Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hii koment we ni -me- sas nenda kafunguliwe rinda ,ila kumbuka kubakiza machacheKwa hiyo nivumilie kutokupata raha na kunamtu anataka kunipa raha maisha hayaji mara mbili
Mi naona tu ampe mnyakyusa teh, yanini kufa na kiu ufukweniC.c Evelyn Salt espy mmepita huku kina chikunde?
Mi naona tu ampe mnyakyusa teh, yanini kufa na kiu ufukweni
na wewe unampa nani?Mi naona tu ampe mnyakyusa teh, yanini kufa na kiu ufukweni
Mmakonde
FarAway mpe mnyaki amalize kiu yoteYani mwenyekiti nipo nakunywa na toga kushushia vicheko. Vifungu vya Biblia kama vyote
Mbona umeshajishauri mwenyeji mkuu, sema sisi umekuja kutupa taarifa tu.Ila muarifu na mumeo kuhusu huyo mnyaki wakoMiaka kumi ya ndoa sasa mume wangu anafanya kazi mkoani mwaka wa pili sasa huwa anajitahidi kwa mwezi anakuja mara mbili kutusalimia mimi na watoto wetu wawili yeye ana 35 na mimi nina 32 ananibore anapokuja,huwa kazubaa yaani kadri siku zinavyoenda ndo anazidi kupoteza mzuto wa kimapenzi anapenda style ya kusoma gazet tu mimi ndo nihangaike hapo juu na akijinyoosha hapo kitandani ni kama mfu hanipapasi hafanyi chochote zaidi ya kuutunisha na kuniachia.
Mimi nihangaike nao kweli nakosa raha nikimwambia aje juu anagoma anasema anasema amechoka anastress anawaza apate kazi nyingine aje kukaa na familia yake ananichosha kweli hata kabla hajaenda mkoani kikazi alikuwa ni mtu wa nimechoka nawaza kupata kazi nzuri niwahudumie,kwa kweli huyu mchaga wangu anahangaika na kutujali sana familia yake kwenye issue za ulaji,mavazi na malazi ila mapenzi na mahaba ni extra sana kwake...
Kuna mkaka mmoja job yeye ni mnyakyusa ananifatilia sana, jamaa ananizimia ananiongeleshaga vitu vya kimapenzi sana yani nimeanza kumtamani niwenae kimapenzi atulize kiu yangu ya mda mrefu kaniambia tuwetunakula bata na kuenjoy mapenzi but tutaendelea kurespect family zetu nishaurini wakuu
hivi wewe ni yule sweetiepie wa enzi zile au nakosea?Duuuh hii nayo kali, pole sana.
Duuu!!Juzi kaanzisha Uzi mumewe kajua na marafiki akaomba mods waufute Dada unakichaa cha nyege wala mume tu kujali familia hyo ni heshima kubwa mno
Juzi kaanzisha Uzi unaoelezea detail kazi sijui nini sasa wanaomfahamu wakanwambia mumewe kaomba kwa mods ulifutwa Leo kaja na hii I'd kabadilisha tu vtu vidogo ila kumpenda boss kuko pale pale Leo kaongezea tu la mchagga. JF kuna watu wajua connect dot.Duuu!!
Alianzisha uzi kumpondea mumewe?
Walijuaje ID hii ni yake?
Hao marafiki walimjuaje?
Hee!Juzi kaanzisha Uzi unaoelezea detail kazi sijui nini sasa wanaomfahamu wakanwambia mumewe kaomba kwa mods ulifutwa Leo kaja na hii I'd kabadilisha tu vtu vidogo ila kumpenda boss kuko pale pale Leo kaongezea tu la mchagga. JF kuna watu wajua connect dot.