Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
- Thread starter
-
- #121
Angeuza kila kitu SSH asingeweza kwenda marekani akawakaribisha wawekezaji. Tuna hulka mbovu sana ya kulaumu kila kiongozi ikulu kwa kila kitu hata kama utatuzi wake upo ndani ya uwezo wetu.Ukiwa Nchi maskini haimaanishi uuze kila kitu. Kuna vitu vya msingi vinavyoisaidia jamii, Taifa. Vibaki mikononi ya serikali (Wananchi).
Kuhusika kwa Diria sio umchafue Mwinyi. Hata waliomfuatia ikulu walitumiwa vibaya nafasi zao na wasaidizi wao.Huyo Ahmed Hassan Diria, balozi na waziri, usituchefue wengine tuna ndugu waliumia sababu yake. Nyumba ya Upanga jirani na hekalu la wahindu, niseme zaidi? Dogo amesota sana jela kwa kubebeshwa ngada na huyo mzee. Na alimtaja lakini hola.
Kwa wanaomfahamu kwa karibu: Je mzee Mwinyi-Alli Hassan Mwinyi bado anashiriki jogging??So amebakisha miaka 03 kupiga 100
Kumbukumbu zangu nazitumia vyema mkuu Papasa.Unavyo muongelea ni Kama wewe ndio unatunza kitabu cha matendo yake🚶🚶🚶
Sidhani kama ni mara kwa mara kama miaka ile ya 1985 - 95 akiwa rais. Maeneo ya Gymkhana, kila asubuhi tulikuwa tunamuona kule Baharini na wasaidizi wake.Kwa wanaomfahamu kwa karibu: Je mzee Mwinyi-Alli Hassan Mwinyi bado anashiriki jogging??
Joseph Sinde Warioba.Hivi ukimwondoa mzee wa Msoga, Getrude Mongela, Anna Makinda na Msuya Kuna waziri wa mzee Mwinyi ambaye bado Yuko hai?
Mzee anaswali SWALA 5, unataka abadili dini?Tunamshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai kwa rais wetu wa awamu ya pili mzee Mwinyi. Ni vizuri kama mzee wetu huyu atafahamu kuwa zawaidi ya uhai mrefu inaambatana na wajibu pia kwa Taifa letu! Ajaribu kutafakari wajibu ambao bado anao kwa Taifa letu.
Lakini pia mzee amepewa fursa ndefu ya kutengeneza mambo yake na Mungu kabla ya kusimama mbele za haki. Kwa lugha rahisi amepewa fursa ndefu ya kutubu na kuokoka kwa kumwamini Mwokozi pekee chini ya mbingu aitwaye YESU KRISTO.
Hivi ukimwondoa mzee wa Msoga, Getrude Mongela, Anna Makinda na Msuya Kuna waziri wa mzee Mwinyi ambaye bado Yuko hai?
RIP Katabalo walimuondoa uhai wake?. Alikuwa msumbufu sana na habari zake za uchunguzi. Kwa kingereza cha kisasa wanaita ' a pain in the ass'.Umenikumbusha kifo cha mwandishi wa habari wa gazeti la Mfanyakazi enzi hizo anaitwa Francis Katabalo, alikua anaandika sana habari za Uchunguzi, gazeti la Mfanyakazi those years lilikua gazeti la habari za Kiuchunguzi. RIP Francis Katabalo
Angeuza kila kitu SSH asingeweza kwenda marekani akawakaribisha wawekezaji. Tuna hulka mbovu sana ya kulaumu kila kiongozi ikulu kwa kila kitu hata kama utatuzi wake upo ndani ya uwezo wetu.
Umenikumbusha mbali Sana.Wengi bado wapo hai akiwemo Augustine Lyatonga Mrema akiwa mambo ya ndani, Edward Ngoyai Lowassa akiwa Wizara ya Ardhi, Zakhia Hamdan Meghji Wizara ya Afya, Abdulrahman Omar Kinana wizara ya Ulinzi na Balozi Salim Ahmed Salim wizara ya mambo ya nje, Fatma Said Ally, Anna Abdallah, Prof.Philemon Sarungi Wizara ya Elimu na Utamaduni
IdiotAlijitahidi chini ya Nyerere. Alipochukua nchi kila kitu alisikiliza Mabeberu, IMF, World Bank.
Aliuza kila kitu, kuviweka vyote sekta binafsi. Walipewa kama bure sekta zote muhimu Mafisadi wote. Matajiri wa sasa. Madhara yake tunapambana nayo hadi leo.
Mrema alipambana akamshinda kwenye uchaguzi. Nyerere alimuunga mkono Mrema kugombea, kui -challenge CCM.
Sababu kubwa ni uhuni kama huu unaondeleo. Unahitaji watu kama JPM, Mrema, Nyerere watu kama hao kuutokomeza.
Hii sio miaka ya kwenye biblia kwamba Mungu anawashushia wana wa Israel Mana jangwani.Najua wewe na SSH ni kitu kimoja.
Wewe ni mpiga debe wake.
Amefanya kipi kupunguza ukali wa maisha wa watu wa chini?
RIDHIWANI utamuwekaje kwenye kundi moja la watoto wa Mwinyi? Huyu amekulia kwenye Nyumba ya tamaa na kifisadi na ndio maana nae yuko hivyo mpaka kuuza NGADA!! Umewahi kuwasikia watoto wa Mwinyi na kashfa hizo? Usiutie najisi ukoo wa Mwinyi kwa kuwafananisha na huyo fedhuri baba yake anajitahidi kumsafisha kwa kutumia ndumba na fedha!!Mkuu Asante kwa andiko!
LAKINI
Ili uwe hivyo ulivyo andika inategemea malezi na makuzi uliyokulia!
Vijana wengi kama kina JPM walikulia shida na suluba za utotoni wakiwa wakubwa ile Hali haiwaachi salama kabisa kiakili na kisaikolojia na jpm anawakilisha kundi kubwa la watoto na vijana wengi wa kisasa hapa NCHINI makuzi na malezi DUNI full stress KILA kukicha mtu Huyo akipewa madaraka tu utaziona nyufa nyingi Sana!!malezi ya Mwinyi junior na Ridhiwan na baadh yao wanaweza kuyaishi hayo lakini sio kwa WENGINE kama Bashite na wengi Sana!
Ilifanyika sherehe nyumbani kwao Chalinze jumamosi usiku kucha halafu jumatatu dogo akaapishwa Dodoma. Yaani acha tu haya madaraka.RIDHIWANI utamuwekaje kwenye kundi moja la watoto wa Mwinyi? Huyu amekulia kwenye Nyumba ya tamaa na kifisadi na ndio maana nae yuko hivyo mpaka kuuza NGADA!! Umewahi kuwasikia watoto wa Mwinyi na kashfa hizo? Usiutie najisi ukoo wa Mwinyi kwa kuwafananisha na huyo fedhuri baba yake anajitahidi kumsafisha kwa kutumia ndumba na fedha!!
Watu kadhaa naona wanazungumzia uzee wa Mwinyi na dini yake na uchaji wake kwa Mungu wake; mimi sifikirii hivyo kabisa, havina uhusiano wowote wa uzee wake na dini/uchaji wake kwa Mungu; kwanza binafsi siamini kama kuna mwana ccm halafu kiongozi anaweza kua mcha Mungu mwenye HOFU ya Mungu, huyo mtu huko ccm HAYUPO. Nimewaangalia Wazanzibari wengi (bila kujali dini yao) wengi hufariki katika umri wa uzee sana, yupo askofu Ramadhani pia, ukimuona kazeeka but still ana nguvu zake na miwani HAVAI yaani. Nenda tu pale kanisani kwao, pale lilipokua soko la Watumwa, mzee yupo vizuri, alikuwepo pia mzee Jumbe, niliwahi kuishi mitaa ya mjimwema Kigamboni, mzee nae alikufa katika uzee wake mwema; juzi nilisikia baba yake mzee Bilali eti kafariki, kama Bilali baba yake alikua HAI then imagine baba yake alikua na umri gani?
Well. sababu ni nini? Haiwezekani tuseme eti Zanzibar ndio wanasali sana halafu bara hawasali, sio kweli...! Bara pia wanasali, Kigoma huko, Dar, Tabora kote huko kuna wapiga mkeka tena sana tu; binafsi nafikiri ni issue ya nidhani katika KULA chakula chao, Wazanzibar hawana Diner, ile chakula tunayo kula huku Bara asubuhi, wao ndio chakula yao ya USIKU and hence matumbo yao huaga yapo empty wakati wanaingai kitandani hence storage ya mafuta, sukari/wanga inakua kidogo sana na hivyo vitu huaga vina haribu sana nguvu ya macho of course na magonjwa nyemelezi as well. Hu ni utafiti wangu, mwingine nae anaweza kuja na story tofauti but ninacho sisitiza hapa SIO dini wala ucha Mungu; siamini kama eti kuna mwana ccm halafu KIONGOZI kabisa anaweza kua na HOFU ya Mungu; hakuna huko!
Naweza kukubaliana na ulichosema. Naongezea pia uwezekano wa ile kanuni ya Darwin ya "natural selection" kwa watu wa visiwani, kwamba wakati watu wote wamekuwa exposed kwa mazingira yanayofanana ya magonjwa na upatikanaji wa mahitaji, nature huchagua wale wenye miili yenye kuhimili changamoto hizo ndio watakaoishi (survival for the fittest) na wale dhaifu hufa mapema. Nao hao waliochaguliwa na nature hurithisha hizo genes nzuri kwa vizazi vyao.Watu kadhaa naona wanazungumzia uzee wa Mwinyi na dini yake na uchaji wake kwa Mungu wake; mimi sifikirii hivyo kabisa, havina uhusiano wowote wa uzee wake na dini/uchaji wake kwa Mungu; kwanza binafsi siamini kama kuna mwana ccm halafu kiongozi anaweza kua mcha Mungu mwenye HOFU ya Mungu, huyo mtu huko ccm HAYUPO. Nimewaangalia Wazanzibari wengi (bila kujali dini yao) wengi hufariki katika umri wa uzee sana, yupo askofu Ramadhani pia, ukimuona kazeeka but still ana nguvu zake na miwani HAVAI yaani. Nenda tu pale kanisani kwao, pale lilipokua soko la Watumwa, mzee yupo vizuri, alikuwepo pia mzee Jumbe, niliwahi kuishi mitaa ya mjimwema Kigamboni, mzee nae alikufa katika uzee wake mwema; juzi nilisikia baba yake mzee Bilali eti kafariki, kama Bilali baba yake alikua HAI then imagine baba yake alikua na umri gani?
Well. sababu ni nini? Haiwezekani tuseme eti Zanzibar ndio wanasali sana halafu bara hawasali, sio kweli...! Bara pia wanasali, Kigoma huko, Dar, Tabora kote huko kuna wapiga mkeka tena sana tu; binafsi nafikiri ni issue ya nidhani katika KULA chakula chao, Wazanzibar hawana Diner, ile chakula tunayo kula huku Bara asubuhi, wao ndio chakula yao ya USIKU and hence matumbo yao huaga yapo empty wakati wanaingai kitandani hence storage ya mafuta, sukari/wanga inakua kidogo sana na hivyo vitu huaga vina haribu sana nguvu ya macho of course na magonjwa nyemelezi as well. Hu ni utafiti wangu, mwingine nae anaweza kuja na story tofauti but ninacho sisitiza hapa SIO dini wala ucha Mungu; siamini kama eti kuna mwana ccm halafu KIONGOZI kabisa anaweza kua na HOFU ya Mungu; hakuna huko!