISHIJE. NA NDIO MAANA WANIGERIA WAMETAPAKAA ULAYA NA AMERICA NA KWINGINEKO KWENYE FURSA NZURI. NA WANA MAFANIKIO MAKUBWA SANA. SISI HATUNA HATA HIYO NDOGO TU KUFUNDISHWA SHERIA NAMNA TU KIDOGO UISHIJE UKIWA NCHI NYINGINE.
Elimu ya ukweli iliishia enzi za Makweta. Kipindi hicho watoto wote wanasoma shule Aina moja,kuanzia watoto wa viongozi,machief wa masikini wote ilikuwa shule moja. Na elimu iliyokuwa inatolewa ilikuwa Bora sana na ndio maana hata viongozi watoto wao tulichanganyikana nao kwenye hizo shule.
Enzi hizo mwanafunzi wa darasa la Saba alikuwa ana uwezo wa kuongea kiingereza vizuri tu hata masomo mengine walikuwa na uwezo pia. Muhimu enzi hizo walikuwa wanaandaliwa pia kujitegemea. Ilikuwa ukishindwa kuendelea na masomo lazima utatoboa kwenye stad zingine kama biashara,ufundi n.k.
Lakini elimu ya sasa mtoto wa form four hamna kitu. Hata mwandiko wake tu kama wa darasa la 5 wa zamani. Pia hawa wa sasa akishindwa tu darasani au hata akimaliza chuo,hana uwezo wa kujitegemea na kujiajiri ndio hawa panya rod na wengine. Na hiyo yote ndio maana nimesema elimu inashushwa makusudi ili familia kubwa zenye uwezo waendelee kuwatawala watoto wa masikini ambao hawajasoma shule nzuri. Viongozi wanajenga madarasa mengi lakini watoto wao wanawapeleka kusoma nje. Huko wanapata elimu Bora kuliko hawa walioshushiwa elimu.
Na ndio maana ni vigumu kwa sasa kwa waliohitimu vyuo bongo kupata ajira nje ya nchi. Tofauti na zamani akina Mseven,Kabila na wengine wamepitia vyuo vyetu walikuwa bora. Pia ndio maana ni vigumu kupambana na nchi jirani kama Kenya kwenye ajira.
Pia hizi shule binafsi kwetu zimechangia sana zimeharibu sana elimu yetu. Ksbb wao wanamfundisha mwanafunzi kukariri sio kuelewa. Pia mwanafunzi wetu ndani anafundishwa namna ya nyingi ya kupata mafanikio tu katika maisha ,ndio maana wengi utasikia somea hii ksbb ina ajira baadae.
HATUJAFANIKIWA KWENYE ELIMU KABISA. KUFANIKIWA KWA ELIMU KIGEZO CHAKE NI WAHITIMU WA VYUO VYETU KUJITAFUTIA AU KUPATA AJILA NJE YA NCHI BILA SHIDA. YAANI MHITIMU AJIUZE KIAJILA NJE YA MIPAKA YA TZ KAMA ILIVYO KWA WAKENYA,NIGERIA,GHANA N.K
NB; UKIKUTANA NA MBONGO NJE YA NCHI KAMA DUBAI NI MUOGA HATARI. YAANI KILA WAKATI ANAOGOPA ANAONA KAMA ATAVUNJA SHERIA YA HUKO. WAKATI HUO HUO KUTANA NA M-NIGERIA,YUKO HURU SANA KSBB NYINGI KWANZA ELIMU,PILI WANAFUNDISHWA SANA NCHINI MWAO NAMNA YA KUJITEGEMEA PIA KIKUBWA WANAFUNDISHWA SANA SHERIA ZA KIMATAIFA. UKIWA NCHI NYINGINE UISHIJE. NA NDIO MAANA WANIGERIA WAMETAPAKAA ULAYA NA AMERICA NA KWINGINEKO KWENYE FURSA NZURI. NA WANA MAFANIKIO MAKUBWA SANA. SISI HATUNA HATA HIYO NDOGO TU KUFUNDISHWA SHERIA NAMNA TU KIDOGO UISHIJE UKIWA NCHI NYINGINE.