Miaka kumi ya ndoa mume wangu hajali hisia zangu; Nimechoka!

Miaka kumi ya ndoa mume wangu hajali hisia zangu; Nimechoka!

Kuna mkaka mmoja job yeye ni mnyakyusa ananifatilia sana, jamaa ananizimia ananiongeleshaga vitu vya kimapenzi sana yani nimeanza kumtamani niwenae kimapenzi atulize kiu yangu ya mda mrefu kaniambia tuwetunakula bata na kuenjoy mapenzi but tutaendelea kurespect family zetu nishaurini wakuu
Either umeshaanza na huyo mnyaki wako ama ratiba tayari ni mda tu ufike. In short your marriage is doomed my sister.
Ila not to worry, jamaa atapata mwingine aliko. Huku atakua anakuja kuchek watoto tu. Pia once hali ikiwa hivyo huyo mnyaki naye atakupiga chini kwa sababu demand ni kubwa

You want your marriage, fix it. Achana na huo mpango kando. Mshauri jamaa afanye mazoezi atachangamka. Pia jiweke vizuri na fanya mazoezi. Kaumbo kakipendeza no man can resist. Utakulwa hadi mifupa!
 
Huyuu wapilii mkuu kuna Mmoja anaitwa NINAWEE..[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nae anataka tumpe support aliwee na Boss yanii Genyee zikizidii ni mbaya sanaa na hawa wanawake wote Wanaume zao wanafanya Kazi mikoani so huwa wanakuja Mara chache sana..!! Nimeamini ukiishi mbali na mkeo Kutombew......a lazimaaa huwezi kukwepa kabisaa! Huyuu nae ukutee analiwaa toka kitamboo Sana tuu...[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Kuoa ni Kipaji aiseee
Aisee, Mungu apishe mbali
 
Mfate mnyakusa mkaishie Tukuyu angekuwa anapiga mashine halafu hafanyi kazi napo ungekuja kumsema we mungoni hebu tuliza kipere
 
Miaka kumi ya ndoa sasa mume wangu anafanya kazi mkoani mwaka wa pili sasa huwa anajitahidi kwa mwezi anakuja mara mbili kutusalimia mimi na watoto wetu wawili yeye ana 35 na mimi nina 32 ananibore anapokuja,huwa kazubaa yaani kadri siku zinavyoenda ndo anazidi kupoteza mzuto wa kimapenzi anapenda style ya kusoma gazet tu mimi ndo nihangaike hapo juu na akijinyoosha hapo kitandani ni kama mfu hanipapasi hafanyi chochote zaidi ya kuutunisha na kuniachia.

Mimi nihangaike nao kweli nakosa raha nikimwambia aje juu anagoma anasema anasema amechoka anastress anawaza apate kazi nyingine aje kukaa na familia yake ananichosha kweli hata kabla hajaenda mkoani kikazi alikuwa ni mtu wa nimechoka nawaza kupata kazi nzuri niwahudumie,kwa kweli huyu mchaga wangu anahangaika na kutujali sana familia yake kwenye issue za ulaji,mavazi na malazi ila mapenzi na mahaba ni extra sana kwake...

Kuna mkaka mmoja job yeye ni mnyakyusa ananifatilia sana, jamaa ananizimia ananiongeleshaga vitu vya kimapenzi sana yani nimeanza kumtamani niwenae kimapenzi atulize kiu yangu ya mda mrefu kaniambia tuwetunakula bata na kuenjoy mapenzi but tutaendelea kurespect family zetu nishaurini wakuu

Malizia huyo mkaka mnyakyusa anapendaga staili gani? usituzuge wataalam washajua mwisho wa picha.
 
Miaka kumi ya ndoa sasa mume wangu anafanya kazi mkoani mwaka wa pili sasa huwa anajitahidi kwa mwezi anakuja mara mbili kutusalimia mimi na watoto wetu wawili yeye ana 35 na mimi nina 32 ananibore anapokuja,huwa kazubaa yaani kadri siku zinavyoenda ndo anazidi kupoteza mzuto wa kimapenzi anapenda style ya kusoma gazet tu mimi ndo nihangaike hapo juu na akijinyoosha hapo kitandani ni kama mfu hanipapasi hafanyi chochote zaidi ya kuutunisha na kuniachia.

Mimi nihangaike nao kweli nakosa raha nikimwambia aje juu anagoma anasema anasema amechoka anastress anawaza apate kazi nyingine aje kukaa na familia yake ananichosha kweli hata kabla hajaenda mkoani kikazi alikuwa ni mtu wa nimechoka nawaza kupata kazi nzuri niwahudumie,kwa kweli huyu mchaga wangu anahangaika na kutujali sana familia yake kwenye issue za ulaji,mavazi na malazi ila mapenzi na mahaba ni extra sana kwake...

Kuna mkaka mmoja job yeye ni mnyakyusa ananifatilia sana, jamaa ananizimia ananiongeleshaga vitu vya kimapenzi sana yani nimeanza kumtamani niwenae kimapenzi atulize kiu yangu ya mda mrefu kaniambia tuwetunakula bata na kuenjoy mapenzi but tutaendelea kurespect family zetu nishaurini wakuu


Hapo umeolewa na msaka noti na anazipata na nyumbani kila kitu unapata! Mapenzi unaweza kupambana na akakuelewa! Mweleze, huko unakaotaka kwenda na unaenda kufa kabisa!! Usijaribu kuonja sumu
 
Mlio na wake nyumban ndio aina ya wife material hii au ni madunga yembe
Kaa ushauriane na Mangi kila kitu kinawezekana
 
hizi nyuzi za ndoa zinatufunza mengi ila nimegundua kuoa ni kosa mojawapo kulifanya bora kuwa bachelor tu
 
hizi nyuzi za ndoa zinatufunza mengi ila nimegundua kuoa ni kosa mojawapo kulifanya bora kuwa bachelor tu
Mkuu itabidi kuoa tu kwa ajili ya kutengeneza family tu, ila kwa upande mwingine ni bomu.
 
Nawasiwasi kama kweli no Mke wa MTU

Maamuzi ulishayafanya, unata ushauri wa nini! Alshabab wangekuwa wanaua watu kama hawa, ingependeza Sana.
Unacheza na akili za watu tu.
Haya, wanakuja wenzako wa kukutia Moyo kuhalalisha maamuzi ya kufanya huo uchafu.
 
Wabongo bana....

Kashapata kamchepuka kake anakuja hapa kutafuta uhalali....

Nilipokua nasoma nikasema mwisho wa hii stori itaishia mahali "kuna mkaka ananifatilia.."..Thats the main point!

Huku juu kote ni blah blah tu...maana ungeongea nae muhusika ndio angetoa majibu ya kubadilika unavyotaka wewe...Humu hamna mtu anaweza kukusaidia in real sense!

Na hiyo "kuna mkaka....".....wewe chepuka bana acha kutafuta visingizio...ukishikwa na ndoa huna ili ujue maisha nini hasa!
Ukitaka uone chungwa na limao kula vyote hakika utaona tofauti huyu kashaonja ladha ya nje kaona ndani hamna kitu
 
Miaka kumi ya ndoa sasa mume wangu anafanya kazi mkoani mwaka wa pili sasa huwa anajitahidi kwa mwezi anakuja mara mbili kutusalimia mimi na watoto wetu wawili yeye ana 35 na mimi nina 32 ananibore anapokuja,huwa kazubaa yaani kadri siku zinavyoenda ndo anazidi kupoteza mzuto wa kimapenzi anapenda style ya kusoma gazet tu mimi ndo nihangaike hapo juu na akijinyoosha hapo kitandani ni kama mfu hanipapasi hafanyi chochote zaidi ya kuutunisha na kuniachia.

Mimi nihangaike nao kweli nakosa raha nikimwambia aje juu anagoma anasema anasema amechoka anastress anawaza apate kazi nyingine aje kukaa na familia yake ananichosha kweli hata kabla hajaenda mkoani kikazi alikuwa ni mtu wa nimechoka nawaza kupata kazi nzuri niwahudumie,kwa kweli huyu mchaga wangu anahangaika na kutujali sana familia yake kwenye issue za ulaji,mavazi na malazi ila mapenzi na mahaba ni extra sana kwake...

Kuna mkaka mmoja job yeye ni mnyakyusa ananifatilia sana, jamaa ananizimia ananiongeleshaga vitu vya kimapenzi sana yani nimeanza kumtamani niwenae kimapenzi atulize kiu yangu ya mda mrefu kaniambia tuwetunakula bata na kuenjoy mapenzi but tutaendelea kurespect family zetu nishaurini wakuu
Wanawake wa namna yako ni kati ya watu waPUMBAVU sana hapa duniani,kwa shida na raha umeisahau.kimsingi hili ni jambo la kuongea nae na kumshauli kwa hekima na busara ili abadilike au ajitahidi kwa vile unavyotaka.stress anaweza kua nazo na ni moja ya mambo yanayowakumba wengi hasa wale wenye kufikiri maisha mazuri ya baadae na hawajayafikia,leo hii utatengeneza malalamiko kana kwamba watu wakushauli utafute mwanaume wa kukuridhisha na kumbe unajichimbia kaburi tu,jifunze kuvumilia,kweni wakati unaamua kuolewa ulijua anaekuoa ni malaika?si binadamu na ana mapungufu yake?yamkini hata yeye anaweza akawa hivyo kwa sababu ya kukosa kwako mvuto kwa jinsi ulivyoumbwa au unavyojiweka na hajakwambia ila anavumilia kwa kua wewe tayali ni mke kwake.yani kama ungekua hapa karibu yangu ningekunasa kofi moja usingelisahau maisha yako yote.sijui nikutukane matusi ya ki congo au ya ki Cameron?wanawake ni watu wa ajabu sana[emoji30] mpyuuuu[emoji36]
 
The worst mistake kwenye kucheat ni kucheat na workmate au mtu wa mtaani.
 
Back
Top Bottom