Ntolonyonyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,231
- 2,357
Hahaha, dada mmbishi yule... Yeye anamtaka Boss wake tu[emoji3]Naona ninawe umerudi kwa staili nyingine za kumsema mumeo,kazana tu utaupata mshahara wako
Yaani umeamua kuja na acc mpya ili umseme mumeo wanawake sijui huwa mnataka nini umepata kazi mpya umempenda Boss sasa umeamua kumchafua na mumeo wakati ulisema unampenda sana na wala huna shida nae haya sasa yanatoka wapi?
We nenda tu ukampe mapenzi moto moto Boss wako acha kumchafua mumeo si sawa!!
Hahaha, dada mmbishi yule... Yeye anamtaka Boss wake tu[emoji3]
Nilijua mwisho wa story utaleta kitenzi kilinganishi [emoji23][emoji23]
Kumbe wachawi ni wale waliotangulia ndani ya ndoa, Dah!Ni wa hovyo sana,wa namna hii ndio wanasababisha vijana wasioe na dada zetu wanazidi kuhangaika kwenda kwa waganga ili waolewe
Kwahiyo asikazwe jameni, mi naona akazweJapo uandishi ni wa kiume ila aliolewa na mchaga akitegemea nini? Avumilie na hamu zake, mengine si anapata? Evelyn Salt alishasema huwezi kupata vyote.
Miaka kumi ya ndoa sasa mume wangu anafanya kazi mkoani mwaka wa pili sasa huwa anajitahidi kwa mwezi anakuja mara mbili kutusalimia mimi na watoto wetu wawili yeye ana 35 na mimi nina 32 ananibore anapokuja,huwa kazubaa yaani kadri siku zinavyoenda ndo anazidi kupoteza mzuto wa kimapenzi anapenda style ya kusoma gazet tu mimi ndo nihangaike hapo juu na akijinyoosha hapo kitandani ni kama mfu hanipapasi hafanyi chochote zaidi ya kuutunisha na kuniachia.
Mimi nihangaike nao kweli nakosa raha nikimwambia aje juu anagoma anasema anasema amechoka anastress anawaza apate kazi nyingine aje kukaa na familia yake ananichosha kweli hata kabla hajaenda mkoani kikazi alikuwa ni mtu wa nimechoka nawaza kupata kazi nzuri niwahudumie,kwa kweli huyu mchaga wangu anahangaika na kutujali sana familia yake kwenye issue za ulaji,mavazi na malazi ila mapenzi na mahaba ni extra sana kwake...
Kuna mkaka mmoja job yeye ni mnyakyusa ananifatilia sana, jamaa ananizimia ananiongeleshaga vitu vya kimapenzi sana yani nimeanza kumtamani niwenae kimapenzi atulize kiu yangu ya mda mrefu kaniambia tuwetunakula bata na kuenjoy mapenzi but tutaendelea kurespect family zetu nishaurini wakuu
Kwakweli na akazwe tu.Kwahiyo asikazwe jameni, mi naona akazwe
[emoji1] [emoji1] [emoji1] kwamba? Kutikiswa haswa[emoji1]Wanaume cjui kwa nn wanajisahau yaan kila mara kachoka na mm mwili unahitaji kutikiswa hasa
Una uhakika gan Huyo mnyakusa kua Yuko vizur. Acha tamaaaKwa hiyo nivumilie kutokupata raha na kunamtu anataka kunipa raha maisha hayaji mara mbili
Miaka kumi ya ndoa sasa mume wangu anafanya kazi mkoani mwaka wa pili sasa huwa anajitahidi kwa mwezi anakuja mara mbili kutusalimia mimi na watoto wetu wawili yeye ana 35 na mimi nina 32 ananibore anapokuja,huwa kazubaa yaani kadri siku zinavyoenda ndo anazidi kupoteza mzuto wa kimapenzi anapenda style ya kusoma gazet tu mimi ndo nihangaike hapo juu na akijinyoosha hapo kitandani ni kama mfu hanipapasi hafanyi chochote zaidi ya kuutunisha na kuniachia.
Mimi nihangaike nao kweli nakosa raha nikimwambia aje juu anagoma anasema anasema amechoka anastress anawaza apate kazi nyingine aje kukaa na familia yake ananichosha kweli hata kabla hajaenda mkoani kikazi alikuwa ni mtu wa nimechoka nawaza kupata kazi nzuri niwahudumie,kwa kweli huyu mchaga wangu anahangaika na kutujali sana familia yake kwenye issue za ulaji,mavazi na malazi ila mapenzi na mahaba ni extra sana kwake...
Kuna mkaka mmoja job yeye ni mnyakyusa ananifatilia sana, jamaa ananizimia ananiongeleshaga vitu vya kimapenzi sana yani nimeanza kumtamani niwenae kimapenzi atulize kiu yangu ya mda mrefu kaniambia tuwetunakula bata na kuenjoy mapenzi but tutaendelea kurespect family zetu nishaurini wakuu
Wa Rombo tenaKumbe mwanaume mwenyewe ni mchaga sasa unalalamika nn
Wanaume cjui kwa nn wanajisahau yaan kila mara kachoka na mm mwili unahitaji kutikiswa hasa