Miaka 63 baba mdogo hajawahi kurudi nyumbani


Ungechelea kuandika ningeandika mimi,
Hakunaga amani wala furaha ndugu wote mkiwa pamoja,afadhali upotee wajue kwa sasa huyu hatunae kuliko kua nao karibu
 
Ungechelea kuandika ningeandika mimi,
Hakunaga amani wala furaha ndugu wote mkiwa pamoja,afadhali upotee wajue kwa sasa huyu hatunae kuliko kua nao karibu
Hahahaaa......ndugu ni hovyo sana na tena wanakuwa hovyo sana pale wanapotafunwa na ufukara na ujinga.
Nashukuru sana Mungu kuliona jengo la chuo kikuu na kunibariki Degree, la sivyo hali cjui ingekuwaje!
 
Mkuu hii ni kijitonyama au nachanganya madesa[emoji23]
 
Kwanini asiende kwa mama yake au ndugu zake maana ndugu huwa na mawasiliano ya ndugu yao, halafu mtu anajiita kichwa cha familia! Huyo sasa alikuwa KALIO la familia
 
Heko mkuu, we vizuri unawajua wanadamu
 
Ha ha ha ha uzi wa majonzi ila imebidi nicheke kifala[emoji28][emoji28][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]aisee

Kingsmann
 
Usirudi nyumbani. Tutakunyoosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…