Miaka kumi ya ndoa mume wangu hajali hisia zangu; Nimechoka!

Miaka kumi ya ndoa mume wangu hajali hisia zangu; Nimechoka!

Nimependa wewe mwanamke umekufikia muwazi sana na kama huu ujumbe au haya uyatakayo umemweleza mumeo afu hujaona mabadiliko una haki na unafaa Sana

Tatizo huwa hatupendi kuambiwa ukweli mke sio tuu mavazi na chakula

Kujali hisia zake ni muhim pia na ndio ndoa yenyewe jamani huu ni ulithi wetu but tunajisahau mnoo
 
Nyie wanawake mnachangia vijana waogope ndoa

Kumbuka kiapo

Kumbuka kabla hamjaingia kwenye ndoa kama ulimahidi kumchit

Kumbuka kuwa maisha yana mengi
 
Usitamani mali ya mwenzio. Tulia na mwenzio. Unasema mwenzio hajui kitu ,mi nadhani na wewe una shida. Mmeona shida mojawapo ya kukaa mbali na wenzi wetu
 
Miaka kumi ya ndoa sasa mme wng anafanya kazi mkoani mwaka wa pili sasa.Huwa anajitahidi kwa mwezi anakuja mara mbili kutusalimia mimi na watoto wetu wawili.Yeye ana 35 na mimi nna 32.

Ananibore anapokuja,huwa kazubaa yaan kadri siku zinavyoenda ndo anazidi kupoteza mzuto wa kimapenzi anapenda style ya kusoma gazet tu mimi ndo nihangaike hapo juu na akijinyoosha hapo kitandani ni kama mfu hanipapasi hafanyi chochote zaidi ya kuutunisha na kuniachia mm nihangaike nao kweli nakosa raha nikimwambia aje juu anagoma anasema anasema amechoka anastress anawaza apate kazi nyingine aje kukaa na familia yake
Ananichosha kweli hata kabla hajaenda mkoan kikaz alikuwa ni mtu wa nimechoka nawaza kupata kazi nzur niwahudumie,kwa kweli huyu mchaga wangu anahangaika na kutujali sana familia yake kwenye issue za ulaji,mavazi na malazi ila mapenzi na mahaba ni extra sana kwake... kuna mkaka mmoja job yeye ni mnyakyusa ananifatilia sana, jamaa ananizimia ananiongeleshaga vitu vya kimapenzi sana yani nimeanza kumtamani niwenae kimapenzi atulize kiu yangu ya mda mrefu..kaniambia tuwetunakula bata na kuenjoy mapenzi but tutaendelea kurespect family zetu... nishaurini wakuu
Eti na wewe upo kwenye ndoa?
Unatia aibu. Hivi viapo mnavyochukua huwa mnakuwa mntania au?

Kaa ongea na mume wako muiboreshe ndoa yenu. Mambo mazuri huja kwa kuyawekea bidii.

Mchepuko utakusaidia nini? Tamaa mbele mauti nyuma. Yakikukuta utakuja hapa kuandika thread
 
Huyo wa kazini ikitikea mmefumaniaa na mke wake ni rahisi yy kusamehewa na maisha yakaendelea, ila ww ukifumaniwa/kushtukiwa na mumeo nadhani unajua kitakachotokea... Usisahau Hisia ni temporary ila matokeo ya maamuzi utakayochukuwa kwa kufuata Hisia zako will be permanent na yanaweza kukucost daima
 
Nimemwambia mara kibao ananijibu nivumilie mke wangu hamu inaniishia nahangaika nipate kazi huku niwe pamoja nanyi nikirudi mambo yatarudi kama zamani.Sasa mimi ntavumilia mpaka lini ikiisha stress hii inakuja nyingine na huyu kaka mwingine jaman ananiambiaga maneno mengi ya kimapenzi hadi nimeanzakuvutiwa nae
Mtunuku huyo kaka.. we only live once!
 
Miaka kumi ya ndoa sasa mme wng anafanya kazi mkoani mwaka wa pili sasa.Huwa anajitahidi kwa mwezi anakuja mara mbili kutusalimia mimi na watoto wetu wawili.Yeye ana 35 na mimi nna 32.

Ananibore anapokuja,huwa kazubaa yaan kadri siku zinavyoenda ndo anazidi kupoteza mzuto wa kimapenzi anapenda style ya kusoma gazet tu mimi ndo nihangaike hapo juu na akijinyoosha hapo kitandani ni kama mfu hanipapasi hafanyi chochote zaidi ya kuutunisha na kuniachia mm nihangaike nao kweli nakosa raha nikimwambia aje juu anagoma anasema anasema amechoka anastress anawaza apate kazi nyingine aje kukaa na familia yake
Ananichosha kweli hata kabla hajaenda mkoan kikaz alikuwa ni mtu wa nimechoka nawaza kupata kazi nzur niwahudumie,kwa kweli huyu mchaga wangu anahangaika na kutujali sana familia yake kwenye issue za ulaji,mavazi na malazi ila mapenzi na mahaba ni extra sana kwake... kuna mkaka mmoja job yeye ni mnyakyusa ananifatilia sana, jamaa ananizimia ananiongeleshaga vitu vya kimapenzi sana yani nimeanza kumtamani niwenae kimapenzi atulize kiu yangu ya mda mrefu..kaniambia tuwetunakula bata na kuenjoy mapenzi but tutaendelea kurespect family zetu... nishaurini wakuu
Wanyakyusa hoyeeeee...... FarAway mpatie ndugu yangu wa kinyakyusa akusuuze nafsi.
 
Mkuu umeshatamani penzi la mnyakyusa na uko tayari kumpa papuchi aitikise kama ulivyodai hivyo sidhani kama utakubaliana na ushauri wowote utakao kuwa against na fikra zako.

Kama utakubali ushauri tofauti na wazo lako basi fanya hivi; tafuta vumbi la kongo kisha wakati unaunyonya mshedede mpake kichwani pasipo yeye kujua halafu shughuli yake utaiona, atabadili style, atakutikisa na hautaamini.

Hiyo ya kumpa mnyakyusa hapana bhana.
Vumbi la kongo ndio nini?
 
Ni kweli wanawake wanapenda kutikiswa kisawasawa, mimi ndiyo zangu nipe shavu nikukandamize mpaka utosheke kabisa
 
Nimependa wewe mwanamke umekufikia muwazi sana na kama huu ujumbe au haya uyatakayo umemweleza mumeo afu hujaona mabadiliko una haki na unafaa Sana

Tatizo huwa hatupendi kuambiwa ukweli mke sio tuu mavazi na chakula

Kujali hisia zake ni muhim pia na ndio ndoa yenyewe jamani huu ni ulithi wetu but tunajisahau mnoo
Afadhal umenielewa tena najitahidi kumwongelesha kimahaba na mbwembwe zote za kimahaba mara nyingi ananijibu we unawaza tu mapenzi mambo ya maendeleo.. watu wanadhan nimekurupuka tu kuleta humu hawajui nimevumilia kiasi gani na nikisikia wanawake wenzangu wakisimulia mahaba wanayopewa natamani hata nimkubalie fasta huyo mnyaki
 
Pole sana. .ongea nae vizuri
 
Miaka kumi ya ndoa sasa mme wng anafanya kazi mkoani mwaka wa pili sasa.Huwa anajitahidi kwa mwezi anakuja mara mbili kutusalimia mimi na watoto wetu wawili.Yeye ana 35 na mimi nna 32.

Ananibore anapokuja,huwa kazubaa yaan kadri siku zinavyoenda ndo anazidi kupoteza mzuto wa kimapenzi anapenda style ya kusoma gazet tu mimi ndo nihangaike hapo juu na akijinyoosha hapo kitandani ni kama mfu hanipapasi hafanyi chochote zaidi ya kuutunisha na kuniachia mm nihangaike nao kweli nakosa raha nikimwambia aje juu anagoma anasema anasema amechoka anastress anawaza apate kazi nyingine aje kukaa na familia yake
Ananichosha kweli hata kabla hajaenda mkoan kikaz alikuwa ni mtu wa nimechoka nawaza kupata kazi nzur niwahudumie,kwa kweli huyu mchaga wangu anahangaika na kutujali sana familia yake kwenye issue za ulaji,mavazi na malazi ila mapenzi na mahaba ni extra sana kwake... kuna mkaka mmoja job yeye ni mnyakyusa ananifatilia sana, jamaa ananizimia ananiongeleshaga vitu vya kimapenzi sana yani nimeanza kumtamani niwenae kimapenzi atulize kiu yangu ya mda mrefu..kaniambia tuwetunakula bata na kuenjoy mapenzi but tutaendelea kurespect family zetu... nishaurini wakuu
Naona ninawe umerudi kwa staili nyingine za kumsema mumeo,kazana tu utaupata mshahara wako

Yaani umeamua kuja na acc mpya ili umseme mumeo wanawake sijui huwa mnataka nini umepata kazi mpya umempenda Boss sasa umeamua kumchafua na mumeo wakati ulisema unampenda sana na wala huna shida nae haya sasa yanatoka wapi?

We nenda tu ukampe mapenzi moto moto Boss wako acha kumchafua mumeo si sawa!!
 
Back
Top Bottom