Miaka kumi ya ndoa mume wangu hajali hisia zangu; Nimechoka!

Miaka kumi ya ndoa mume wangu hajali hisia zangu; Nimechoka!

Kwa hiyo nivumilie kutokupata raha na kunamtu anataka kunipa raha maisha hayaji mara mbili

Unauhakika huyo mtu unaetaka chepuka nae atakupa raha??chepuka tu dada faida na hasara zako mwenyewe
 
Sina haja ya kuivinja ndoa..nataka tu kuipooza kiu yng
Sawa dada but God is watching you, ni vyema ukamfuata na ww ili ukidhi hiyo kiu yako au akija umwambie kwamba hauridhiri ajijue kabisa na atabadilika.
 
Dada mvumilie huyo mumeo kwakweli inatia stress sana kuishi mbali na familia hasa ikiwa umeoa.

Msikilize jamaa na wewe pia ongeza manjonjo ili umpe mshawasha mumeo. Sio ukute siku anakuja hata huweki mazingira romantic hapo chumbani na wewe mwenyewe umetinga majeans na makoti kama potter wa Kilimanjaro.
 
Hakuna kitu hata kabla hajaondoka alikuwa hivyo yaan anawaza maisha sana hadi hamu inamuisha
Nadhani wachaga wengi wameweka.pesa Mbele kuliko vitu vingine, mke wangu mchaga wakati tunaanza maisha siku tukikosa pesa anaumwa presha, atakonda mpaka utamuonea huruma. Anaweza kichwa kikamuuma wiki nzima lkn pata pesa hapo hapo kichwa kitaacha na furaha inarudi. Sawa kila mtu anahitaji pesa lkn zisikufanye mpaka uharibu na mambo mengine. Kuna wakati tukiwa broke sipati mchezo kabisa hata 2 weeks ukimuomba anakuambia yaani ndani hatuna pesa wewe unafikiria mambo hayo. Sasa hii hali ndo anayopitia mmeo! Pesa Mbele km tai
 
Tulia kwenye Ndoa yako acha kuhangaika matokeo yake utaleta magonjwa kwenye Ndoa yako, Ndoa ni kuvumiliana.
 
Woman go get laid if that's what you want.

But stop trying to taint your husband's image by complaining about his sexual prowess.

You cannot have it all. If he was broke and humping you right still ungelalamika. So think beyond your selfishness. Appreciate the things the poor man is doing for you and your kids.

And if you decide to go ahead and cheat on your husband, prepare yourself for the repercussions.
 
Huu ndio upuuzi wauwazao hawa tunaosema wake zetu. Wanataka vyote utekeleze kwa wakati mmoja. Mapenzi anataka asilimia zote, mahitaji ya nyumbani vilevile. Ukishindwa kubalance ndio lawama zinapoanza. Huyo jamaa angekuwa haijali familia kwa mahitaji muhimu pia ungekuja kusema umepata bwana mwenye pesa. Ndoa zinanahitaji akili ya ziada
 
Miaka kumi ya ndoa sasa mme wng anafanya kazi mkoani mwaka wa pili sasa.Huwa anajitahidi kwa mwezi anakuja mara mbili kutusalimia mimi na watoto wetu wawili.Yeye ana 35 na mimi nna 32.

Ananibore anapokuja,huwa kazubaa yaan kadri siku zinavyoenda ndo anazidi kupoteza mzuto wa kimapenzi anapenda style ya kusoma gazet tu mimi ndo nihangaike hapo juu na akijinyoosha hapo kitandani ni kama mfu hanipapasi hafanyi chochote zaidi ya kuutunisha na kuniachia mm nihangaike nao kweli nakosa raha nikimwambia aje juu anagoma anasema anasema amechoka anastress anawaza apate kazi nyingine aje kukaa na familia yake
Ananichosha kweli hata kabla hajaenda mkoan kikaz alikuwa ni mtu wa nimechoka nawaza kupata kazi nzur niwahudumie,kwa kweli huyu mchaga wangu anahangaika na kutujali sana familia yake kwenye issue za ulaji,mavazi na malazi ila mapenzi na mahaba ni extra sana kwake... kuna mkaka mmoja job yeye ni mnyakyusa ananifatilia sana, jamaa ananizimia ananiongeleshaga vitu vya kimapenzi sana yani nimeanza kumtamani niwenae kimapenzi atulize kiu yangu ya mda mrefu..kaniambia tuwetunakula bata na kuenjoy mapenzi but tutaendelea kurespect family zetu... nishaurini wakuu

Chepuka tuu maana naona umeshafanya uamuzi....
 
tafuta michepuko iwe inakutomba ,, ,, ukimaliza ndo unaenda kwa mumeo kama
 
Hahaha wazee wa zamani walikuwa na akili sana baadhi ya mila zilikuwa za kijinga lakini zina siri kubw waliwatahiri wanawake,walijua kama mwanamke atathamini ngono sana kama alivyo mwanaume basi jamii haitakuwa mahali salama.

Mwanamke hataweza kutulia na mumeo ikitokea kaumwa au kapatwa na ishu za msingi zinazompa stress badala yake wakaanzisha kautaratibu ka kuondoa kisim* ili ikitokea mwanamke katembea na mwanaune mwingine basi ajionee sawa tu asione la tofauti na mumeo,wazee wakawa wanakwangua utamu woteee na wanawake kweli wakawa wanajitahidi kutulia na wame zao.

Hamna kitu kikubwa mwanamke atafanya na kitamuongezea heshima mbele ya mumewe kama kujua mwanaume anapitia kipindi gani na kuwa tayari kumshika bega na kumsapoti na kujaribu kumsaidia mumewe katika kipindi hicho bahati mbaya kipindi kama icho ambacho mtu anawaza familia yake,watoto wke na mastress ya kazi basi mke anawaza kutombw* nje Jaribu wewe kuhudumia kila kitu hapo nyumbani kwa mwaka tu halafu uniambie kama utakuwa unamda hata wa kuwaza ngono lipa ada,nunua chakula,lipa mfanyakazi,nunua umeme fanya kila kitu mwaka 1tu pumbavu zako tuone kama utawaza hata ngono.
 
Nimemwambia mara kibao ananijibu nivumilie mke wangu hamu inaniishia nahangaika nipate kazi huku niwe pamoja nanyi nikirudi mambo yatarudi kama zamani.Sasa mimi ntavumilia mpaka lini ikiisha stress hii inakuja nyingine na huyu kaka mwingine jaman ananiambiaga maneno mengi ya kimapenzi hadi nimeanzakuvutiwa nae

Dizain flani umeshaamua kutoka nje ya ndoa yako. Mvumilie. Ulikula kiapo cha ndoa mbele ya Mungu.

Sisi ni wanawake bwana hamna kinachotushinda. Muandalie vyakula vya kumuongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa na wewe. Badilisheni mazingira, muondolee stress. Appreciate every little effort he makes.

Usikubali kutoka nje ya ndoa yako.
 
Umeona eeh! Yaan ni shida sasa mimi nifanyaje na nnahisia
Nadhani wachaga wengi wameweka.pesa Mbele kuliko vitu vingine, mke wangu mchaga wakati tunaanza maisha siku tukikosa pesa anaumwa presha, atakonda mpaka utamuonea huruma. Anaweza kichwa kikamuuma wiki nzima lkn pata pesa hapo hapo kichwa kitaacha na furaha inarudi. Sawa kila mtu anahitaji pesa lkn zisikufanye mpaka uharibu na mambo mengine. Kuna wakati tukiwa broke sipati mchezo kabisa hata 2 weeks ukimuomba anakuambia yaani ndani hatuna pesa wewe unafikiria mambo hayo. Sasa hii hali ndo anayopitia mmeo! Pesa Mbele km tai
 
We dada sema tu umeshapata kiben10 kimekuchanganya weeeh unamuona mumeo sio kitu tena

Mumeo kama unaona hawezi kaa nae chini ongea nae taratibu mwambie kuna hivi na hivi mume wangu naomba ujitahidi ubadilike uwe vizurk kwenye tendo huyo ni mumeo uliamua mwenyewe kuolewa nae
 
mh
Hahaha wazee wa zamani walikuwa na akili sana baadhi ya mila zilikuwa za kijinga lkn zina siri kubwa.Waliwatahiri wanawake,walijua kama mwanamke atathamini ngono sana kama alivyo mwanaume basi jamii haitakuwa mahali salama.Mwanamke hataweza kutulia na mumeo ikitokea kaumwa au kapatwa na ishu za msingi zinazompa stress badala yake wakaanzisha kautaratibu ka kuondoa kisim* ili ikitokea mwanamke katembea na mwanaune mwingine basi ajionee sawa tu asione la tofauti na mumeo,wazee wakawa wanakwangua utamu woteee na wanawake kweli wakawa wanajitahidi kutulia na wame zao. Hamna kitu kikubwa mwanamke atafanya na kitamuongezea heshima mbele ya mumewe kama kujua mwanaume anapitia kipindi gani na kuwa tyr kumshika bega na kumsapoti na kujaribu kumsaidia mumewe ktk kipindi hicho bahati mbaya kipindi km icho ambacho mtu anawaza familia yake,watoto wke na mastress ya kazi basi mke anawaza kutombw* nje.Jaribu wewe kuhudumia kila kitu hapo nyumbani kwa mwaka tu halafu uniambie kama utakuw unamda hata wa kuwaza ngono.lipa ada,nunua chakula,lipa mfanyakazi,nunua umeme fanya kila kitu mwaka 1tu pumbavu zako tuone km utawaza ht ngono.
 
Ushauri

Anakulenda tu kwa sababu wewe ni mke watu hakukishi, hakavalishi hana jukumu lolote.
Pia kumbuka unaonekana mzuri kwa sababu mumeo anakujali kwa mambo mengi.

Sasa ukiachika ndio utamfahamu huyo mnyakyusa wako. Atakupita kama hamjuani.
 
We mjinga kweli Leo unaona hafai hadi mna watoto. Shukuru we unaishi vizur mshenz kweli badala upambanie wanao unawaza ujinga. Kwa uandishi wako huna sifa ya kuwa mke
 
Back
Top Bottom