Miaka kumi ya ndoa mume wangu hajali hisia zangu; Nimechoka!

Kwanza nahisi kama umetunga tu hadithi....
Pili kama ni kweli..basi ujue unajaribu kutafuta sympathy humu ili uhalalishe ujinga unaotaka kufanya....
Kaa ongea nae...
 
Hahaha, dada mmbishi yule... Yeye anamtaka Boss wake tu[emoji3]
 
Pole aisee da.wanaume wengi ni kweli tuko bize lakini wanawake wanahitaji sana uwepo wetu ukweli ni kua wanawake wengi hawajui maana ya kukojoa yaani hawakojoleshwi na waume zao.wanaume tujue tatizo hili tunalo na wala tusibishe au kupuuza hata mara moja.
 
Mmefunga ndoa?
 
Hivi unatuomba ushauri sisi ni makahaba kama wa pale saloon unapoenda heee?
 
Ukiona mke anamponda mumewe jua kuna mwanaume wa muda anampa kiburi.....

Wanawake wa kisasa ni kirusi kisicho na tiba
 
Wana ndoa mnasikia mambo hayo yanayoendelea makazini kwa wake zenu?
 

umeandika maelez mengi ya kutuchosha kumbe unataka kutujulisha kwamba umeanza mahuiano na mnyakyusa.

sasa huyo mnyakyusa ndiyo aliyesababisha umchoke huyo mshikaji wa mkoani
 
It seems umeshaamua kugongwa nje ya ndoa. Endeleaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…