Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Ukiwa unamtafuta mtu utafuatikia kila unalolisikiaSasa hizo habari za yupo kilwa, pwani nakadhalika mnazipataje kama hakuna link ya mawasiliano
God save us
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa unamtafuta mtu utafuatikia kila unalolisikiaSasa hizo habari za yupo kilwa, pwani nakadhalika mnazipataje kama hakuna link ya mawasiliano
Ila Mkali umetisha wale watumwa ndio tunaowambia Black lives matter ...hao walilazimishwa banaHivi na wale waliondoka kwenda utumani America hawakurudi tena Africa.
Maisha yakienda tofauti na matarajio inakuwa ngumu sana kurudiYupo mmoja hadi wa leo hatufahamu alipo
Kuna jama moja alienda huko, mpaka sasa hajawahi kupata hata green card na hataki kurudi huku japo anajiweza kidogo. Anacho niboa anamchukia Anko M bila sababuHivi na wale waliondoka kwenda utumani America hawakurudi tena Africa.
Hata mimi nimefurahi kukuonaNimejaa tele! Nakula maisha!
ShukraniHata mimi nimefurahi kukuona
Daa! Inasikitisha sana.Inauma Sana...hata sisi shangazi yetu alijifungua mwaka 1963! Naskia akawa anatoka kinyesi...jamii ikamtenga..akaona isiwe kesi...ndo hii sasa tunaita "fistula!
Tunajiulizaga sijui alipona au alikufa! Aliondoka na mwanaye[emoji24][emoji24]
Huu uzi unaweza hamasisha mabaharia kupoteaMuda mwingine inakubidi , kukaa pembeni , maana wanadamu wanaokuzunguka ni shida bin taabani , mim naona uzi huu ni mzuri sana , maana una akisi uhalisia wa maisha kabisa , tena bila chenga . Inafikia hatua unaambiwa ww una jaza choo , tu unakuwa mweupe tu , na maneno mengineyo yanayoweza kuku haribu ki fikra kabisa , binafsi mimi baada ya kuona uzi huu nkaona kumbe nikiondoka hapa napokaa itakuwa vyema sana .
Watu wanadai walimuona akiwa kwenye harakati za kupigania mkate, na hawakupata muda wa kutosha kuzungumza nae kwasababu hawafahamu kama anatafutwa na familiaSasa hizo habari za yupo kilwa, pwani nakadhalika mnazipataje kama hakuna link ya mawasiliano
ImeniumaInauma Sana...hata sisi shangazi yetu alijifungua mwaka 1963! Naskia akawa anatoka kinyesi...jamii ikamtenga..akaona isiwe kesi...ndo hii sasa tunaita "fistula!
Tunajiulizaga sijui alipona au alikufa! Aliondoka na mwanaye[emoji24][emoji24]
Hao ndio Wapwa original acha Hawa wa awamu hii hahahaHaha baharia asipomake anaona nongwa kurudi to its origin!
Huyu bora asirudi maana akirudi atapata tabu sana. Huku anko ndo mpango mzima, utake usitake.Kuna jama moja alienda huko, mpaka sasa hajawahi kupata hata green card na hataki kurudi huku japo anajiweza kidogo. Anacho niboa anamchukia Anko M bila sababu
God save us
Unajua huwa najiulizaga sana wewe ni mtu wa namna gani..Yaani kila tukio lazma liwe lishawahi kukupata, kila Aina ya biashara umefanya, majanga yote yamekugusa na ushuhuda unatoa, kila ishu ikizungumzia unaijua kasoro siasa tu ndio sikuoni.Inauma Sana...hata sisi shangazi yetu alijifungua mwaka 1963! Naskia akawa anatoka kinyesi...jamii ikamtenga..akaona isiwe kesi...ndo hii sasa tunaita "fistula!
Tunajiulizaga sijui alipona au alikufa! Aliondoka na mwanaye😭😭