Amekuambia ana shida na hela? Bandiko hili amefikisha ujumbe tuu alichoeleza kimetokea, kinatokea mtu hawezi kuwa busy for nothing he knows what he is doing.Tatizo lako unapoteza muda mwingi kutafuta umaarufu hapa JF kwa kuandika makala zisizo na kichwa wala miguu. Jikite katika kutafuta hela, Achana kushindana na watu kama Erythrocyte au akina brazaj etc , wenzako wanalipwa na chadema!
Atafute pesa, mengine nakuachia weweAmekuambia ana shida na hela? Bandiko hili amefikisha ujumbe tuu alichoeleza kimetokea, kinatokea mtu hawezi kuwa busy for nothing he knows what he is doing.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu anafikisha ujumbe kwa hadhira ni mwandishi huyu sio lazima tukio liwe limemtokea yeye.Pole sana mkuu lakini hela ya kuzunguka vijiji vyote hivyo umeitoa wapi kama kula tu unakula mlo mmoja?
Nimekupata mkuuHuyu anafikisha ujumbe kwa hadhira ni mwandishi huyu sio lazima tukio liwe limemtokea yeye.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3] Labda ningekutana na wewe ningekoma kuzurura hovyo. Ningekuwa nimejipatia mke mwema [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Amesema ana vitabu vyake tena hata kabla hajasema ilikuwa nimtafute maana nilihisi hivyo Sasa wewe unataka atafutaje pesa??? Mbona mnakuwa wajuaji sana humu!! Kumbuka huu uzi umekaa Kama tangazo la kazi zake if and only if you can think in deep.Atafute pesa, mengine nakuachia wewe
Huwezi kujivunia kazi isisoleta tonge kinywani. Ni utoto ingawa kwa miaka 33 bado
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]niko nanjilinji
Hayo yako atafute helaAmesema ana vitabu vyake tena hata kabla hajasema ilikuwa nimtafute maana nilihisi hivyo Sasa wewe unataka atafutaje pesa??? Mbona mnakuwa wajuaji sana humu!! Kumbuka huu uzi umekaa Kama tangazo la kazi zake if and only if you can think in deep.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi hii watu wana shida sana.
1. Unamjua hadi umwambie ajikite kutafuta pesa?
2. Huwa anaomba msaada hapa?
....Watu hufanya mambo kwa kujifurahisha nafsi. Huenda anapotoa ujumbe flani katika jamii moyo wake hufurahi, tuache mambo ya kuona mtu anapoteza muda badala ya kutafuta pesa.
Pesa sio kila kitu.
Angalia kiingilish chako mwandishi!Sio kila kazi inatakiwa ikupelekea tonge mdomoni ππ
Labda uwe fukara ndio utakuwa na mtazamo Kama huo.
Kazi nyingine ni for funny Boss.
Angalia kiingilish chako mwandishi!
πππππππAngalia kiingilish chako mwandishi!
Just ignore him, Kuna watu wana talent nyingi, kwa mfano Mshana Jr ni mwandishi mzuri Sana lakini sidhani kama anatumia uandishi wake Kama fursa.Sio kila kazi inatakiwa ikupelekea tonge mdomoni [emoji3][emoji3]
Labda uwe fukara ndio utakuwa na mtazamo Kama huo.
Kazi nyingine ni for funny Boss.
[emoji848] Ni kweli, yeye ametoa wapi mda wa kuandika, wakati yupo katika harakati za kutafuta hela.[emoji848]Nchi hii watu wana shida sana.
1. Unamjua hadi umwambie ajikite kutafuta pesa?
2. Huwa anaomba msaada hapa?
....Watu hufanya mambo kwa kujifurahisha nafsi. Huenda anapotoa ujumbe flani katika jamii moyo wake hufurahi, tuache mambo ya kuona mtu anapoteza muda badala ya kutafuta pesa.
Pesa sio kila kitu.
Eti ni kweli Erythrocyte mpaka leo mnalipwa na chadema kutukuna watu "Jeifu" since 2014[emoji848]Tatizo lako unapoteza muda mwingi kutafuta umaarufu hapa JF kwa kuandika makala zisizo na kichwa wala miguu. Jikite katika kutafuta hela, Achana kushindana na watu kama Erythrocyte au akina brazaj etc , wenzako wanalipwa na chadema!