Miaka kumi ya ndoa mume wangu hajali hisia zangu; Nimechoka!

Miaka kumi ya ndoa mume wangu hajali hisia zangu; Nimechoka!

Hiv unafikir sijaongea??

Tena ananijibu nawaza mapenzi tu cwaz maisha so hata kumwambia huwa najishtukia ila najikaza hivyohivyo namwambia tena kwa upole
Nikijisexisha mbele yake ananiambia niache upuuz au anaingiza mada tofaut au anazua kaugomvi tu kunitoa kwenye mood hiyo
Eti na wewe upo kwenye ndoa?
Unatia aibu. Hivi viapo mnavyochukua huwa mnakuwa mntania au?

Kaa ongea na mume wako muiboreshe ndoa yenu. Mambo mazuri huja kwa kuyawekea bidii.

Mchepuko utakusaidia nini? Tamaa mbele mauti nyuma. Yakikukuta utakuja hapa kuandika thread
 
Aise ni kosa kubwa sn kuja kuanika siri zenu za ndani huku imagine na yy yupo humu then akasoma unadhani atajisikiaje?endelea kumfariji ndugu hakuna aliyemkamirifu yy ana mapungufu hayo lkn pengine na ww utakuwa na mapungufu yako.
 
Zungumza na mwenzio hilo kuwa huridhishwi na namna anavyofanya.
Kuchepuka utakaribisha mgogoro kwenye familia
 
Afadhal umenielewa tena najitahidi kumwongelesha kimahaba na mbwembwe zote za kimahaba mara nyingi ananijibu we unawaza tu mapenzi mambo ya maendeleo.. watu wanadhan nimekurupuka tu kuleta humu hawajui nimevumilia kiasi gani na nikisikia wanawake wenzangu wakisimulia mahaba wanayopewa natamani hata nimkubalie fasta huyo mnyaki

Je mwanzoni hali ilikuaje maana pia ukumbuke kua kama hajui mfundishe lkn kama ni msongo wa mawazo msaidie how to solve them ili ufurahie ndoa yako

Pia kuhusu njee ya ndoa kumbuka wa nje await hatukosei usije ukatelekeza nyumba so think twice
 
Waza maisha na wewe.
Mjoin katika kuwaza vya maana.
Shida na raha, afya na maradhi.

Hivi viapo si umechukua mwenyewe lakini
Hiv unafikir sijaongea??

Tena ananijibu nawaza mapenzi tu cwaz maisha so hata kumwambia huwa najishtukia ila najikaza hivyohivyo namwambia tena kwa upole
Nikijisexisha mbele yake ananiambia niache upuuz au anaingiza mada tofaut au anazua kaugomvi tu kunitoa kwenye mood hiyo
 
Ulitakiwa umfundishe unachotaka kabla hamjaoana,sasa miaka kumi??? Samaki mkunje angali mbichi .....sidhani kama atakuelewa.Ila kutafuta mchepuko sio solution ya kiu ya mapenzi bali ni kununua maradhi na fedheha kwenye jamii.
 
Unajua unachowaza lakini. Umejawa na mawazo ya uzinzi na inaonekana ni mtu wa kusubiri na kulishwa ndiyo maana unawaza hivyo. Kama ungekuwa na shughuli ya kufanya ungekuwa na mawazo ya maendeleo. Ushauri wangu. Acha hayo mawazo mara moja. Acha kuanika udhaifu wa mme wako hapa. Kama humpedi basi omba talaka ukajiangamize mwenyewe huko nje.
 
Woman go get laid if that's what you want.

But stop trying to taint your husband's image by complaining about his sexual prowess.

You cannot have it all. If he was broke and humping you right still ungelalamika. So think beyond your selfishness. Appreciate the things the poor man is doing for you and your kids.

And if you decide to go ahead and cheat on your husband, prepare yourself for the repercussions.
I've come to realize that a woman will always find a way to quench her thirsty, ampe huyo mnyaki amtikise vizuri
 
Je mwanzoni hali ilikuaje maana pia ukumbuke kua kama hajui mfundishe lkn kama ni msongo wa mawazo msaidie how to solve them ili ufurahie ndoa yako

Pia kuhusu njee ya ndoa kumbuka wa nje await hatukosei usije ukatelekeza nyumba so think twice
Ilikuwa balaa mwanzoni alikuwa vizur sana sasa amebadilika kabisa majukumu ya famili yalipoangezeka anashindwa kubalance afu mbishi hataki kuambiwa wala kukosolewa kweli anakwaza

Yaan sex mpaka apate ham yeye cku mm nikijiskia nikimpapasa tu analala kifudifudi nyie mnasema tu hamjui naumia kias gan
 
Hakuna atakayejua walau siku moja nione inakuwaje
Ha haaa napata wasi wasi utakuwa wewe ni ninawe.
Namna unavojibu sio mgeni ila may be n stori za jf tu
Lakin hauwezi kuwa wife of somebody na ukaja na justification za ajabu hivi.
Tayar una motive ya ku cheat so go have a fun
 
Wengine Tumeletwa Duniani Kwa Kazi Moja Tu Ya Kuliwaza Wanawake Kama Nyie
 
Kafanye yako kushauri watu wazima kazi saana
 
Back
Top Bottom