Miaka kumi ya ndoa mume wangu hajali hisia zangu; Nimechoka!

Either umeshaanza na huyo mnyaki wako ama ratiba tayari ni mda tu ufike. In short your marriage is doomed my sister.
Ila not to worry, jamaa atapata mwingine aliko. Huku atakua anakuja kuchek watoto tu. Pia once hali ikiwa hivyo huyo mnyaki naye atakupiga chini kwa sababu demand ni kubwa

You want your marriage, fix it. Achana na huo mpango kando. Mshauri jamaa afanye mazoezi atachangamka. Pia jiweke vizuri na fanya mazoezi. Kaumbo kakipendeza no man can resist. Utakulwa hadi mifupa!
 
Aisee, Mungu apishe mbali
 
Mfate mnyakusa mkaishie Tukuyu angekuwa anapiga mashine halafu hafanyi kazi napo ungekuja kumsema we mungoni hebu tuliza kipere
 

Malizia huyo mkaka mnyakyusa anapendaga staili gani? usituzuge wataalam washajua mwisho wa picha.
 


Hapo umeolewa na msaka noti na anazipata na nyumbani kila kitu unapata! Mapenzi unaweza kupambana na akakuelewa! Mweleze, huko unakaotaka kwenda na unaenda kufa kabisa!! Usijaribu kuonja sumu
 
Mlio na wake nyumban ndio aina ya wife material hii au ni madunga yembe
Kaa ushauriane na Mangi kila kitu kinawezekana
 
hizi nyuzi za ndoa zinatufunza mengi ila nimegundua kuoa ni kosa mojawapo kulifanya bora kuwa bachelor tu
 
hizi nyuzi za ndoa zinatufunza mengi ila nimegundua kuoa ni kosa mojawapo kulifanya bora kuwa bachelor tu
Mkuu itabidi kuoa tu kwa ajili ya kutengeneza family tu, ila kwa upande mwingine ni bomu.
 
Nawasiwasi kama kweli no Mke wa MTU

Maamuzi ulishayafanya, unata ushauri wa nini! Alshabab wangekuwa wanaua watu kama hawa, ingependeza Sana.
Unacheza na akili za watu tu.
Haya, wanakuja wenzako wa kukutia Moyo kuhalalisha maamuzi ya kufanya huo uchafu.
 
Ukitaka uone chungwa na limao kula vyote hakika utaona tofauti huyu kashaonja ladha ya nje kaona ndani hamna kitu
 
Wanawake wa namna yako ni kati ya watu waPUMBAVU sana hapa duniani,kwa shida na raha umeisahau.kimsingi hili ni jambo la kuongea nae na kumshauli kwa hekima na busara ili abadilike au ajitahidi kwa vile unavyotaka.stress anaweza kua nazo na ni moja ya mambo yanayowakumba wengi hasa wale wenye kufikiri maisha mazuri ya baadae na hawajayafikia,leo hii utatengeneza malalamiko kana kwamba watu wakushauli utafute mwanaume wa kukuridhisha na kumbe unajichimbia kaburi tu,jifunze kuvumilia,kweni wakati unaamua kuolewa ulijua anaekuoa ni malaika?si binadamu na ana mapungufu yake?yamkini hata yeye anaweza akawa hivyo kwa sababu ya kukosa kwako mvuto kwa jinsi ulivyoumbwa au unavyojiweka na hajakwambia ila anavumilia kwa kua wewe tayali ni mke kwake.yani kama ungekua hapa karibu yangu ningekunasa kofi moja usingelisahau maisha yako yote.sijui nikutukane matusi ya ki congo au ya ki Cameron?wanawake ni watu wa ajabu sana[emoji30] mpyuuuu[emoji36]
 
The worst mistake kwenye kucheat ni kucheat na workmate au mtu wa mtaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…