Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,935
hali yake vipi?nakumbuka jamaa yangu mmoja alipotea zaidi ya miaka 25 amerud miaka ya juzi tu,du maisha haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hali yake vipi?nakumbuka jamaa yangu mmoja alipotea zaidi ya miaka 25 amerud miaka ya juzi tu,du maisha haya
Dah pole sana mkuu inasikitisha sana nadhani kipindi hicho tiba mbadala ilikuwa haijapatikana badoInauma Sana...hata sisi shangazi yetu alijifungua mwaka 1963! Naskia akawa anatoka kinyesi...jamii ikamtenga..akaona isiwe kesi...ndo hii sasa tunaita "fistula!
Tunajiulizaga sijui alipona au alikufa! Aliondoka na mwanaye[emoji24][emoji24]
mama yangu alikuwaga na mjomba wake sasa ni marehemu akiondoka kwao kijijini mikese morogoro, mama akiwa bado mtoto mdogo, alienda tanga ila hakuwa na mawasiliano na kwao, hadi mama akakua na sisi tukazaliwa alirudi kwa kurudishwa mimi nikiwa niko sekondari tayariMaisha haya wamejaa mambo mengi sana hasa ya utafutaji.
JE umeshawahi kupotezana na ndugu yako wa tumbo ,binamu yako,BA mkubwa au ba mdogo ,shangazi ,mama au Baba,bibi au babu ,mpwa rafiki yako au hata jirani yako,BA mkwe au ma mkwe unawasikia sikia tu wapo mahali fulani lakini kutokana na maisha yetu haya kitanzania umeshindwa kwenda kumtafuta huko mikoani alikokimbilia.
Binafsi baba yetu huwa anatuambia anaye kaka yake mkubwa ambae aliondoka nyumbani toka mwaka 1957 hadi sasa hajawahi kurudi ila ana watoto wapo WAKUBWA kama watano nao aliwaacha wakiwa wadogo...Kati yao watatu wapo Uingereza na wenyewe waliondoka mwaka tokea mwaka 1983 na hawajai kurudi tunasikia tu story mmoja yupo Kigoma na mmoja tunamsikiaga tu Tbc Taifa ila huyo wa kigoma ndo huwa anatutembelea.
Sababu za kuondoka nyumbani tunaambiwa ni kutafuta maisha ila tulishafanya kila njia kumtangaza kupata imeshindika tumetumia radio na magazeti hatujwahi kumpata..mtoto wake huyo anaekaa kigoma alimsikia babake kuwa yupo Singida akaanza pori kwa pori lakini wapi...Kuna mtu akamwambia yupo Ruvuma akaanza ardhi kwa ardhi lakini wapi...
Kubwa zaidi aliondoka akiwa hajawahi kupiga hata picha ,huwa tunatamani kumuona huyo dingi d lakini imeshindikana.
Hapa ina maana ba mdogo wetu huyu hajui hata sura ya ndugu zake ,hajawahi kuhudhuria msiba wa baba yake wala mama yake ...
Wengine huwa tunajisemea bado hai muda mwingine tunajisemea tu huyo alishachukuliwa na mbingu ...
Je una ndugu amewahi kuondoka nyumbani na hajawahi kurudi na kwa nini ,sababu za kuondoka nyumbani ni nini ?
Njia gani umewahi kutumia ili kufanikiwa umpate?
Je ni kweli kuwa kuna dawa za kuwarudisha watu waliopotea au kuondoka nyumbani ?
Unajisikiaje kusikia ndugu yako kukimbia nyumbani
Je kuwa mlowezi ni laana?
Je tutumie chanjo kama iliyompata Osama kwa kutafuta vinasaba?
Mimi baba mdogo wangu nahadithiwa tu sikuwahi kumuona nilikuwa bado sijazaliwa, alikuwa akiishi Uganda akifanya biashara. Kipindi kile Idd Amin amechukua nchi, sasa baada ya hhali kuwa mbaya alikuwa ana mke wake na mtoto mdgo akiwa na miaka miwili akawambia watangulie yeye atakuja baada ya siku mbili afanye utaratibu wa kuuza mali zake ili aondoke.Maisha haya wamejaa mambo mengi sana hasa ya utafutaji.
JE umeshawahi kupotezana na ndugu yako wa tumbo ,binamu yako,BA mkubwa au ba mdogo ,shangazi ,mama au Baba,bibi au babu ,mpwa rafiki yako au hata jirani yako,BA mkwe au ma mkwe unawasikia sikia tu wapo mahali fulani lakini kutokana na maisha yetu haya kitanzania umeshindwa kwenda kumtafuta huko mikoani alikokimbilia.
Binafsi baba yetu huwa anatuambia anaye kaka yake mkubwa ambae aliondoka nyumbani toka mwaka 1957 hadi sasa hajawahi kurudi ila ana watoto wapo WAKUBWA kama watano nao aliwaacha wakiwa wadogo...Kati yao watatu wapo Uingereza na wenyewe waliondoka mwaka tokea mwaka 1983 na hawajai kurudi tunasikia tu story mmoja yupo Kigoma na mmoja tunamsikiaga tu Tbc Taifa ila huyo wa kigoma ndo huwa anatutembelea.
Sababu za kuondoka nyumbani tunaambiwa ni kutafuta maisha ila tulishafanya kila njia kumtangaza kupata imeshindika tumetumia radio na magazeti hatujwahi kumpata..mtoto wake huyo anaekaa kigoma alimsikia babake kuwa yupo Singida akaanza pori kwa pori lakini wapi...Kuna mtu akamwambia yupo Ruvuma akaanza ardhi kwa ardhi lakini wapi...
Kubwa zaidi aliondoka akiwa hajawahi kupiga hata picha ,huwa tunatamani kumuona huyo dingi d lakini imeshindikana.
Hapa ina maana ba mdogo wetu huyu hajui hata sura ya ndugu zake ,hajawahi kuhudhuria msiba wa baba yake wala mama yake ...
Wengine huwa tunajisemea bado hai muda mwingine tunajisemea tu huyo alishachukuliwa na mbingu ...
Je una ndugu amewahi kuondoka nyumbani na hajawahi kurudi na kwa nini ,sababu za kuondoka nyumbani ni nini ?
Njia gani umewahi kutumia ili kufanikiwa umpate?
Je ni kweli kuwa kuna dawa za kuwarudisha watu waliopotea au kuondoka nyumbani ?
Unajisikiaje kusikia ndugu yako kukimbia nyumbani
Je kuwa mlowezi ni laana?
Je tutumie chanjo kama iliyompata Osama kwa kutafuta vinasaba?
Duh pole sana mkuu ndio maisha lakini ila sijajua nini kinapelekea mtu kuondoka home na kupotelea huko mbali kwenye miji ya watu pasipo kukumbuka kurudi homemama yangu alikuwaga na mjomba wake sasa ni marehemu akiondoka kwao kijijini mikese morogoro, mama akiwa bado mtoto mdogo, alienda tanga ila hakuwa na mawasiliano na kwao, hadi mama akakua na sisi tukazaliwa alirudi kwa kurudishwa mimi nikiwa niko sekondari tayari
tena kurudishwa kwenyewe ni kuwa alikuwa anaumwa sasa watu wa huko wakaona huyu mtu atatufia wakatafuta ndugu zake , wakampata kakaake wakamtumia nauli kaka ke akaenda huko tanga akakabidhiwa ndugu yake akamrudisha morogoro.
hakukaa sana akafariki,
imagine aliondoka miaka ya 1980s mwanzoni, akajakurudi miaka ya 2000 mwishoni
Duh huu uzi unauzunisha sana aiseeMimi baba mdogo wangu nahadithiwa tu sikuwahi kumuona nilikuwa bado sijazaliwa, alikuwa akiishi Uganda akifanya biashara. Kipindi kile Idd Amin amechukua nchi, sasa baada ya hhali kuwa mbaya alikuwa ana mke wake na mtoto mdgo akiwa na miaka miwili akawambia watangulie yeye atakuja baada ya siku mbili afanye utaratibu wa kuuza mali zake ili aondoke.
Wakatangulia wakafika salama na wafanyabiashara watanzania wenzake.
Yeye hakuwahi kurudi, mpaka leo wakassume kuwa aliuawa.
Dah mkuu nimejikuta nacheka sana nilivyosoma komenti yako ila dah sio powa kalumanzila nomaKuna jamaa fulani hivi alizamia south africa,mamq yake baada ya kuona miaka inaenda akaenda kwa mganga, yule kijana alirudi kimazingara ila dish liliyumba anatembea anaongea peke yake, lakin kimavaz msafi sanaa
Mkuu mbona hiyo mikasa ni mingi tu.Maisha haya wamejaa mambo mengi sana hasa ya utafutaji.
JE umeshawahi kupotezana na ndugu yako wa tumbo ,binamu yako,BA mkubwa au ba mdogo ,shangazi ,mama au Baba,bibi au babu ,mpwa rafiki yako au hata jirani yako,BA mkwe au ma mkwe unawasikia sikia tu wapo mahali fulani lakini kutokana na maisha yetu haya kitanzania umeshindwa kwenda kumtafuta huko mikoani alikokimbilia.
Binafsi baba yetu huwa anatuambia anaye kaka yake mkubwa ambae aliondoka nyumbani toka mwaka 1957 hadi sasa hajawahi kurudi ila ana watoto wapo WAKUBWA kama watano nao aliwaacha wakiwa wadogo...Kati yao watatu wapo Uingereza na wenyewe waliondoka mwaka tokea mwaka 1983 na hawajai kurudi tunasikia tu story mmoja yupo Kigoma na mmoja tunamsikiaga tu Tbc Taifa ila huyo wa kigoma ndo huwa anatutembelea.
Sababu za kuondoka nyumbani tunaambiwa ni kutafuta maisha ila tulishafanya kila njia kumtangaza kupata imeshindika tumetumia radio na magazeti hatujwahi kumpata..mtoto wake huyo anaekaa kigoma alimsikia babake kuwa yupo Singida akaanza pori kwa pori lakini wapi...Kuna mtu akamwambia yupo Ruvuma akaanza ardhi kwa ardhi lakini wapi...
Kubwa zaidi aliondoka akiwa hajawahi kupiga hata picha ,huwa tunatamani kumuona huyo dingi d lakini imeshindikana.
Hapa ina maana ba mdogo wetu huyu hajui hata sura ya ndugu zake ,hajawahi kuhudhuria msiba wa baba yake wala mama yake ...
Wengine huwa tunajisemea bado hai muda mwingine tunajisemea tu huyo alishachukuliwa na mbingu ...
Je una ndugu amewahi kuondoka nyumbani na hajawahi kurudi na kwa nini ,sababu za kuondoka nyumbani ni nini ?
Njia gani umewahi kutumia ili kufanikiwa umpate?
Je ni kweli kuwa kuna dawa za kuwarudisha watu waliopotea au kuondoka nyumbani ?
Unajisikiaje kusikia ndugu yako kukimbia nyumbani
Je kuwa mlowezi ni laana?
Je tutumie chanjo kama iliyompata Osama kwa kutafuta vinasaba?
Mkuu mbona hiyo mikasa ni mingi tu.
Kuna babu yangu mdogo aliondoka makwetu mara baada ya uhuru na hakurudi miaka yote hadi karibia miaka 15 iliyopita.
Alienda mikoa ya kaskazini na tulikuwa wala hatujawahi kumwona.
Baba yangu alikuwa amezeeka na anaumwa, huyo babu mdogo ndio naye akarudi, na alikaa na baba yangu muda mdogo tu, baba yangu akafariki.
Baba yangu ndio alikuwa mrithi wa ukoo kutoka kwa baba yake ambaye ndo babu yangu.
Babu yangu ujanani mwake alimmege ardhi mdogo wake ambaye ndiyo huyu babu mdogo aliyepotea kwa miongo baada ya uhuru.
Huyu babu mdogo alipotoka huko alikotoka kaanza na kesi, anataka ardhi aliyopewa na kaka yake, babu yangu.
Ardhi ile sasa inakaliwa na ndugu wengine walioilima na kuiendeleza na inapendeza, wao waliachiwa na baba zao ambao walishatangulia mbele za haki.
Kimsingi sasa wanaokalia ardhi ya babu mdogo ni baba zangu wadogo, lakini mimi sasa hivi ndio dingi wa ukoo.
Sasa hapo patamu.
Babu mdogo anakuja mbogo anataka mie kiongozi wa ukoo niwatoe baba zangu wadogo kwenye ardhi waliyoiendeleza kwa miaka zaidi ya 40!
Imebidi nimueleze kwa upole tu kuwa hii si kesi yangu, waamuzi wa kesi yake wote walikwisha kufariki!
Hivyo nikamshauri atafute kapori , afyeke na aanze kulima.
Katika umri wa miaka 70 huo tayari ni mtihani.
Inauma Sana...hata sisi shangazi yetu alijifungua mwaka 1963! Naskia akawa anatoka kinyesi...jamii ikamtenga..akaona isiwe kesi...ndo hii sasa tunaita "fistula!
Tunajiulizaga sijui alipona au alikufa! Aliondoka na mwanaye[emoji24][emoji24]
Hii imeniumiza sana sijui alimwambia nn mwanae alipoulizia kuhusu ndugu zake. Mngejaribu kumtafuta hata huyo mwanae nahisi hata mama mtu atafarijika sana.Inauma Sana...hata sisi shangazi yetu alijifungua mwaka 1963! Naskia akawa anatoka kinyesi...jamii ikamtenga..akaona isiwe kesi...ndo hii sasa tunaita "fistula!
Tunajiulizaga sijui alipona au alikufa! Aliondoka na mwanaye😭😭
Maisha haya wamejaa mambo mengi sana hasa ya utafutaji.
JE umeshawahi kupotezana na ndugu yako wa tumbo ,binamu yako,BA mkubwa au ba mdogo ,shangazi ,mama au Baba,bibi au babu ,mpwa rafiki yako au hata jirani yako,BA mkwe au ma mkwe unawasikia sikia tu wapo mahali fulani lakini kutokana na maisha yetu haya kitanzania umeshindwa kwenda kumtafuta huko mikoani alikokimbilia.
Binafsi baba yetu huwa anatuambia anaye kaka yake mkubwa ambae aliondoka nyumbani toka mwaka 1957 hadi sasa hajawahi kurudi ila ana watoto wapo WAKUBWA kama watano nao aliwaacha wakiwa wadogo...Kati yao watatu wapo Uingereza na wenyewe waliondoka mwaka tokea mwaka 1983 na hawajai kurudi tunasikia tu story mmoja yupo Kigoma na mmoja tunamsikiaga tu Tbc Taifa ila huyo wa kigoma ndo huwa anatutembelea.
Sababu za kuondoka nyumbani tunaambiwa ni kutafuta maisha ila tulishafanya kila njia kumtangaza kupata imeshindika tumetumia radio na magazeti hatujwahi kumpata..mtoto wake huyo anaekaa kigoma alimsikia babake kuwa yupo Singida akaanza pori kwa pori lakini wapi...Kuna mtu akamwambia yupo Ruvuma akaanza ardhi kwa ardhi lakini wapi...
Kubwa zaidi aliondoka akiwa hajawahi kupiga hata picha ,huwa tunatamani kumuona huyo dingi d lakini imeshindikana.
Hapa ina maana ba mdogo wetu huyu hajui hata sura ya ndugu zake ,hajawahi kuhudhuria msiba wa baba yake wala mama yake ...
Wengine huwa tunajisemea bado hai muda mwingine tunajisemea tu huyo alishachukuliwa na mbingu ...
Je una ndugu amewahi kuondoka nyumbani na hajawahi kurudi na kwa nini ,sababu za kuondoka nyumbani ni nini ?
Njia gani umewahi kutumia ili kufanikiwa umpate?
Je ni kweli kuwa kuna dawa za kuwarudisha watu waliopotea au kuondoka nyumbani ?
Unajisikiaje kusikia ndugu yako kukimbia nyumbani
Je kuwa mlowezi ni laana?
Je tutumie chanjo kama iliyompata Osama kwa kutafuta vinasaba?