Miaka kumi ya ndoa mume wangu hajali hisia zangu; Nimechoka!

Miaka kumi ya ndoa mume wangu hajali hisia zangu; Nimechoka!

We hujawahi kucheat?
We mjinga kweli Leo unaona hafai hadi mna watoto. Shukuru we unaishi vizur mshenz kweli badala upambanie wanao unawaza ujinga. Kwa uandishi wako huna sifa ya kuwa mke
 
Miaka kumi ya ndoa sasa mme wng anafanya kazi mkoani mwaka wa pili sasa.Huwa anajitahidi kwa mwezi anakuja mara mbili kutusalimia mimi na watoto wetu wawili.Yeye ana 35 na mimi nna 32.

Ananibore anapokuja,huwa kazubaa yaan kadri siku zinavyoenda ndo anazidi kupoteza mzuto wa kimapenzi anapenda style ya kusoma gazet tu mimi ndo nihangaike hapo juu na akijinyoosha hapo kitandani ni kama mfu hanipapasi hafanyi chochote zaidi ya kuutunisha na kuniachia mm nihangaike nao kweli nakosa raha nikimwambia aje juu anagoma anasema anasema amechoka anastress anawaza apate kazi nyingine aje kukaa na familia yake
Ananichosha kweli hata kabla hajaenda mkoan kikaz alikuwa ni mtu wa nimechoka nawaza kupata kazi nzur niwahudumie,kwa kweli huyu mchaga wangu anahangaika na kutujali sana familia yake kwenye issue za ulaji,mavazi na malazi ila mapenzi na mahaba ni extra sana kwake... kuna mkaka mmoja job yeye ni mnyakyusa ananifatilia sana, jamaa ananizimia ananiongeleshaga vitu vya kimapenzi sana yani nimeanza kumtamani niwenae kimapenzi atulize kiu yangu ya mda mrefu..kaniambia tuwetunakula bata na kuenjoy mapenzi but tutaendelea kurespect family zetu... nishaurini wakuu

Dada FarAway , pole sana.Hizi ni changamoto za mahusiano.Hata huyo unayeona anakujali ukishavua nguo anaweza akabadilika ukaishia kujuta.Sio vyema wewe kama mke wa mtu kuzungumzia mapenzi na mwanaume mwingine yeyote, sio jambo la heshima.Cha kufanya ni kuzungumza na mmeo, unatamani mambo gani yabadilike, zungumzeni.

Jitahidi sana kuiheshimu ndoa yako na ya huyo mfanyakazi mwenzako.
 
Ndio maana Wachagga tunaambiwaga ni marufuku kuoa "Chasaka". Wazee wanaona mbali kwakweli.
Angekuwa anakusaga mpaka unaifunga POP halafu haudumii familia ungelalamika pia anawaza tu kuvunja chaga akili ya kutafuta hana na hajali familia sijui Mchagga wawapi huyu.
Wanawake hamna tabia za kuridhika hasa mliopata bahati ya kuolewa, unataka upate kilakitu kilichokamilika kwa 100% wakati Mungu mwenyewe hakuweza kuumba kila kitu timilifu na kamilifu.
 
Miaka kumi ya ndoa sasa mme wng anafanya kazi mkoani mwaka wa pili sasa.Huwa anajitahidi kwa mwezi anakuja mara mbili kutusalimia mimi na watoto wetu wawili.Yeye ana 35 na mimi nna 32.

Ananibore anapokuja,huwa kazubaa yaan kadri siku zinavyoenda ndo anazidi kupoteza mzuto wa kimapenzi anapenda style ya kusoma gazet tu mimi ndo nihangaike hapo juu na akijinyoosha hapo kitandani ni kama mfu hanipapasi hafanyi chochote zaidi ya kuutunisha na kuniachia mm nihangaike nao kweli nakosa raha nikimwambia aje juu anagoma anasema anasema amechoka anastress anawaza apate kazi nyingine aje kukaa na familia yake
Ananichosha kweli hata kabla hajaenda mkoan kikaz alikuwa ni mtu wa nimechoka nawaza kupata kazi nzur niwahudumie,kwa kweli huyu mchaga wangu anahangaika na kutujali sana familia yake kwenye issue za ulaji,mavazi na malazi ila mapenzi na mahaba ni extra sana kwake... kuna mkaka mmoja job yeye ni mnyakyusa ananifatilia sana, jamaa ananizimia ananiongeleshaga vitu vya kimapenzi sana yani nimeanza kumtamani niwenae kimapenzi atulize kiu yangu ya mda mrefu..kaniambia tuwetunakula bata na kuenjoy mapenzi but tutaendelea kurespect family zetu... nishaurini wakuu
Dada pepo la Uzinzi linakuaandama
 
Nimekusikia mke wangu ntajirekebisha.
Njoo pm kuyajadili.
 
Ni utovu wa adabu mambo ya chumbani wewe na mume au mke wako kuyaweka hadharani tena kwenye mtandao.

Ungejaribu kutafuta watu wako wa karibu wenye busara zao wakupe ushauri.

Naomba unisamehe sana kama nimekuboa kwa hilo.

Heshimu ndoa yako na utafute ushauri mzuri lakini pia udhinifu ni hatari kwa maisha yako ya leo duniani na kesho kwa muumba.
 
Miaka kumi ya ndoa sasa mme wng anafanya kazi mkoani mwaka wa pili sasa.Huwa anajitahidi kwa mwezi anakuja mara mbili kutusalimia mimi na watoto wetu wawili.Yeye ana 35 na mimi nna 32.

Ananibore anapokuja,huwa kazubaa yaan kadri siku zinavyoenda ndo anazidi kupoteza mzuto wa kimapenzi anapenda style ya kusoma gazet tu mimi ndo nihangaike hapo juu na akijinyoosha hapo kitandani ni kama mfu hanipapasi hafanyi chochote zaidi ya kuutunisha na kuniachia mm nihangaike nao kweli nakosa raha nikimwambia aje juu anagoma anasema anasema amechoka anastress anawaza apate kazi nyingine aje kukaa na familia yake
Ananichosha kweli hata kabla hajaenda mkoan kikaz alikuwa ni mtu wa nimechoka nawaza kupata kazi nzur niwahudumie,kwa kweli huyu mchaga wangu anahangaika na kutujali sana familia yake kwenye issue za ulaji,mavazi na malazi ila mapenzi na mahaba ni extra sana kwake... kuna mkaka mmoja job yeye ni mnyakyusa ananifatilia sana, jamaa ananizimia ananiongeleshaga vitu vya kimapenzi sana yani nimeanza kumtamani niwenae kimapenzi atulize kiu yangu ya mda mrefu..kaniambia tuwetunakula bata na kuenjoy mapenzi but tutaendelea kurespect family zetu.. nishaurini wakuu
Pole sana Dada, wengi watakukehehi humu, lakini hawajui faida ya kuridhika wakati wa tendo la ndoa ndani ya ndoa. Ni vizuri wakati mkiwa katika maandalizi umwoneshe na kumwambia kwa mahaba sehemu za kukugusa gusa, mwambie pia kuwa huwa hujisikii vizuri anapokuwa hatilii manani hilo tendo. Kumbuka hayo mambo hakuna anayezaliwa anayajua, hata wakati wa kuzaliwa hivyo viungo huwa ni kwa ajili ya kutolea uchavu mwili, kwa hiyo mfundishe mwenzio. Na ninyi wanaume wa Kichaga, fanyeni kila kitu kwa kiasi, kama unajua kuwa huji mapenzi kwa nini unaenda kuoa Kyasaka ?
 
Umeona eeh! Yaan ni shida sasa mimi nifanyaje na nnahisia
Pole sana yaani hapo solution apate pesa au hiyo kazi nzuri otherwise zungumza naye mwambie hisia zako lkn Mwanamke akichepuka akakunwa nakwambia utamtukana mmeo na kuleta dhahma. Mwambie kilichotufanya tuishi pamoja ni dudu zetu, mengine yalifuata! wajibu wake wa ndoa lazima autekeleze ni lazima na si ombi kwa.maana ndoa.huvunjwa km mmoja wenu hataweza kufanya tendo
 
Haja ya kuvunja ndoa,unayo

na kiu kitaongezeka sana

Kanuni za nyumba,ni kuingia kupitia mlangoni na si dirishani

Ila ww mtu
Utapata tabu sana kwa style yako hiyo
miaka 10 ndani ya ndoa,leo wataka kuivunja kwa tamaa za dakika tu....!!!

nenda ndg
Sina haja ya kuivinja ndoa..nataka tu kuipooza kiu yng
 
Haja ya kuvunja ndoa,unayo

na kiu kitaongezeka sana

Kanuni za nyumba,ni kuingia kupitia mlangoni na si dirishani

Ila ww mtu
Utapata tabu sana kwa style yako hiyo
miaka 10 ndani ya ndoa,leo wataka kuivunja kwa tamaa za dakika tu....!!!

nenda ndg
Sina haja ya kuivinja ndoa..nataka tu kuipooza kiu yng
 
Kwa haraka tu hyo mnyakyusa ashakufumua kitambo we umejuaje kama anakata kiu?
 
Wabaongo bana....

Kashapata kamchepuka kake anakuja hapa kutafuta uhalali....

Nilipokua nasoma nikasema mwisho wa hii stori itaishia mahali "kuna mkaka ananifatilia.."..Thats the main point!

Huku juu kote ni blah blah tu...maana ungeongea nae muhusika ndio angetoa majibu ya kubadilika unavyotaka wewe...Humu hamna mtu anaweza kukusaidia in real sense!

Na hiyo "kuna mkaka....".....wewe chepuka bana acha kutafuta visingizio...ukishikwa na ndoa huna ili ujue maisha nini hasa!
Nimecheka comment yako...hutaki bluh bluh au sio....[emoji1787][emoji1787]
 
Kwa hiyo nivumilie kutokupata raha na kunamtu anataka kunipa raha maisha hayaji mara mbili
Mmh ile we dada una visa, kwanini usikae na mumeo mkajadili kuhusu hizo hamu zako na muulize we ufanyeje unapomuhitaji halafu yeye amechoka? Kumbuka wanaume wanaumiza sana vichwa kuhusu maisha na kutafuta sex kwao ni jambo la ziada sana, inaonyesha wewe ni type ya mwanamke ambaye unataka ukunwe haswaa kisawasawa pili kosa lilifanyika tangu mwanzoni mmeo sio mpenda kugegeda kihivyo na wewe inaonyesha ni nyege mshindo...what a horrible match!
 
Umtikise haswaa hadi bwawa la chokoleti usipapite.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani hatojuta, nitampa raha ambazo hajawahi kupewa, kiufupi tampa furaha anayoitaka. Wengine hizo sector za mahaba ulisomea kabisa na vyeti first class tunavyo.
 
Yani hatojuta, nitampa raha ambazo hajawahi kupewa, kiufupi tampa furaha anayoitaka. Wengine hizo sector za mahaba ulisomea kabisa na vyeti first class tunavyo.
We jamaa mlaghai kweli [emoji23]
 
Mkuu umeshatamani penzi la mnyakyusa na uko tayari kumpa papuchi aitikise kama ulivyodai hivyo sidhani kama utakubaliana na ushauri wowote utakao kuwa against na fikra zako.

Kama utakubali ushauri tofauti na wazo lako basi fanya hivi; tafuta vumbi la kongo kisha wakati unaunyonya mshedede mpake kichwani pasipo yeye kujua halafu shughuli yake utaiona, atabadili style, atakutikisa na hautaamini.

Hiyo ya kumpa mnyakyusa hapana bhana.
 
Back
Top Bottom