Miaka 63 baba mdogo hajawahi kurudi nyumbani

Miaka 63 baba mdogo hajawahi kurudi nyumbani

Mimi nina binamu yangu anaitwa Maulid, tena kama kuna msaada hapa, tafadhali mtusaidie. Huyu jamaa alikuwa mtulivu sana, na mambo ya kipeke yake hamwambii mtu. Alizaliwa Tanga ila kwa asili Zanzibar, aliondoka nyumbani Tanga akiwa na umri wa miaka 15 tu. Hiyo inapata mwaka 2000,aliondoka mazima. Mara ya mwisho alionekana Airport huko Afrika ya Kusini, Durban ni 2007 akiwa na mwanamke wa kizungu ikisemekana mkewe wakielekea Italy. Anafuga rasta, mwembamba, mweupe kiukweli tunamuhitaji sana sana. Hofu yetu ni kwamba hayupo hai, maana kulingana ma vyanzo vya taarifa alishaanza kuwa mafia, anatembea na pistol mbili mbili, leo kwenye NDEGE kesho kwenye MELI, roho mkononi. Kama kuna yeyote amewahi ishi aidha SOUTH AFRICA, ITALY au Spain naomba tuwasiline pengine akawa na fununu zake. Mama yake amefariki hakutokea, BABA yake amefariki hakutokea, huyu MAULID yuhai kweli? [emoji26]

Mawasiliano 0717281088
0625697394
IMG_20200711_113408.jpg
 
mama yangu alikuwaga na mjomba wake sasa ni marehemu akiondoka kwao kijijini mikese morogoro, mama akiwa bado mtoto mdogo, alienda tanga ila hakuwa na mawasiliano na kwao, hadi mama akakua na sisi tukazaliwa alirudi kwa kurudishwa mimi nikiwa niko sekondari tayari

tena kurudishwa kwenyewe ni kuwa alikuwa anaumwa sasa watu wa huko wakaona huyu mtu atatufia wakatafuta ndugu zake , wakampata kakaake wakamtumia nauli kaka ke akaenda huko tanga akakabidhiwa ndugu yake akamrudisha morogoro.
hakukaa sana akafariki,

imagine aliondoka miaka ya 1980s mwanzoni, akajakurudi miaka ya 2000 mwishoni
Du hatari sana,kule kwetu morogoro watu wa aina hii wapo wengi sana tunabaki huwa tunawashangaa kwanini hawarudi kwao hasa wa kanda ya ziwa
 
Nitakubalina na wewe. Kila nikisikia hotuba za ''mkulu'' anavyowatumia wanawake kama vyombo vya kufikisha humour zake za kulazimisha huwa nakereka sana. Hata anavyom-treat madam wake ni ushahidi tosha. Ila mimi ninavyojua ni kuwa kanda ya Ziwa yote (labda kuondoa kwa wahaya) wana mfumo mbaya sana wa kuwakandamiza wanawake. Tena huko mkoa wa Mara hata watoto ni victims. Nakumbuka niliwahi kumtembelea jamaa mmoja wa Mara, wakati wa chakula watoto walikuwa wamejumuika nasi lakini cha ajabu walikuwa wamezunguka meza kwa kupiga goti moja muda wote wa kula.
Sio kwamba kulikuwa hakuna viti Mkuu ...manake kama hakuna viti ndo mnapiga got kwenye meza .
 
Hahaha mimi nilidhani ukiisha kua mtu mzima ni sharti sasa ujitafutie maisha yako?!

Hivi ukitoka Kagera ukahamia Dar es Salaam, kuna ulazima wa kurudi Kagera?!

Kufanikiwa au kutofanikiwa kwenye maisha haya kuna asilimia sawa, uwe kwenu au uhame kwenu.

Sasa mtu aliyeondoka Mbeya akaamua kuishi Mwanza ana ulazima gani wa kurudi Mbeya, kama Mwanza anaishi awezavyo?!
Mi nadhani kama una muhitaji mtu wewe ndiye unapaswa kumtafuta, yeye halazimiki kumtafuta yeyote, labda kama naye ana wahitaji nyie.

Maisha popote, na aina ya maisha huchagua muhusika, au maisha humchagulia, sasa akirudi nyumbani huko akiwa mzee au kijana kuna faida gani kwenu au kwake?!

Wazazi wawengi wamehamia Dar es Salaam kutokea mikoa mingine, wamejenga na kuwa na watoto wakiwa Dar es Salaam, wengi hawaendi mikoani waliko toka hadi mauti kuwakuta na kuzikwa Dar es Salaam, lakini haimaanishi wameishi maisha magumu.

Unaishi wapi nadhani ni chaguo la muhusika.

Shida au raha ni sehemu ya maisha, hakuna guarantee yoyote kwenye maisha.

Mki walaumu mnawaonea, maisha sio mchezo wa kuigiza au ni kamali, unaweza kufanikiwa au kukosa kabisa.

Amini Mungu yupo labda utafanikiwa.
mimi ninachoona kwamba watu hawakatazi mtu kwenda kujitafutia sehemu nyingine,watu hupata mstuko pale unapokata miaka zaidi ya 10+ bila kustuka na hata kujua uliyowaacha wanaishi vipi.

NB;HAPA NDIPO WATU WANAPOJARIBU KUTAFAKARI SHIDA NI NINI KUKATA MIAKA YOTE PASIPO KUSTUKA KURUD NYUMBAN
 
Nina mjomba wangu katokomea kusaka Hazina ya Mjerumani, wala hayupo mbali ila ni miaka 16 sasa hataki kurudi kwenye familia yake.
Miaka ya mwanzo alikuwa akija na kuondoka ila walipozidi kumkejeli basi akaona hawa wendawazimu, kapotea mazima.
[emoji28][emoji2][emoji23][emoji1787][emoji3][emoji2][emoji23][emoji28][emoji1787][emoji2]
 
Sisi Watanzania tuache Mambo ya Kulilia Mara Ndugu yangu Kapotea wakati Ata Akirudi Leo Hakuna Msaada Wowote Atakaopata Zaidi Ya Pole na Unafikii Mwingi tu.
Story Nyingi Msaada Zero Kila Mtu Apambane na Life Lake.

Kuna Nchi kama Burundi na wao Wasemaje Kuhusu Ndugu zao Waliopotea.

Sisi huku Bongo Watu wanaamua Kuishi Maisha Yao Kutokana na mfumo mzma wa Jamii no Support.
Huu ndo ukweli kwa 200%.
 
Siwajui ndugu wa upande wa mama,sujawahi hata kuona

mama ni mzaliwa Wa shinyanga,aliolewa na baba miaka ya 1986. Walitengena na family baada ya kuolewa wakahama na mkoa

Tangu 1986 hadi Leo 2020 mama hakuwahi kurudi nyumbani kwao

Natamani sana siku moja niwaone ndugu zangu upande Wa mama angalau hata mmoja tu lakini ilishashindika kabisa

Tafadhali kama kuna msaada mnaweza nisaidia niwapate hata mmoja

Muda mwingine nikikutana na mtu alitokea shinyanya huwa namchulia kama ndugu yangu.
Mama jina lake anaitwa Modesta misalaba, aliolewa kwenye ukoo Wa maganiko
Siwajui ndugu wa upande wa mama,sujawahi hata kuona

mama ni mzaliwa Wa shinyanga,aliolewa na baba miaka ya 1986. Walitengena na family baada ya kuolewa wakahama na mkoa

Tangu 1986 hadi Leo 2020 mama hakuwahi kurudi nyumbani kwao

Natamani sana siku moja niwaone ndugu zangu upande Wa mama angalau hata mmoja tu lakini ilishashindika kabisa

Tafadhali kama kuna msaada mnaweza nisaidia niwapate hata mmoja

Muda mwingine nikikutana na mtu alitokea shinyanya huwa namchulia kama ndugu yangu.
Mama jina lake anaitwa Modesta misalaba, aliolewa kwenye ukoo Wa maganiko
mwana misalaba ni mama yako?
 
Sisi Watanzania tuache Mambo ya Kulilia Mara Ndugu yangu Kapotea wakati Ata Akirudi Leo Hakuna Msaada Wowote Atakaopata Zaidi Ya Pole na Unafikii Mwingi tu.
Story Nyingi Msaada Zero Kila Mtu Apambane na Life Lake.

Kuna Nchi kama Burundi na wao Wasemaje Kuhusu Ndugu zao Waliopotea.

Sisi huku Bongo Watu wanaamua Kuishi Maisha Yao Kutokana na mfumo mzma wa Jamii no Support.
haha kweli kabisa, ndio yale ukiwa unaumwa hakuna anaejali, siku ukifa watu ndio wanajifanya wana uchungu sana. unafiki mtupu
 
Duh......hatari. Kumbe kila familia pengine mambo haya yapo.

Babu yangu mdogo pia pia aliondoka nyumbani miaka (inasemekana alienda Tanga) akiwa bado kijana, akazamia huko mpaka leo hajarudi (likely ameshakufa, au ni yupo hai basi ni mzee sana 100+yrs). Inawezekana alianzisha familia huko, lakini hatujuani kabisa.

Huwa najaribu ku search jina la ukoo lakini sijawahi kupata hata hint za uwepo wa ndugu huko......

But wakati mwingine najiuliza, nawatafuta ili iweje? Maana hamna bond kabisa....hata kama mtaonana.
 
Kuna sehemu tuliambiwa yupo tukaenda huko tukaambiwa mtu Kama huyo alipita hapo miaka 3 iliyopita.
Juzi tumemzika mjukuu wake( hajawahi kumuona) Basi tukapita kwenye kaburi la Babu na Bibi ,kilio kikaanza kuwalilia Kama wanaweza huko uliko wamuombee apate kurudishia home Kama yupo hai
 
Duh......hatari. Kumbe kila familia pengine mambo haya yapo.

Babu yangu mdogo pia pia aliondoka nyumbani miaka (inasemekana alienda Tanga) akiwa bado kijana, akazamia huko mpaka leo hajarudi (likely ameshakufa, au ni yupo hai basi ni mzee sana 100+yrs). Inawezekana alianzisha familia huko, lakini hatujuani kabisa.

Huwa najaribu ku search jina la ukoo lakini sijawahi kupata hata hint za uwepo wa ndugu huko......

But wakati mwingine najiuliza, nawatafuta ili iweje? Maana hamna bond kabisa....hata kama mtaonana.
Wengi wazamiaji wakifa mahali wanakuwa kama mazezeta hata uunzishaji wa familia unakuwa zero...n kutembea tu
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Kuna sehemu tuliambiwa yupo tukaenda huko tukaambiwa mtu Kama huyo alipita hapo miaka 3 iliyopita.
Juzi tumemzika mjukuu wake( hajawahi kumuona) Basi tukapita kwenye kaburi la Babu na Bibi ,kilio kikaanza kuwalilia Kama wanaweza huko uliko wamuombee apate kurudishia home Kama yupo hai
Duuuu
 
Back
Top Bottom