Miaka 76 iliyopita (mwaka 1947), hakukuwa na nchi inayoitwa Israel

Miaka 70 iliyopita hakukuwa na nchi inaitwa Tanzania.
 
Umeeleza mengi ila hebu tuambie taifa la Israel lilikuwepo kabla ya Yesu na baada ya Yesu nchi yao ilikuwa ipi?na Yerusalemu alikosulubiwa enzi za mfalme herode ilikuwa wapi na mimi nimesoma Bible sana lakini sijawahi ona taifa la palestinians wala nchi inaitwa palestina
 
Tangu kuumbwa kwa dunia hakujawah kuwa na nchi inaitwa Palestine mkuu. Umesahau
 

kwani wewe ulisoma Biblia ipi ?? ya Mormon , Satanic bible, KJV, QJK, AV , ......

Your browser is not able to display this video.
 
Wamasai wa Kenya wakija na Torati yao inayowahalalishia eneo la Ngorongoro utasemaje ??
 
Mtumwa wa akili wewe, hizo zote ni Dini za kuletewa. Waliokuletea huo uislam ndo waliokuaminisha hivyo lakini huna uhakika na lolote zaidi ya kumezeshwa hiyo imani unless labda kama wewe ni mwarabu.

Unataka kutuambia wewe dini yako ni ya Marehemu mungu Wa kiafrika wanyonyi ??
 


Yaani wewe myahudi wa Uwanja wa Fisi manzese unajua zaidi ya myahudi waziri mkuu wa Israel ?? Golder Meier ??



View: https://youtu.be/L0ZFeDWhlDo?t=3
 
Mungu hana dini wee panya.Unataka kusema Mungu ni muislamu?Yaani majini yawe maislamu na Mungu awe muislamu?


Paul invented “Christianity” as revenge against the Jews, and the Roman Emperors.

His goal was to overtake the Roman Empire and destroy the Jewish authorities.

His religion succeeded, and it’s very unfortunate that the true followers of Jesus were defeated.

The Pauline Church later became known as the ‘Roman Catholic Church’, it was wholly controlled by politics and not a religious foundation.

Christianity was made the official religion of the Roman Empire by Constantine; he used the Church for his own political purpose and he never became a Christian.

Constantine changed the Sabbath from Saturday to Sunday to commemorate the day of the sun-god. Constantine introduced the pagan ‘trinity’ which he borrowed from his own religion.

The Romans, the Egyptians, and the Hindus believed in ‘trinity’ before Christianity existed.

When the Council of Nicea took place, the Emperor Constantine

- Declared the Roman Sun-day to be the Christian Sabbath

- Adopted the traditional birthday of the Sun-god, and the twenty-fifth of December, as the birthday of Jesus;

- Borrowed the emblem of the Sun-god, the cross of light, to be the emblem of Christianity;

- And, although the statue of Jesus replaced the idol of the Sun-god, decided to incorporate all the ceremonies which were performed at the Sub-gods birthday celebrations into their own ceremonies.

(Jesus, The Prophet of Islam, Muhammad Rahim, pp.101)


The scholar Maurice Bucaille states a very good question:

It is quite reasonable to ask what Christianity might have been without Paul and one could no doubt construct all sorts of hypotheses on this subject. (The Bible, The Quran, and Science, p. 70)

The answer is quite obvious:

If Popea had only accepted Paul’s offer of marriage, Christianity would probably not exist today.
 

Mungu wa kitabu kipi alisema hivyo ??
 
Israel ilikuwepo kuanzia zamani,,almost miaka yapata 4000 iliopita


The Book of Genesis:


"Historically, Jews and Christians alike have held that Moses was the author/compiler of the first five books of the OT.

These books, known also as the Pentateuch (meaning "five-volumed book"), were referred to in Jewish tradition as the five fifths of the law (of Moses).

The Bible itself suggests Mosaic authorship of Genesis, since Ac 15:1 refers to circumcision as "the custom taught by Moses," an allusion of Ge 17. However, a certain amount of later editorial updating does appear to be indicated (see, e.g., notes on 14:14; 36:31; 47:11). (From the NIV Bible Commentary [1], page 2)"


So in reality, the book of Genesis had been tampered with by man.

It had been corrupted.

It is dangerous to consider all of it as the True Living Words of GOD Almighty, because by doing so, we are running into the risk of committing a crime against Him since we are claiming that He spoke words that He never spoke.
 
Mkuu nakushukuru Kwa hio document..Kwa mimi ninaethamini document hii ni Kama umenipatia tax clearance.


The Book of Numbers:


"It is not necessary, however, to claim that Numbers came from Moses' hand complete and in final form.

Portions of the book were probably added by scribes or editors from later periods of Israel's history.

For example, the protestation of the humility of Moses (12:3) would hardly be convincing if it came from his own mouth. (From the NIV Bible Commentary [1], page 183)"


So in reality, we don't know who were all the authors who wrote the book of Numbers.

How is it possible then to call the book of Numbers the True Living Revelations of GOD Almighty if the book had been tampered with by the man-made laws of the scribes?


As you clearly saw in Jeremiah 8:8 , GOD Almighty condemned the laws of the scribes and accused them for turning the Bible into a lie.
 

Akili za wapi hizi hata watoto wa madrasa wanajua israel ipo kabla Yesu hajazaliwa na mji mkuu ni Jelusalem. Yesu alizaliwa Bethelehem ya Uyahudi. Hiyo miaka sabini , hujui israel walikuwa wapi, na kwa nini walikuwa huko . Uliza ujifunze

Israel ilikuwepo kuanzia zamani,,almost miaka yapata 4000 iliopita


The book of Deuteronomy:


"The book itself testifies that, for the most part, Moses wrote it (1:5; 31:9,22,24), and other OT books agree (1Ki 2:3, 8:53; 2ki 14:6; 18:12)--though the preamble (1:1-5) may have been written by someone else, and the report of Moses' death (ch.34) was almost certainly written by someone else. (From the NIV Bible Commentary [1], page 240)"


As we clearly see, there is ample evidence that proves beyond the shadow of the doubt that Moses was not the sole author of the book.

He couldn't have possibly have written about his own death.

Again, another corrupted book by man in the Bible . How can you claim that the book of Deuteronomy was indeed all revealed by GOD Almighty?

If you're not sure, and you still insist on your claim, then you are committing a crime against GOD Almighty's Revelations.
 
Sasa huyu aliyekuwa waziri Mkuu wa Israeli alikuwa anadanganya?? Tukusikilize wewe myahudi wa Manzese ??


View: https://youtu.be/L0ZFeDWhlDo
Ilikuwa territory inayotawaliwa na British baada ya ottoman empire kuanguka,sio taifa we kichwa maji. Na ilikuwa kuanzia Jordan. Palestine haijawah kuwa taifa. Nipe jina la rais wake wa kwanza ninani.
 
Ilikuwa territory inayotawaliwa na British baada ya ottoman empire kuanguka,sio taifa we kichwa maji. Na ilikuwa kuanzia Jordan. Palestine haijawah kuwa taifa. Nipe jina la rais wake wa kwanza ninani.
ikiitwa israeli ???au ?? British ilipewa mandate kwa nchi gani ??

Wacha upopoma kijana msikilize ukiwa nje ya box


View: https://youtu.be/J2zvHcGNZXQ
 
Moses wrote the book of Deuteronomy under guidance of Most high God,,how could you doubt the next or first writer of the same book if he wrote the book under the same guidance of the same MOST HIGH GOD?? Do you doubt the thought of God in the book or you are driven with may be your own expectations????
 
Yaani wewe myahudi wa Uwanja wa Fisi manzese unajua zaidi ya myahudi waziri mkuu wa Israel ?? Golder Meier ??



View: https://youtu.be/L0ZFeDWhlDo?t=3
Nimegundua kuwa tuna argue na mijitu ambayo vichwani mwao allah na Paedophile mod wamejaza quran baada ya kutoa ubongo. Kiingereza haujui na logic kichani hamna.
Golder mair anachokisema ndicho tunacho waambia nyinyi miislamists ya allah ( shetani) waisrael hawakukataa kuwa wao wakiwa jews waliishi katka nchi inaitwa Palestine(na wanajua chanzo cha nchi yao kuitwa Palestine-ni waroma) na wayahudi wanajua kutokana na mabadiliko yaliyotokea duniani, hawawezi kuepuka kuishi na waarabu ambao wengi na Waislamu. Ndiyo maana mpaka leo Israel kuna waarabu Waislamu wapatao 2,000,000. Sasa uliza kilichowapata wayahudi maeneo ya wapalestina, waliuawa, na hadi leo kule Gaza na mataifa ya kiarabu hupati myahudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…