Miaka kumi ya ndoa mume wangu hajali hisia zangu; Nimechoka!

Kwa hiyo nivumilie kutokupata raha na kunamtu anataka kunipa raha maisha hayaji mara mbili
Maybe uchi wako ni mbovu na unanuka uozo kutokana na kuchanganya shahawa hovyo, au tayari mumeo amehisi una mahusiano na mdogo wangu wa kinyakyusa!

Tatizo ni wewe!
 
mkuu kwenye suala Zima la uvumilivu mimi ni mvivu, nahisi nikioa leo baada ya wiki 2 nitatoa divorce coz hawa viumbe wana majaribu mengi
 
Ushaliwa wewe acha kumdharau mumeo!...siku ukifumaniwa utakua mdogooo na style ya gazeti utaikumbuka
 
Jibu murua kabisa Mkuu wangu.
 
WANAWAKEEEEEEEEEE[emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] me mda si mrefu ntaihama hii jinsia but why....
 
demokrasia imekushinda unaanzisha uhasi kwenye ndoa yako... kuna ukimwi..... mkuuu..!!
 
Kwa hiyo nivumilie kutokupata raha na kunamtu anataka kunipa raha maisha hayaji mara mbili
Mwanzoni mwa uhusiano wenu ulikuwa hupat raha? Acha unafiki kuhalalisha zinaa kisa mtu anachoka! Mie sasa nina stor kama yako ila upande wa pili. Mwenzangu toka amejifungua mtt wa pili kwa op kuna madhara ameyapata kwenye uti wa mgongo mambo sio kama zamani, je nae nimuolee mke wa pili kisa maisha hayaji mara mbil? Kwama ulivuka stage kubali matokeo"kila kaumu na mtume wake" tunza familia yako.
 

we ndo siyo mbunifu umeshindwa kusoma hisia za mumeo matokeo unataka kuanza kutangatanga mueleze ukweli wako juu ya hisia.
 
Sawa je wewe umepima?
Uko njema ki afya?yaani huna ngoma usijekumuanbukiza kijana wa watu,Una watoto wangapi? Je akikupa mimva je?
 
Nyura mbe
 
Kwanza pole,lakini hebu jaribu kubadilisha mazingira kidogo akija hata hizo sikumbili usilale nae hapo nyumbani kwenu tafuta mazingira tofauti wanaume pia tu napenda vitu tofauti tofauti kingine usimfanye yeye tu ndo akufate hata wewemfate huko aliko mtoe out ikiwezekana pia usilale nae apolala
 
What if huyo mnyakyusa ana kibamia.. Utakuja fungua tena uzi au utapambana na hali yako
 
Kwa hiyo nivumilie kutokupata raha na kunamtu anataka kunipa raha maisha hayaji mara mbili
Huna lolote, hapa umekujs kuharibu akili za watu wajinga tu na kujaribu kuhalalisha makusudio yako tu, huna la zaidi.

Vv

Vv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…