Miaka mitano kimapenzi na Housegirl kwa siri

Miaka mitano kimapenzi na Housegirl kwa siri

Tulianza haka kamchezo Disemba 2013 sasa tumetimiza miaka mitano kamili.

Asante Da Teddi. Endapo Bi. Mkubwa akatangulia basi nafasi I wazi.

**nawasihi msijaribu mapenzi na mabinti hawa ni watamu ajabu na ukizingatia na hawa wake zetu full visirani
Ukitangulia wewe atabaki na nani?
 
mahusiano y kuiba iba yanavutia sana ila ngoja umuoe ndo utajua herufi p, b , na q ziko sawa tofauti mikao tu.
 
Tulianza haka kamchezo Disemba 2013 sasa tumetimiza miaka mitano kamili.

Asante Da Teddi. Endapo Bi. Mkubwa akatangulia basi nafasi I wazi.

**nawasihi msijaribu mapenzi na mabinti hawa ni watamu ajabu na ukizingatia na hawa wake zetu full visirani
vipi bado upo nae?
 
Pole ndugu, huyo mke kisirani ulichaguliwa na wazazi au ukichagua mwenyewe? Na ulilazimishwa kufunga ndoa au ilikua makubaliano yako na mwenza? If so, ndege wafananao huruka pamoja, tabia za mkeo obvious hazitofautiani sana na za kwako maana ili muwe wapenzi there must be alot in common between the couple

Kwa hiyo nategemea pia mkeo anakazwa na mangi hapo dukani pengine kwa miaka mitano sasa ila kwa siri kweli kweli.
Tulianza haka kamchezo Disemba 2013 sasa tumetimiza miaka mitano kamili.

Asante Da Teddi. Endapo Bi. Mkubwa akatangulia basi nafasi I wazi.

**nawasihi msijaribu mapenzi na mabinti hawa ni watamu ajabu na ukizingatia na hawa wake zetu full visirani
 
Pole ndugu, huyo mke kisirani ulichaguliwa na wazazi au ukichagua mwenyewe? Na ulilazimishwa kufunga ndoa au ilikua makubaliano yako na mwenza? If so, ndege wafananao huruka pamoja, tabia za mkeo obvious hazitofautiani sana na za kwako maana ili muwe wapenzi there must be alot in common between the couple

Kwa hiyo nategemea pia mkeo anakazwa na mangi hapo dukani pengine kwa miaka mitano sasa ila kwa siri kweli kweli.
Wacha akazwe tu mimi Sina habari nae tena.
 
Tulianza haka kamchezo Disemba 2013 sasa tumetimiza miaka mitano kamili.

Asante Da Teddi. Endapo Bi. Mkubwa akatangulia basi nafasi I wazi.

**nawasihi msijaribu mapenzi na mabinti hawa ni watamu ajabu na ukizingatia na hawa wake zetu full visirani
Hahaha dronedrake
 
Sio siri ma-housegirl wanajua kutunza nyie... Kila nikimkumbuka Sarah Daah nawaza mbali sana!
Uko wapi Sarah jaman, kile ulichonipatia hadi Leo kinadumu katika ufahamu wangu!
Hahaha
 
Back
Top Bottom